white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Hizi nchi zetu bila unafiki mambo hayaendi, huyo semakafu , yaani hapo utakuja kusikia yameandaliwa maandamano ya kupinga mfumo dume kuwa wanafanya hivyo kwakuwa rais ni mwanamke!!!kuna matatizo chungu nzima ya wanawake nchi hii hayo hawayaoni?hapo wanatafuta teuzi tu.Hao wanawake wamekosa kazi za kufanya. Vimejaa unafiki sana.
Very stupid. They wanna shuck us. Mbona kipindi cha JPM vilikuwa havijitokezi hivyo?
Ajute kivipi, mkuu kwani hao wakinamama watamfanya nini? Huyo ni spika, ni muhimili huo, ana wabunge asilimia 90 wote wanamuunga mkono yeye. Elewa hilo achana na hao wana CCM wa nje.Ndugai atajuta kujipendekeza
Mwendazake alitumbua wote wenye akili, alikuwa anataka kufanya kazi na mazombie kama Majaliwa, mwisho wake 2025Huyu Semakafu aliwahi kutumbuliwa na mwendazake,ameanza uchawa Tena ili mama ampe nafasi tena.
Ange wauwa tu no doubt boutHao wanawake wamekosa kazi za kufanya. Vimejaa unafiki sana.
Very stupid. They wanna shuck us. Mbona kipindi cha JPM vilikuwa havijitokezi hivyo?
Naomba kujua wazanzibar nao wanalipa tozo??Wajuvi wa mambo wanasema Samia analazimisha kukopa Ili 1/3 apele zanzibar alafu tanganyika ndo tulipe Deni hii yote ni Janja Janja tu wenye akili wamemshtukia,
kama ni kweli makubaliano Ndugai ingawa simpendi
Ili mtu usikilizwe vizuri unachosema lazima uwe na "credibility" ya unachoongelea. Ndugai hana hiyo credibility kuhusu mipango, miradi, mapato, mikopo, misaada na matumizi ya serikali. Hana uelewa wala hajawahi kuwa "consistent" anapoongoza bunge kuisimamia na kuishauri serikali kuhusu mambo hayo. Kuna ujinga mwingi umepita hapo Bungeni chini ya uongozi wake tangu awamu ya tano na alikatisha tamaa juhudi zote za kuyajadili kwa hoja. Baadaye leo anakuja kudai hajui "alikuwa wapi"?Ni vile tu ndugai ana status mbaya kwenye siasa, kutokana na kutumia nafasi yake kwa upendeleo na vile yupo kwenye chama kinachochukiwa na wengi lakini lile aliloliongea la deni la taifa alikua very clear.
Usimfurahie sana Lissu. Alimaanisha huo mnada ulishafanyika tangu awamu zilizopita - tangu ya nne. Sasa wewe ukiwa mtetezi wa awamu ya tano sijui unakubali kuwa hata chini ya jiwe tulikuwa chini ya kivuli cha mnada.Na mzee baba huko Ubelgiji kamuunga mkono kwa kupigilia msumari as..
"...sio Bunge wala watanzania kwa ujumla wetu tunaojua masharti ya mikopo hii, ila tunajua tutailipa yote na riba juu tutake tusitake!.
Kwa hali hii, Spika Ndugai alikosea aliposema kuna siku nchi yetu itapigwa mnada: imeshapigwa mnada tayari, tena siku nyingi ila bado hatujajua bei yote ya mnada huo!
Kile alichokiongea ndio imani yake hivyo tunapaswa kufika mahala kuheshimu maoni na mitazamo ya watu na huo ndio uhuru wa maoni tunaopiganiakuwa nao hatupaswi kufanana fikra katika kujenga taifa nje na hoja mikopo tuliyo nayo na miradi iliyofanyika value zinaendana hapo ndio kuna hoja ya msingiNDUGAI AOMBE RADHI
Shirika la Ulingo Tanzania linaloundwa na Jumuiya za Wanawake wa vyama siasa hapa nchini (TWCP) kupitia Mratibu wake Dkt. Ave Maria Semakafu limemtaka Spika wa Bunge na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuomba radhi kutokana na maneno ambayo ameyaongea hivi karibuni
https://t.co/M8SruLenvA
View attachment 2064122
Huyu mama kichaa..ndio maana mwamba JPM alimtupa.....NDUGAI AOMBE RADHI
Shirika la Ulingo Tanzania linaloundwa na Jumuiya za Wanawake wa vyama siasa hapa nchini (TWCP) kupitia Mratibu wake Dkt. Ave Maria Semakafu limemtaka Spika wa Bunge na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuomba radhi kutokana na maneno ambayo ameyaongea hivi karibuni
https://t.co/M8SruLenvA
View attachment 2064122
Mkuu simfurahii Lissu wala Magufuli ila kuna Imani huwa naisimamia nikiwa na maana huwa sifuati mkumbo mpaka nijiridhishe.Usimfurahie sana Lissu. Alimaanisha huo mnada ulishafanyika tangu awamu zilizopita - tangu ya nne. Sasa wewe ukiwa mtetezi wa awamu ya tano sijui unakubali kuwa hata chini ya jiwe tulikuwa chini ya kivuli cha mnada.