Mimi kuna hii alikufa kwa ngoma ya alikufa kwa ngoma ya FA ni story ninayoikubaliBinafsi storytelling za Nature nazozikubali ni Inaniuma sana na Mtoto Iddy
Ila kuna hawa wa kuitwa Daz Nundazi wenye BARUA na MKASA WA BOSS, hawa walikuwa timamu sana
Hahaa Juma alizingua kinomaSinta alipigwa denda hadi gari ikagoma kwenda
Naskia jamaa baada ya kuondoka kwa Mika ndo walipoteaDaz Nundaz walikuwa vizuri sana kwenye simulizi.
Naskia jamaa baada ya kuondoka kwa Mika ndo walipotea
Kabla ya kuondoka uliniomba Hela ya kwendaaaah ukaniambia ni siofu mimi nipo peke yangu Siri ikafichuka Mlipo Toka Mlipo kwenda Kuna mlevi mmoja alilewa akalopoka uko tulipo kwenda Mshikaji wangu noma kwel........ [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sinta alipigwa denda hadi gari ikagoma kwenda
Tukumbushe pini moja kali baada ya kwenda kwa majaniSio kweli.
Taswira - Mandojo na Domokaya ft Juma Nature[emoji441][emoji441][emoji443][emoji443]nashangaa!! Nashangaa!! Nikimuonaaaa[emoji443][emoji443][emoji441][emoji441]
Nakumbuka kibwagizo cha nyimbo hii ya juma nature
Lakini nyimbo siikumbuki.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Rapcha anajitahidi ila bado anajitafuta, Lissa ilikuwa ni story nzuri lakini bado haikuwa na ubunifu wa kitofauti. Rapcha akikaza anaweza kuwa bora anao mkono mzuri wa kuandika.
Dizasta mimi uwa namuweka kwenye upande wa Mrisho Mpoto sijui kwa nini uwa mnamuweka kwenye kundi la MCs. Kwanza story zake zipo so direct yani hadithi njoo uongo njoo utamu kolea.
Boss alikuwa ferouz mwenyewe na Nature na solothang, Daz Nunda ni Barua na Kamanda.Binafsi storytelling za Nature nazozikubali ni Inaniuma sana na Mtoto Iddy
Ila kuna hawa wa kuitwa Daz Nundazi wenye BARUA na MKASA WA BOSS, hawa walikuwa timamu sana
Tukumbushe pini moja kali baada ya kwenda kwa majani
Kama lilivyo jina lako mkuu๐๐Kila zama ni kitabu chake... Ngoja nikasikiliza wachuja nafaka - ya leo kali
Halafu sikuwa nimewaza ๐คฃ๐คฃ๐คฃKama lilivyo jina lako mkuu๐๐
Huyo dizasta akaandike kitabu hii ni sanaa huwezi kufanya delivery kama unatusomea kitabu.Upande wa Mrisho Mpoto ambao huwa unamuweka Dizasta ni upi?
Au ile style yake ya kufanya spoken words juu ya biti zilizokosa drums ( Hatia 1, 2 & Ndoano) ndo ilokufanya umuweke huo upande?
Au ndio upande unaowaweka wasanii ambao tungo zao ni nzito kwa ubongo wako?
Na unapotushangaa sisi kumuweka Dizasta upande wa MCs unataka tumuweke upande gani? Sikia wewe Rayvanny, Dizasta is the beast, ana heshima ya kila anaejitambua kwenye hii culture... Na hakuna mtu anaifanya vema art ya storytelling hapa bongo zaidi yake (sikiliza mfululizo wa nyimbo za Hatia 1 - 4).... Kuhusu majigambo msikilize kwenye NIS 1 -4.
Unaposema story za D zipo "... So direct... " unaweza kusema mfano story gani? Na unamaanisha za huyo Juma hazipo direct kwamba ana ufundi gani zaidi ya Dizasta? [emoji28][emoji28]
We jamaa put some respect on Dee's damn name... Endeleeni kupagawa na hizo rap katuni na wazee wenzenu huku kwingine tuachie wenyewe.
Next time ukisikiliza nyimbo za Dizasta usiwe umevuta mimoshi au kunywa chibuku.
Huyo dizasta akaandike kitabu hii ni sanaa huwezi kufanya delivery kama unatusomea kitabu.
Skills hana wala mistari ya maana.
Wewe utakuwa wale masela wanajiita watunza misingi [emoji23][emoji23]
Mimi sio mshabiki bali mdau wa muziki ikiwemo singeli na hiphop, nikwambie tu kama hujui singeli kwa sasa imechukua nafasi ya hiphop kitaa ina impact na masela wana feel kuwakilishwa zaidi na singeli.Duuuh.
Ushaisikia -wild noise
Vipi kuhusu - stay
Au bado hujasikia -Kanisa
Niambie kuhusu - kijogoo
Ama bado hujajua kuhusu - sister.
Nitoshe kusema we ni mshabiki wa SINGELI
Atoe kwanza muziki wenye impact, muziki wa kusikilizwa na mitaa. Sio hiyo miziki ya kuuuza kwenye WhatsApp.Samahani kidogo, disasta vina unamfahamu?