Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Hebu otea mkuu, huyu manzi anatakaga nini hasa?Huyo hajawahi kujua anataka nni?
Huyu ana ugwadu wa muda mrefu, hajapewa MamboAnafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo๐คฎ achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
ndio na mdomo mrefu ๐๐Hivi ni kweli shetani ana kucha ndefuu?
Umeongea la maana kuliko Joyce maana joy hajagusia mambo ya kisses huku umnasaidiana kazi za nyumbani bali yeye kaponda wanaume wote mshenzi huyo.Tena mwanaume akisaidia kuosha vyombo, huku mnakiss. Anakusaidia kupika huku mnakunywa zenu wine. So Romantic,
Hebu mshughulikie mkuu ๐Huyu ana ugwadu wa muda mrefu, hajapewa Mambo
Binafsi huwa napika jumapili nikitoka kanisani nikipata nafasi.Tena mwanaume akisaidia kuosha vyombo, huku mnakiss. Anakusaidia kupika huku mnakunywa zenu wine. So Romantic, hebu wasaidieni wake zenu huko. Hiyo mikono mmepewa mfanyie nini? Hakuna punda binadamu. Siku msaidizi yuko off, fanyeni kazi za home pamoja. Hakuna umwinyi.
Wewe umezungumzia Mwanaume Kumsaidia Mkewe.Tena mwanaume akisaidia kuosha vyombo, huku mnakiss. Anakusaidia kupika huku mnakunywa zenu wine. So Romantic, hebu wasaidieni wake zenu huko. Hiyo mikono mmepewa mfanyie nini? Hakuna punda binadamu. Siku msaidizi yuko off, fanyeni kazi za home pamoja. Hakuna umwinyi.
Na hao wanaume waliokuwa wanamuoa ni wapumbavuKabla hamjafuata anachosema nawakumbusha tu kashaolewa mara nne.
Ahsanteni.
Mkuu hebu upload hapa picha ya shetani tuone huo mdomo mrefu ๐๐ndio na mdomo mrefu ๐๐
Umeamua kutudhihirishia kiwango cha ujinga ulichonacho. ๐ฏAnafunguka mwanaharakati.....
"Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo๐คฎ achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika lini? zama za kumpikia na kumfulia mwanaume zimepitwa na wakati"- Mwanaharakati, Joyce Kiria
Natoa pole nyingi kwa mwanaume yeyote aliye na mke kama huyu mwanaharakati. View attachment 3098192
Hatombwi vizuri huyo.Hebu otea mkuu, huyu manzi anatakaga nini hasa?
Sijui, lakini just imagine ujifanye unajua kupenda kuliko mwanaume mwenzio aliyemwacha, halafu ukajitwalia chuma hiko, utakufa kabla ya muda wako.Kwani joy aliolewa baada ya kuachika?
Punguza sauti mkuu hao jamaa wapo hapa hapa kwa hii mada, wanaumia sana unapowaponda ๐Na hao wanaume waliokuwa wanamuoa ni wapumbavu
Hakuna asiye na ujinga, hata wewe una ujinga wako wa kuvinjali ujinga wa wengine.Umeamua kutudhihirishia kiwango cha ujinga ulichonacho. ๐ฏ
Naona umeamua kunikatili na kutetea watu waendelee kuamini kwamba wote ni wajingaHakuna asiye na ujinga, hata wewe una ujinga wako wa kuvinjali ujinga wa wengine.