Jumuiya Wanawake Vyama vya Siasa: Ndugai aombe radhi kwa kauli yake kuhusu mikopo

Jumuiya Wanawake Vyama vya Siasa: Ndugai aombe radhi kwa kauli yake kuhusu mikopo

Spika wa Bunge aombe radhi kwa kuikosoa Serikali ?
Mbona Serikali haituombi radhi kwa kutukatia umeme, maji kuvunjia na kuchoma moto mali za Wafanyabiashara ambao hawana namna nyingine ya kuishi?
Acheni kutumika!
wewe ndio unatumika. huwezi kuwa kwenye pori moja halafu unachezea moto kwa kuwashawasha njiti au kulikata pori kwa shoka lako begani
Atoke kwanza nje ya Mhimili wa umma ndio aanze kubwabwaja siri za serikali
anajiona kwa vile hajaapa km wenzake Mawaziri
Huyu ni kumnyang'anya Kadi tu akapige kelele ka Tundu Lissu
mbona wakati wa Mwenda zake kila mara alijikomba?

Mbona mashuleni hakuna mabweni watoto wanakatiza masomo na kurudi nyumbani shauri ya umbali wa Shule zilipo Mbona hamtoi tamko?

Mimba za utotoni sababu ya watoto wa kike kupewa vishawishi vya lifti za bodaboda sababu ya ukosefu wa mabweni na Shule kuwa mbali sana mikoani na Wilayani Mbona hamtoi tamko la kuahamasisha mabweni yajengwe kwa kipao mbele?

Hospitali hakuna huduma za maji mikoani na Wilayani na vitongoji, mzazi akijifungua maji inabidi yatoke nyumbani ambako ni mbali na hospitali wajibandike kichwani kupeleka hospitali Mbona hamtoi tanko maji yapatikane hospitali?

Yani jamani!
Mpini wa shoka ilikata miti yote wakati ni Ndugai anauanika udhaifu wa Mhimilikuu kati yai3
Njiti ya kiberiti ilichoma pori lote wakati ni nduguze ni Ndugai
Anajua ya Lissu, na wengine, sema safari hii haitwi kwenye maakuli naye adanganye.
Wamnyang'anye tu Kadi ya CCM tuone vumbi la Kongwa
 
Ni vile tu ndugai ana status mbaya kwenye siasa, kutokana na kutumia nafasi yake kwa upendeleo na vile yupo kwenye chama kinachochukiwa na wengi lakini lile aliloliongea la deni la taifa alikua very clear.
Na hawa wanaotaka aombe radhi wameibuka leo 'kimchongo mchongo' - watafuta kiki + teuzi
 
wewe ndio unatumika. huwezi kuwa kwenye pori moja halafu unachezea moto kwa kuwashawasha njiti au kulikata pori kwa shoka lako begani
Atoke kwanza nje ya Mhimili wa umma ndio aanze kubwabwaja siri za serikali
anajiona kwa vile hajaapa km wenzake Mawaziri
Huyu ni kumnyang'anya Kadi tu akapige kelele ka Tundu Lissu
mbona wakati wa Mwenda zake kila mara alijikomba?


Mpini wa shoka ilikata miti yote wakati ni Ndugai anauanika udhaifu wa Mhimilikuu kati yai3
Njiti ya kiberiti ilichoma pori lote wakati ni nduguze ni Ndugai
Anajua ya Lissu, na wengine, sema safari hii haitwi kwenye maakuli naye adanganye.
Wamnyang'anye tu Kadi ya CCM tuone vumbi la Kongwa

Kwani kazi ya Mbunge na Bunge ni ipi ? Ni kuisifu Serikali ?
Isitoshe ni siri gani ya Serikali aliyoitoa Ndugai ? Aliyoyasema yote yamendikwa kwenye Magazeti sasa aliyoitoa hiyo unayoiita siri ni nani?

IMF na World Bank wakikukopesha wanaandika kwenye Magazeti na Mitandao mbalimbali na hata hizo fedha zitatumikaje imeaandikwa kila mahali.
 
Huyu Semakafu aliwahi kutumbuliwa na mwendazake,ameanza uchawa Tena ili mama ampe nafasi tena.
Huyo anatafuta kurudi kwenye uteuzi, hawana jipya.......wakati wenye mimba na wazazi wakiambiwa warudi shuleni wakasome na watoto mbona hatujawaona mahali popote wakiongelea hili.
 
NDUGAI AOMBE RADHI

Shirika la Ulingo Tanzania linaloundwa na Jumuiya za Wanawake wa vyama siasa hapa nchini (TWCP) kupitia Mratibu wake Dkt. Ave Maria Semakafu limemtaka Spika wa Bunge na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuomba radhi kutokana na maneno ambayo ameyaongea hivi karibuni

https://t.co/M8SruLenvA
View attachment 2064122
Inchi hii ina watu wa hovyo Sana.
Ndugai aombe radhi kwa kipi?
 
Huyu Semakafu si alikula za uso mwaka huu huyu? Hahahaha hivi kumbe kupishana na Rais ni kumdhalilisha aiseeee

Hivi wanawake wa nchi hii mbona wajinga sana mnapenda kuonewa huruma sana na kulialia?


Ujinga mtupu huy
 
Na mzee baba huko Ubelgiji kamuunga mkono kwa kupigilia msumari as..
Ni vile tu ndugai ana status mbaya kwenye siasa, kutokana na kutumia nafasi yake kwa upendeleo na vile yupo kwenye chama kinachochukiwa na wengi lakini lile aliloliongea la deni la taifa alikua very clear.
"...sio Bunge wala watanzania kwa ujumla wetu tunaojua masharti ya mikopo hii, ila tunajua tutailipa yote na riba juu tutake tusitake!.

Kwa hali hii, Spika Ndugai alikosea aliposema kuna siku nchi yetu itapigwa mnada: imeshapigwa mnada tayari, tena siku nyingi ila bado hatujajua bei yote ya mnada huo!
 
Ni vile tu ndugai ana status mbaya kwenye siasa, kutokana na kutumia nafasi yake kwa upendeleo na vile yupo kwenye chama kinachochukiwa na wengi lakini lile aliloliongea la deni la taifa alikua very clear.
Angekuwa clear tangu azaliwe hangeshambuliwa.Hoja sake zinadharauliwa kutokana na ukinyonga wake.
Angeongea kama Bashe hivi angeungwa mkono sana kwa hoja hiyohiyo ya ndugai
 
NDUGAI AOMBE RADHI

Shirika la Ulingo Tanzania linaloundwa na Jumuiya za Wanawake wa vyama siasa hapa nchini (TWCP) kupitia Mratibu wake Dkt. Ave Maria Semakafu limemtaka Spika wa Bunge na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuomba radhi kutokana na maneno ambayo ameyaongea hivi karibuni

https://t.co/M8SruLenvA
View attachment 2064122
Semakafu ni mwanasiasa? Si alikua Naibu Katibu Mkuu huyu? Duh
 
Hizi pini anazopigwa mzee wa kongwa nadhani sasa zitamweka kwenye mstari,anaweza akasimamia haki baadae kidogo
Tatizo wako wao peke yao mjengoni
Ila bunge lingeoendeza
 
Back
Top Bottom