Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.
Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.
Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
Alichokifanya urio kinafikirisha mno,mawasiliano ya vyombo nyeti kama hivi ni muhimu mno,mfano baada ya TISS to mess up na ukamataji wa suspects wa uhaini,ilibidi jeshi la polisi litake over na hii ilikua rahisi kwa sababu majeshi haya yalikua yana operate above board.kuna tuhuma za kigaidi hapa MI na DCI hawaongei !!!its crazyFikiria kua MI nae angapata hii taarifa kutoka chanzo kingine alafu anawasiliana na DCI kupanga mikakati then DCI anamwambia askari wake Urio alimpatia hii taarifa bila ya kumwambia MI.
Urio anafikirisha sana kwenye hii kesi...
Mahakama ndio itasema kama ushahidi wa Urio ni kweli au uongo....jwtz haihusiki na hilo.Hii kesi inayoendelea mahakamani imeufungua macho umma wa Watanzania juu ya tabia ya askari huyo.
Aina ya Ushahidi ambao komando Urio ameutoa mahakamani umeacha maswali mengi sana ya umma juu ya tabia ya askari huyu lakini pia hata kuathiri taswira ya jeshi mbele ya umma.
Kuna haya mambo yafuatayo:
1. Je, jeshi lina taarifa za askari wake Denis Urio kumtafutia Mbowe walinzi ambao yeye Urio anasema walipanga kufanya uhaini? Hata hivyo mahakamani Urio kasema hakuripoti Jeshini bali karipoti kwrnye mamlaka ya kipolisi. Je, hivi ndivyo askari wa JWTZ anavyopaswa kufanya pindi anapopata taarifa za uhaini?
2. Ushahidi wa Urio una matobo mengi, kuna kila sababu ya kudhani kuwa Urio anatoa ushahidi wa uwongo ili kuwaumiza raia wasio na hatia–Hapa JWTZ haina budi kufanya uchunguzi binafsi na kujiridhisha juu ya mwenendo na tabia za askari wake huyu Denis Urio
3. Mbele ya jamii ni vigumu kwa JWTZ kujiweka pembeni katika hii kesi kwa sababu, wananchi wanapata taswira mbaya kuwa JW inatumika kisiasa kuumiza wapinzani. Kwa hiyo ipo haja kwa JWTZ kujisafisha dhidi ya tabia na mwenendo wa Denis Urio kama ulivyothibitika katika ushahidi anaoutoa mahakamani.
Homeboy niambie 😊😊😊.. Huyu denisi ni wa kupimwa akili bila kufanya hivyo ni ubatili.. nikimkamata nitampima kwa nguvu..Jana ilivyokua mahakamani:
Wakili-Kuna msg yoyote/ujumbe wa sauti wowote ulio onyesha Mbowe akikuita wewe ndg Shahid (urio) Hilo jina la 'Homeboy'?
Urio-Hapana
Wakili:Je tukisema wewe ndio umetunga hilo jina la homeboy kwa kujipendekeza kwa Mbowe ili kujifanya unamjua sana tutakua tumekosea?
Urio-Sijui.
Hii issue ingekuwa genuine, Urio asingeonekana hata.. mchezo ungechezwa chini kwa chini.. ila wa magumashi ndio tatizoBado natafakari kwa nini JWTZ wamekubali Askari wao aje mahakamani (hadharani) kutoa ushahidi wa UWONGO? hawaoni hii inaweza kulipunguzia jeshi letu heshima nje na ndani ya nchi ?
Kwamba Afisa wa Jeshi la wananchi wa Tanzania ashiriki kwenye mbinu chafu za kesi za kisiasa.
JWTZ kitengo cha nidhamu na Sheria - someni tena ushahidi wa huyu askari wenu mwanzo mwisho muone namna anavyohangaika kuunga unga dots...haziungiki.
Kuna tukio lolote la uharifu lilitokea ili ku connect hiyo circumstantial ground.ukisikia kitu kinaitwa " Proof beyond reasonable doubt - uthibitisho usioacha shaka"haitegemei shahidi mmoja, wakati mwingine huwa unategemea circumstantial evidence ambayo ili uthibitishe unatakiwa uwe na ushahidi wa matukio yasiyokatika kwenye mnyororo wake.....hivyo kila shahidi anakuwa na kakitu kake anakuja kuthibitisha anaondoa,ninyi mtahangaika kupuyanga kwenye cross examination kuuliza maswali ya kufurahisha umma kumbe wenzenu kile walichomleta aje kuthibitisha sicho kile mnachokishambulia. ndilo linalotokea hapo kwenye kesi, hadi nawaonea huruma hao mawakili wa mbowe. hawaelewi kitu, ila wanajua kuufurahisha umma ambao hawa haujui mambo ya kisheria zaidi ya ushabiki wa kisiasa.
MaCCM akili zao hazina akili. Asikuchoshe.Hata Sabaya alikuwa na kiburi kuzidi chako.
ndiyo maana anatakiwa kuthibitisha mbele ya jajiPointless, kwanini polisi hawakujifanya ndiyo walinzi wanatafuta kazi? shame on you
Hii kesi inayoendelea mahakamani imeufungua macho umma wa Watanzania juu ya tabia ya askari huyo.
Aina ya Ushahidi ambao komando Urio ameutoa mahakamani umeacha maswali mengi sana ya umma juu ya tabia ya askari huyu lakini pia hata kuathiri taswira ya jeshi mbele ya umma.
Kuna haya mambo yafuatayo:
1. Je, jeshi lina taarifa za askari wake Denis Urio kumtafutia Mbowe walinzi ambao yeye Urio anasema walipanga kufanya uhaini? Hata hivyo mahakamani Urio kasema hakuripoti Jeshini bali karipoti kwrnye mamlaka ya kipolisi. Je, hivi ndivyo askari wa JWTZ anavyopaswa kufanya pindi anapopata taarifa za uhaini?
2. Ushahidi wa Urio una matobo mengi, kuna kila sababu ya kudhani kuwa Urio anatoa ushahidi wa uwongo ili kuwaumiza raia wasio na hatia–Hapa JWTZ haina budi kufanya uchunguzi binafsi na kujiridhisha juu ya mwenendo na tabia za askari wake huyu Denis Urio
3. Mbele ya jamii ni vigumu kwa JWTZ kujiweka pembeni katika hii kesi kwa sababu, wananchi wanapata taswira mbaya kuwa JW inatumika kisiasa kuumiza wapinzani. Kwa hiyo ipo haja kwa JWTZ kujisafisha dhidi ya tabia na mwenendo wa Denis Urio kama ulivyothibitika katika ushahidi anaoutoa mahakamani.
Hii kesi inayoendelea mahakamani imeufungua macho umma wa Watanzania juu ya tabia ya askari huyo.
Aina ya Ushahidi ambao komando Urio ameutoa mahakamani umeacha maswali mengi sana ya umma juu ya tabia ya askari huyu lakini pia hata kuathiri taswira ya jeshi mbele ya umma.
Kuna haya mambo yafuatayo:
1. Je, jeshi lina taarifa za askari wake Denis Urio kumtafutia Mbowe walinzi ambao yeye Urio anasema walipanga kufanya uhaini? Hata hivyo mahakamani Urio kasema hakuripoti Jeshini bali karipoti kwrnye mamlaka ya kipolisi. Je, hivi ndivyo askari wa JWTZ anavyopaswa kufanya pindi anapopata taarifa za uhaini?
2. Ushahidi wa Urio una matobo mengi, kuna kila sababu ya kudhani kuwa Urio anatoa ushahidi wa uwongo ili kuwaumiza raia wasio na hatia–Hapa JWTZ haina budi kufanya uchunguzi binafsi na kujiridhisha juu ya mwenendo na tabia za askari wake huyu Denis Urio
3. Mbele ya jamii ni vigumu kwa JWTZ kujiweka pembeni katika hii kesi kwa sababu, wananchi wanapata taswira mbaya kuwa JW inatumika kisiasa kuumiza wapinzani. Kwa hiyo ipo haja kwa JWTZ kujisafisha dhidi ya tabia na mwenendo wa Denis Urio kama ulivyothibitika katika ushahidi anaoutoa mahakamani.
maelezo ya Urio mwenyewe na yako yanatofautiana sana, sjui tumuamini Urio au wewe mchambuzi wake.Shida mnakuja hapa na kujifanya mnajua kumbe wasindikizaji tu. unafikiri kweli jeshi halina taarifa za kutosha na mtu wao hadi anakuja kutoa ushahidi? pia, tuchukulie mfano, Mbowe ambaye alikuwa anamwita urio "homeboy", ameamua kuingia kwake ili amtafutie walinzi na akaamua kumshirikisha huyo homeboy wake uovu anaotaka kuufanya akijua kwamba urio hatamsaliti kwasababu wametoka mbali na ni homeboy, urio akafikisha taarifa ile kwa wakubwa zake, lazima wakubwa zake watamwelekeza akende polisi, na akifika polisi lazima tu watamwambia "ili tumpate mbowe na uovu anaouwaza, jifanye kushirikiana naye".
Hapo watashirikiana hadi kuwapata hao walinzi na mambo yote yaliyoendelea mbowe akiamini kuwa urio yupo upande wake kumbe mwenzake ameshakuwa pandikizi. kumbuka kuwa hayo mambo ua uovu lazima yalikuwepo kitambo na serikali ilikuwa inatafuta namna ya kureveal kupata ushahidi. mbowe akaingia king...na ndio yupo hapo anashangaashangaa tu anatokaje, anasubiri tu huruma za wananchi na serikali. ukweli halisi anaujua mbowe, na Mungu anamuona.
😄😄😄 Wkt wa kumpima itabd ujiandae kwa ma karate homeboyHomeboy niambie 😊😊😊.. Huyu denisi ni wa kupimwa akili bila kufanya hivyo ni ubatili.. nikimkamata nitampima kwa nguvu..
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.
Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
Ushahidi wake una ukakasi mwingi sanaHii kesi inayoendelea mahakamani imeufungua macho umma wa Watanzania juu ya tabia ya askari huyo.
Aina ya Ushahidi ambao komando Urio ameutoa mahakamani umeacha maswali mengi sana ya umma juu ya tabia ya askari huyu lakini pia hata kuathiri taswira ya jeshi mbele ya umma.
Kuna haya mambo yafuatayo:
1. Je, jeshi lina taarifa za askari wake Denis Urio kumtafutia Mbowe walinzi ambao yeye Urio anasema walipanga kufanya uhaini? Hata hivyo mahakamani Urio kasema hakuripoti Jeshini bali karipoti kwrnye mamlaka ya kipolisi. Je, hivi ndivyo askari wa JWTZ anavyopaswa kufanya pindi anapopata taarifa za uhaini?
2. Ushahidi wa Urio una matobo mengi, kuna kila sababu ya kudhani kuwa Urio anatoa ushahidi wa uwongo ili kuwaumiza raia wasio na hatia–Hapa JWTZ haina budi kufanya uchunguzi binafsi na kujiridhisha juu ya mwenendo na tabia za askari wake huyu Denis Urio
3. Mbele ya jamii ni vigumu kwa JWTZ kujiweka pembeni katika hii kesi kwa sababu, wananchi wanapata taswira mbaya kuwa JW inatumika kisiasa kuumiza wapinzani. Kwa hiyo ipo haja kwa JWTZ kujisafisha dhidi ya tabia na mwenendo wa Denis Urio kama ulivyothibitika katika ushahidi anaoutoa mahakamani.
Kwa hiyo makomando hao wameteswa hivyo na mwajiri wao ili wamtie hatiani Mbowe? inaingia akilini!?nitacheka sana siku nikija kugundua kuwa co-accuseds na urio wote walikuwa na lao moja, kumkamatisha mbowe aliyekuwa na uchu wa kufanya uovu. na mbowe pale alipo anaweza kuwa anaamini wale wenzie ni wenzie. na chadema wanawatetea kwelikweli. jueni hao ni makombandoo. au hamuelewi?
nani kasema anamuogopa komandoo uwe unasoma kwa kutulia ili uelewe.Wanaume wa Dar ni waoga sana,kwa akili ya kawaida unadhani komando ni 'untouchable' au 'unbeaten'.Kamwe siwezi kumuogopa mtu yoyote.