Stanley Mitchell II
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 970
- 1,323
Kuna a million ways za kujibu hoja. And this is one of them!Huwezi hata kujenga Hoja, hiyo si namna ya kumshauri mtu au kujibu hoja za mtu
Mbona umehamaki sana . Vile wanayembea kwenye wanakata mauno viwanjani ndio jeshiKaweke akili charge. Battery low.
Kwa hilo Boko ulilolitoa kama akili zako zingekua zinaCharge a bit......
America wasingekua na wale jamaa wa NAVY SEALS au MARINES ambao wao wanavunja nazi kwa ugoko.
Kacharge akili izo au battery haikai na chaji??????
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
HahahahahaKwahio ili kuchangia hapa lazima upite Mgambo?special mission ndio wanapasuliana matofali vifuani?
Hiii kamba kaka kaivuta sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!
MTU ANAAJIRIWA HADI KUSTAAFU HAJUI KUWASHA COMPUTER, HAKIKA KUNA SHIDA KUBWA SANA
Watu hawapendi kuambiwa tuwadhaifu pande hizo. Ukipita makambini walevi watupu hadi aibu yaaniSikatai some time uko sawa.
Ila sasa ujiangalie Hali ya Uchumi wako pia ujue kufika kule sio rahisi ikiwa wewe ulie post tuu huna hata cha ajabu ulicho kifanyia Jamii.
Mabadiliko mapinduzi yananzia na kwako hapo ulipo.Sasa kama kila mtu anatumia mitandao kukosoa lihali yeye mhusika nae ni mzigo katika taifa letu kwakuto kugundua tuu jinsi ya kutengeneza battery ya simu tuu ya Nokia ya Tochi si mzigo huo.
Kuhudumia Meli makombora na ndege vita kwa Budget yetu bado ni ndogo.
Sasa wewe unapokuja na Na wazo njoo na scientifically solution na sio porojo na siasa.
mkulima halisi
Unavyokiwazia chombo sivyo kabisa yani. Ningekwambia jambo ila najua utaniletea ubishi tu kuna integrated Air Defence System za maana najua huna unachokielewa.Unawaza kama mimi na hakuna nimekuwa nikikidharau kama kuona wanaoitwa makomandoo wetu wakishindana kuvunja tofali pale taifa, na kuruka kwenye ndege kwa kutumia parachuti,
Unasema tu hiiiiiiiii unanyamaza. Vita leo hii ni sayansi tupu, vita kubwa haziganwi kwa SMG, AK 47 nk, leo hii watu wanacheza na computa Dude linakufata huko huko.
Vita ya bunduki ni kwa ajili ya kupambana na vikundu vya waasi lkn nchi kwa nchi taifa kwa taifa hatuhitaji askari wa kuvunja matofali kwa mikono wala kwa vichwa.
Jeshi la miguu kila nchi lipo( infantry solders) ni sehem ya kamandi ya jeshi.Ukiwekeza kwenye teknologia jeshi la foot soldiers "milioni moja na malaki" la nini?
Kwahyo jeshi lazima liwepo, bila kujali wapo kiasi gani .Jeshi la miguu kila nchi lipo( infantry solders) ni sehem ya kamandi ya jeshi.
Tuna kamandi ya jeshi la anga( Airforce)
Tuna kamandi ya jeshi la miguu( infantry)
Tuna kamand ya jeshi la maji( Navy)
Jeshi la miguu la miguu la miguu limegawanyika,
1. Mizinga
2. Vifaru
3. Askari wa miguu au ardhini.
Kwenye uwanja wa medani, hizo kamandi zinaweza kushirikiana kutegemea but inategemea .
Mfn.. Wakati askari wa miguu wanasonga mbele , kumfwata adaui alipo, nyuma , wazee wa mizinga watoa msaada , kumfurusha adui, huku jeshi la miguu la miguu linasonga , na vifaru..
Kikosi cha mizinga kinapokea frequency kutoka kwa captain, au yule msoma Raman, zile frequency ndio zinaonesha maadui walipo , kikosi cha mizinga kinatuma mzinga unaenda kutua pale pale kwenye point walio pewa ..ambako maadui wapo.. Sasa captain ataoe direction tofauti..
Kama kamandi ya anga au Navy wataitajika, wanaingia mzigoni.
DuuuhMi ntafurahi wakibadilisha hata zile adhabu zao kwa raia....
1. Kuna Dereva wa hiace alijitusu akaingia kambi ya Jeshi. Wakamwambia kwanza mchafu adhabu yake ikawa kuoga maji lita 1 na sabuni ile ya mia tano... sharti sabuni iishe, jamaa alikoma kuringa.
2. Mi nikiwa mdogo tulipita eneo lao tukapita krb na jiko lao tukiokota maembe wakatusimanisha wakatwambia nyie mnaonekana mna njaa. Wakapakua wali ndoo kubwa ile wakamimina na maharage wakatwambia mle huu wali hadi uishe Imagine tulikuwa 4.... awali tuliona jamaa wana upendo mkuu...baada tumeshiba wakatukazania tumalize uke wali aisee tulitoka matumbo yamechomoza kama tunaenda Labour.
huna akili kabisa ndg.Kaweke akili charge. Battery low.
Kwa hilo Boko ulilolitoa kama akili zako zingekua zinaCharge a bit......
America wasingekua na wale jamaa wa NAVY SEALS au MARINES ambao wao wanavunja nazi kwa ugoko.
Kacharge akili izo au battery haikai na chaji??????
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Sawa pamoja na usiri mambo ya jeshi, sote tulishuhudia jinsi jeshi la anga la marekani lilivyoKwahyo jeshi lazima liwepo, bila kujali wapo kiasi gani .
Alafu haya mambo ya majeshi, yana usiri sana, RAIA kama ww sio lazima ujue power tuliyo nayo... .
Hana hela hiyo, hana adui na wala hana jirani mwenye ndege za kupigwa na S-300 ambayo kwanza hawezi uziwa na Urusi wala hawezi ruhusiwa na US kuinunua.Nilimsikia Kagame anataka kununua S-300 kutoka Russia
Siku ukiingia anga zao maji utaita mma!!!Mi nadhani tuna watu tu wanaovaa nguo za kijeshi lakini si wanajeshi
AhahahaaSiku ukiingia anga zao maji utaita mma!!!
Mi nadhani tuna watu tu wanaovaa nguo za kijeshi lakini si wanajeshi