Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kushupaza shingo.Alfonso Mawazo amejikuta amezaliwa katika familia duni.
FImbowe maisha ameyakuta na bado alikuwa anapamba ili mtoke huko kwenye nyumba za matope kenge wewe.
Hapo sawa.Kwani huyo Mbowe amewatesa eti eeh ?
Ngoja tumjengee huyo mama,
Baba yake Mbowe kamhifadhi mwasisi wa chama chenu. Kamlisha na kumuonyesha bafu la kuoga liko wapi, huku akiwa amejifunga taulo kiunoni na huyo mwasisi wa chama chenu akiwa amekunja mikono kwa heshima. Na nauli alikuwa anamuomba anapewa na anatoa shukrani za kutosha.Jumba la kifahari la Mbowe.
View attachment 2813278
Mama yake Alphonce Mawazo kwenye nyumba ya Udongo.
View attachment 2813276
View attachment 2813281
Lazima tujifunze kitu hapa.
Sijui Mbowe amjengee kila mwanachadema?Kwamba jumba liuzwe pesa tugawiwe😀😀
Nani kaleta haya makopo jamani!Ameandika Dr. Sisimizi
Hali ya sintofahamu imeendelea kugubika ndani ya CHADEMA kufuatia baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kuona nyumba ya kifahari anayoishi Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambayo ameijenga hivi karibuni huko Machame.
View attachment 2812700
Sintofahamu hiyo imekuja baada ya baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu kupokea taarifa kuwa Mwenyekiti Mbowe weekend hii aliwaita baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu (Heche, Lema na Msigwa) kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa nyumba hiyo mpya ya Mbowe ambayo ameijenga kwa miezi 3 tu.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu wamehoji Mwenyekiti Mbowe amepata wapi hela za kujenga nyumba ya kisasa ya ghorofa kwa miezi 3 tu, tena wakati ambao shughuli za chama zimekwama kuendelea kwa kisingizio kuwa ruzuku imeisha mpaka watakapoingiziwa tena Disemba 2023.
Hoja yao inaonekana ina mashiku kwa sababu, ndani ya CHADEMA wenye mamlaka ya kuidhinisha pesa kutolewa (Signatories) ni watatu tu Mwenyekiti Mbowe, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salim Mwalimu na Mjumbe wa Baraza la Udhamini Mzee Mtei.
Hii inaonesha bado hakuna kuaminiana baina ya Mwenyekiti Mbowe na baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu ukiwatoa wale wanaokula nao sahani moja (Lema, Msigwa, Heche, na Salim Mwalimu) na wengi wanachojiuliza inawezekanaje Chama kikose hela ya mafuta ya Chopa halafu Mwenyekiti anazindua nyumba yenye thamani ya Milioni 500.
Ndugu zangu tuendelea kufuatilia kwa karibu, ndani ya CHADEMA kuna Bundi anazengea na muda si mrefu tutaanza kusikia vilio vya kuomboleza kwa sababu najua Tundu Lissu hawezi kukaa na kuyafumbia macho yanayoendelea mule ndani.
Labda mleta mada atusaidie nia hasa ya kulinganisha nyumba ya Mbowe na makazi ya mamake A. Mawazo.Jumba la kifahari la Mbowe.
View attachment 2813278
Mama yake Alphonce Mawazo kwenye nyumba ya Udongo.
View attachment 2813276
View attachment 2813281
Lazima tujifunze kitu hapa.