Jumba la kifahari la Mwenyekiti Mbowe lazua maswali ndani ya CHADEMA
Jumba la kifahari la Mbowe.
View attachment 2813278
Mama yake Alphonce Mawazo kwenye nyumba ya Udongo.
View attachment 2813276
View attachment 2813281
Lazima tujifunze kitu hapa.
Familia ya Mbowe ilifanya kazi kwa bidii sana hadi kuweka misingi bora kwa
Jumba la kifahari la Mbowe.
View attachment 2813278
Mama yake Alphonce Mawazo kwenye nyumba ya Udongo.
View attachment 2813276
View attachment 2813281
Lazima tujifunze kitu hapa.
Familia ya Mbowe ilifanya kazi kwa bidii, kuwekeza kwenye biashara na kufanya kazi kwa bidii. Sasa nyie mliozoea kupewa mnatoa mawazo ya kijinga jinga. Ukikaa na kutegemea bahati utakufa maskini, acheni wivu wa kijinga ninyi.

Kumbe ninyi ni wale wale mliokuwa mkipewa usimamizi wa mali ya umma mnaiba pesa za wananchi. Msione wivu, lazima kuwe na matajiri na maskini....Formula ni rahisi sana, ukikaa ukitegemea ndugu au usaidiwe utabaki maskini lakini ukifanya kazi zako kwa akili utafika mbali sana.
 
Labda mleta mada atusaidie nia hasa ya kulinganisha nyumba ya Mbowe na makazi ya mamake A. Mawazo.
Mbowe kazaliwa familia tajiri, Mawazo kazaliwa familia kawaida kama watanzania wengi. Sii kazi ya Mbowe kuwanyanyua masikini wa taifa hili, sababu Hana dhamana yoyote katika muktadha huo. Ni wajibu wa serikali inayokusanya kodi kuweka mipango na sera zitakazowawezesha wananchi kuinua hali zao za maisha. Sijui kwanini uone Mbowe anaishi maisha ya kifahari, ushindwe kuona maisha wanayoishi wale waliofasadi nchi hii- kina Samia, kikwete, mwingulu, familia za kina magufuli, mkapa etc.
Asante sana umemaliza, ongezea na familia ya Kikwete, akina Ridhiwani waliofilisi nchi.
 
<Mbona hamsimi kuhusu Chenge? Mbona hamsemi kuhusu Musukuma? Mbona hamsemi kuhusu Lazaro Nyalandu? wapumbavu nyie, yoyote anaye-comment against Mbowe ni mpumbavu na ni kichaaa, shenzi
 
Mbowe ni mfanyabiashara hili haliwezi kutushangaza kwa mantiki ambayo wanaizungumza. Ila kama kuna viashiria vya ubadhirifu ktk ruzuku ambayo chama kinapewa labda tuanzie hapo ila kusema kajenga kwa hela zipi hapo hoja dhaifu.
 
Ameandika Dr. Sisimizi

Hali ya sintofahamu imeendelea kugubika ndani ya CHADEMA kufuatia baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kuona nyumba ya kifahari anayoishi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambayo ameijenga hivi karibuni huko Machame.

View attachment 2812700

Sintofahamu hiyo imekuja baada ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kupokea taarifa kuwa Mwenyekiti Mbowe weekend hii aliwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu (Heche, Lema na Msigwa) kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa nyumba hiyo mpya ya Mbowe ambayo ameijenga kwa miezi 3 tu.

Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu wamehoji Mwenyekiti Mbowe amepata wapi hela za kujenga nyumba ya kisasa ya ghorofa kwa miezi 3 tu, tena wakati ambao shughuli za chama zimekwama kuendelea kwa kisingizio kuwa ruzuku imeisha mpaka watakapoingiziwa tena Disemba 2023.

Hoja yao inaonekana ina mashiku kwa sababu, ndani ya CHADEMA wenye mamlaka ya kuidhinisha pesa kutolewa (Signatories) ni watatu tu Mwenyekiti Mbowe, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salim Mwalimu na Mjumbe wa Baraza la Udhamini Mzee Mtei.

Hii inaonesha bado hakuna kuaminiana baina ya Mwenyekiti Mbowe na baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu ukiwatoa wale wanaokula nao sahani moja (Lema, Msigwa, Heche, na Salim Mwalimu) na wengi wanachojiuliza inawezekanaje Chama kikose hela ya mafuta ya Chopa halafu Mwenyekiti anazindua nyumba yenye thamani ya Milioni 500.

Ndugu zangu tuendelea kufuatilia kwa karibu, ndani ya CHADEMA kuna Bundi anazengea na muda si mrefu tutaanza kusikia vilio vya kuomboleza kwa sababu najua Tundu Lissu hawezi kukaa na kuyafumbia macho yanayoendelea mule ndani.
Dogo,
Mbowe hana njaa kama wewe.

Kabla Tanganyika haijapata uhuru babaake Freeman Mbowe alikuwa tajiri, na ni kati ya watu waliomsaidia Nyerere kifedha kwenye harakati za kutafuta uhuru.

Muulize Ole Sabaya aliharibu kwa makusudi green house ngapi za Mbowe huko wilayani Hai.
 
1699956485956.png
 
Ameandika Dr. Sisimizi

Hali ya sintofahamu imeendelea kugubika ndani ya CHADEMA kufuatia baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kuona nyumba ya kifahari anayoishi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambayo ameijenga hivi karibuni huko Machame.

View attachment 2812700

Sintofahamu hiyo imekuja baada ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kupokea taarifa kuwa Mwenyekiti Mbowe weekend hii aliwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu (Heche, Lema na Msigwa) kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa nyumba hiyo mpya ya Mbowe ambayo ameijenga kwa miezi 3 tu.

Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu wamehoji Mwenyekiti Mbowe amepata wapi hela za kujenga nyumba ya kisasa ya ghorofa kwa miezi 3 tu, tena wakati ambao shughuli za chama zimekwama kuendelea kwa kisingizio kuwa ruzuku imeisha mpaka watakapoingiziwa tena Disemba 2023.

Hoja yao inaonekana ina mashiku kwa sababu, ndani ya CHADEMA wenye mamlaka ya kuidhinisha pesa kutolewa (Signatories) ni watatu tu Mwenyekiti Mbowe, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salim Mwalimu na Mjumbe wa Baraza la Udhamini Mzee Mtei.

Hii inaonesha bado hakuna kuaminiana baina ya Mwenyekiti Mbowe na baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu ukiwatoa wale wanaokula nao sahani moja (Lema, Msigwa, Heche, na Salim Mwalimu) na wengi wanachojiuliza inawezekanaje Chama kikose hela ya mafuta ya Chopa halafu Mwenyekiti anazindua nyumba yenye thamani ya Milioni 500.

Ndugu zangu tuendelea kufuatilia kwa karibu, ndani ya CHADEMA kuna Bundi anazengea na muda si mrefu tutaanza kusikia vilio vya kuomboleza kwa sababu najua Tundu Lissu hawezi kukaa na kuyafumbia macho yanayoendelea mule ndani.
Inasemekana hii ni nyumba ya kijijini kwake 😀 😀
 
Ameandika Dr. Sisimizi

Hali ya sintofahamu imeendelea kugubika ndani ya CHADEMA kufuatia baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kuona nyumba ya kifahari anayoishi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambayo ameijenga hivi karibuni huko Machame.

View attachment 2812700

Sintofahamu hiyo imekuja baada ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kupokea taarifa kuwa Mwenyekiti Mbowe weekend hii aliwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu (Heche, Lema na Msigwa) kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa nyumba hiyo mpya ya Mbowe ambayo ameijenga kwa miezi 3 tu.

Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu wamehoji Mwenyekiti Mbowe amepata wapi hela za kujenga nyumba ya kisasa ya ghorofa kwa miezi 3 tu, tena wakati ambao shughuli za chama zimekwama kuendelea kwa kisingizio kuwa ruzuku imeisha mpaka watakapoingiziwa tena Disemba 2023.

Hoja yao inaonekana ina mashiku kwa sababu, ndani ya CHADEMA wenye mamlaka ya kuidhinisha pesa kutolewa (Signatories) ni watatu tu Mwenyekiti Mbowe, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salim Mwalimu na Mjumbe wa Baraza la Udhamini Mzee Mtei.

Hii inaonesha bado hakuna kuaminiana baina ya Mwenyekiti Mbowe na baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu ukiwatoa wale wanaokula nao sahani moja (Lema, Msigwa, Heche, na Salim Mwalimu) na wengi wanachojiuliza inawezekanaje Chama kikose hela ya mafuta ya Chopa halafu Mwenyekiti anazindua nyumba yenye thamani ya Milioni 500.

Ndugu zangu tuendelea kufuatilia kwa karibu, ndani ya CHADEMA kuna Bundi anazengea na muda si mrefu tutaanza kusikia vilio vya kuomboleza kwa sababu najua Tundu Lissu hawezi kukaa na kuyafumbia macho yanayoendelea mule ndani.
Umasikini wa akili na mali mbaya sana.
 
Shida yenu ninyi mkitoka kijijini imeisha hiyo hamtaki kabisa kupaendeleza kwenu
lakini sisi kabla ya
kutoka unaambiwa kwako pale ndio utazikiwa hapo sasa kwa nini usipajenge?
Mambo yote ni ubatiri hapa Duniani! Mfano Wewe hapo ni mpumbavu lkn bado huo ni ubatiri!
 
Familia ya Mbowe ilifanya kazi kwa bidii sana hadi kuweka misingi bora kwa

Familia ya Mbowe ilifanya kazi kwa bidii, kuwekeza kwenye biashara na kufanya kazi kwa bidii. Sasa nyie mliozoea kupewa mnatoa mawazo ya kijinga jinga. Ukikaa na kutegemea bahati utakufa maskini, acheni wivu wa kijinga ninyi. Kumbe ninyi ni wale wale mliokuwa mkipewa usimamizi wa mali ya umma mnaiba pesa za wananchi. Msione wivu, lazima kuwe na matajiri na maskini....Formula ni rahisi sana, ukikaa ukitegemea ndugu au usaidiwe utabaki maskini lakini ukifanya kazi zako kwa akili utafika mbali sana.
Huyu mashambwa ni jitu shamba kuanzia kwenye ubongo wake
 
Back
Top Bottom