Jeshi la miguu kila nchi lipo( infantry solders) ni sehem ya kamandi ya jeshi.
Tuna kamandi ya jeshi la anga( Airforce)
Tuna kamandi ya jeshi la miguu( infantry)
Tuna kamand ya jeshi la maji( Navy)
Jeshi la miguu la miguu la miguu limegawanyika,
1. Mizinga
2. Vifaru
3. Askari wa miguu au ardhini.
Kwenye uwanja wa medani, hizo kamandi zinaweza kushirikiana kutegemea but inategemea .
Mfn.. Wakati askari wa miguu wanasonga mbele , kumfwata adaui alipo, nyuma , wazee wa mizinga watoa msaada , kumfurusha adui, huku jeshi la miguu la miguu linasonga , na vifaru..
Kikosi cha mizinga kinapokea frequency kutoka kwa captain, au yule msoma Raman, zile frequency ndio zinaonesha maadui walipo , kikosi cha mizinga kinatuma mzinga unaenda kutua pale pale kwenye point walio pewa ..ambako maadui wapo.. Sasa captain ataoe direction tofauti..
Kama kamandi ya anga au Navy wataitajika, wanaingia mzigoni.