Jumuiya Wanawake Vyama vya Siasa: Ndugai aombe radhi kwa kauli yake kuhusu mikopo

Jumuiya Wanawake Vyama vya Siasa: Ndugai aombe radhi kwa kauli yake kuhusu mikopo

Ukioa wanawake viherehere kama hawa, utajuta.., utanyimwa na huna la kufanya
 
Hao wanawake Chadem wapo mbona kama wa CCM makada
 
NDUGAI AOMBE RADHI

Shirika la Ulingo Tanzania linaloundwa na Jumuiya za Wanawake wa vyama siasa hapa nchini (TWCP) kupitia Mratibu wake Dkt. Ave Maria Semakafu limemtaka Spika wa Bunge na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuomba radhi kutokana na maneno ambayo ameyaongea hivi karibuni

https://t.co/M8SruLenvA
View attachment 2064122
Nchi hii ina upuuzi mwingi hii ndo kitu gani sasa
 
Ni vile tu ndugai ana status mbaya kwenye siasa, kutokana na kutumia nafasi yake kwa upendeleo na vile yupo kwenye chama kinachochukiwa na wengi lakini lile aliloliongea la deni la taifa alikua very clear.
Wajuvi wa mambo wanasema Samia analazimisha kukopa Ili 1/3 apele zanzibar alafu tanganyika ndo tulipe Deni hii yote ni Janja Janja tu wenye akili wamemshtukia,

kama ni kweli makubaliano Ndugai ingawa simpendi
 
Wajuvi wa mambo wanasema Samia analazimisha kukopa Ili 1/3 apele zanzibar alafu tanganyika ndo tulipe Deni hii yote ni Janja Janja tu wenye akili wamemshtukia,

kama ni kweli makubaliano Ndugai ingawa simpendi
Zanzibar wana mpango wao wa bahari ya blue wamewapata wafadhili kibao, watakemgewa miradi kibao, hizo hela Mama anazokopa ni za daraja la Busisi kwani atashimdwa kukopa kuungamisha Bagamoyo na Unguja?
Ndugai ni tamaa na kukosa nidhamu kwa Mkiti wake mfumo dume na wizi vimemtawala
 
Ni vile tu ndugai ana status mbaya kwenye siasa, kutokana na kutumia nafasi yake kwa upendeleo na vile yupo kwenye chama kinachochukiwa na wengi lakini lile aliloliongea la deni la taifa alikua very clear.
Ndugai anataka wananchi walipishwe kodi, wapende wasipende ili kumalizia miundo mbinu ya matrilion
 
Ndugai anataka wananchi walipishwe kodi, wapende wasipende ili kumalizia miundo mbinu ya matrilion
Sidhani kama ilikua ni maana yake ndugu yangu, hata hivyo bado hio mikopo inalipwa kupitia wananchi hao hao kwenye kodi zao
 
Sidhani kama ilikua ni maana yake ndugu yangu, hata hivyo bado hio mikopo inalipwa kupitia wananchi hao hao kwenye kodi zao
So hukumuelewa?, Haya niambie kwa kipato cha trillion 1.5 kwa mwezi, je unaweza finance miradi ya reli ya kisasa, bwawa la nyerere, daraja la kigongo na miradi hiyo ikaisha ndani ya miaka 100?
Hebu tuweni realistic basi,, maana akiiacha miradi asikamilishe kwanza ni hasara, maana matrilion tayari yamekuwa committed hapo,
Na mtasema hajamaliza miradi ya jpm,,
Ifike mahali watanzania tujitambue ni nini hasa tunataka,,
Akifuata ushauri wa ndugai, maana yake ili miradi iishe, lazima kodi ziongezwe mara elfu kumi
 
So hukumuelewa?, Haya niambie kwa kipato cha trillion 1.5 kwa mwezi, je unaweza finance miradi ya reli ya kisasa, bwawa la nyerere, daraja la kigongo na miradi hiyo ikaisha ndani ya miaka 100?
Hebu tuweni realistic basi,, maana akiiacha miradi asikamilishe kwanza ni hasara, maana matrilion tayari yamekuwa committed hapo,
Na mtasema hajamaliza miradi ya jpm,,
Ifike mahali watanzania tujitambue ni nini hasa tunataka,,
Akifuata ushauri wa ndugai, maana yake ili miradi iishe, lazima kodi ziongezwe mara elfu kumi
Hapana bro, kama mzigo ni mzito kupita uwezo wako kuipunguza na kuurudia baadae sio dhambi.
Hio miradi hapo kabla ilikua haipo na maisha yakienda kwa hio hata ingesimama na kudili na mmoja ulio ndani ya uwezo maisha yangeenda pia, tusibebe mzigo ulio nje ya uwezo wetu ili kukamilisha ndoto ya fulani, bora nusu shari kuliko shari kamili.
 
Hao wanawake wamekosa kazi za kufanya. Vimejaa unafiki sana.

Very stupid. They wanna shuck us. Mbona kipindi cha JPM vilikuwa havijitokezi hivyo?
Wakina Yusuph makama, Nape, kinana, na January hao
 
Ndugai anataka wananchi walipishwe kodi, wapende wasipende ili kumalizia miundo mbinu ya matrilion
wengi wameshamjua Ndugai ni msaliti km Lissu
Magu angeshamuasha, km ile issue ya Bagamoyo walipishana
sasa Mkiti wa CCM na Kamati yake wachukue kadi km ya Sofia Simba
huko Mikoani wameshaanza
 

Attachments

  • VID-20220101-WA0001.mp4
    5.4 MB
Watu wanatafuta Ada za watoto Sheikh, January haijawahi kuwa nyepesi tangu Miaka 2021 iliyopita
Wazee wa kujikomba,
Why aombe radhi? Kwani yy Hana mawazo yake ?

Na mawazo yake lazima yawe sawa na serikali?
 
NDUGAI AOMBE RADHI

Shirika la Ulingo Tanzania linaloundwa na Jumuiya za Wanawake wa vyama siasa hapa nchini (TWCP) kupitia Mratibu wake Dkt. Ave Maria Semakafu limemtaka Spika wa Bunge na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuomba radhi kutokana na maneno ambayo ameyaongea hivi karibuni

https://t.co/M8SruLenvA
View attachment 2064122
Mbona nembo yao ni ya kampeni ya urais! Nembo haina uhusiano na vyama vya siasa.
 
Spika wa Bunge aombe radhi kwa kuikosoa Serikali ?
Mbona Serikali haituombi radhi kwa kutukatia umeme, maji kuvunjia na kuchoma moto mali za Wafanyabiashara ambao hawana namna nyingine ya kuishi?
Hili nalo neno. Aombe radhi kwa kosa gani? Blah-blah tu
 
Wanafiki hawa......Wanajipendekeza tu ili wapate teuzi...!!
 
Back
Top Bottom