Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

Tena mwanaume akisaidia kuosha vyombo, huku mnakiss. Anakusaidia kupika huku mnakunywa zenu wine. So Romantic, hebu wasaidieni wake zenu huko. Hiyo mikono mmepewa mfanyie nini? Hakuna punda binadamu. Siku msaidizi yuko off, fanyeni kazi za home pamoja. Hakuna umwinyi.
 
Anafunguka mwanaharakati.....

"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria

Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Huyu ana ugwadu wa muda mrefu, hajapewa Mambo
 
Tena mwanaume akisaidia kuosha vyombo, huku mnakiss. Anakusaidia kupika huku mnakunywa zenu wine. So Romantic,
Umeongea la maana kuliko Joyce maana joy hajagusia mambo ya kisses huku umnasaidiana kazi za nyumbani bali yeye kaponda wanaume wote mshenzi huyo.
Mie nimependa ushauri wako.
 
Tena mwanaume akisaidia kuosha vyombo, huku mnakiss. Anakusaidia kupika huku mnakunywa zenu wine. So Romantic, hebu wasaidieni wake zenu huko. Hiyo mikono mmepewa mfanyie nini? Hakuna punda binadamu. Siku msaidizi yuko off, fanyeni kazi za home pamoja. Hakuna umwinyi.
Binafsi huwa napika jumapili nikitoka kanisani nikipata nafasi.

Jikoni ni mimi na kijana wangu wa kiume,Ila tunapika Nyama.
 
Tena mwanaume akisaidia kuosha vyombo, huku mnakiss. Anakusaidia kupika huku mnakunywa zenu wine. So Romantic, hebu wasaidieni wake zenu huko. Hiyo mikono mmepewa mfanyie nini? Hakuna punda binadamu. Siku msaidizi yuko off, fanyeni kazi za home pamoja. Hakuna umwinyi.
Wewe umezungumzia Mwanaume Kumsaidia Mkewe.

Ila Kiria (Mwendawazimu) Kasema Mwanaume ana mikono means kwamba Kazi za Nyumbani afanye mwenyewe.

Ilibidi pia Kuhusu Expenses za Nyumbani iwe ni 50/50 kama Ada ni M4 mbili anatoa Mke mbili Mume.

Bilis zote zipigwe pasu pasu. Ikiwa hivyo Basi ni sawa pia Tukiwekeana zamu za Kuosha Vyombo na Kufua Nguo kuwa leo nafua mimi kesho yeye.nk.
 
Anafunguka mwanaharakati.....

"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria

Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Umeamua kutudhihirishia kiwango cha ujinga ulichonacho. 💯
 
Back
Top Bottom