JWTZ ifanye uchunguzi dhidi ya tabia na mwenendo wa askari wake Denis Urio

JWTZ ifanye uchunguzi dhidi ya tabia na mwenendo wa askari wake Denis Urio

Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.

Saa mbona walimkamata Mbowe mapema sana? Hivi kweli ni akili kweli kama sio mchongo kumkamata mshtakiwa bila bila kuwa na ushahidi?
 
Fikiria kua MI nae angapata hii taarifa kutoka chanzo kingine alafu anawasiliana na DCI kupanga mikakati then DCI anamwambia askari wake Urio alimpatia hii taarifa bila ya kumwambia MI.
Urio anafikirisha sana kwenye hii kesi...
Alichokifanya urio kinafikirisha mno,mawasiliano ya vyombo nyeti kama hivi ni muhimu mno,mfano baada ya TISS to mess up na ukamataji wa suspects wa uhaini,ilibidi jeshi la polisi litake over na hii ilikua rahisi kwa sababu majeshi haya yalikua yana operate above board.kuna tuhuma za kigaidi hapa MI na DCI hawaongei !!!its crazy
 
Baada tu ya kutoa ushahidi wake hapa huyu jamaa na kibarusha kwisha JWTZ. pole yake, kama hajui kufuga kuku na kitimoto kama mimi ataita maji mma.
 
Bado natafakari kwa nini JWTZ wamekubali Askari wao aje mahakamani (hadharani) kutoa ushahidi wa UWONGO? hawaoni hii inaweza kulipunguzia jeshi letu heshima nje na ndani ya nchi ?

Kwamba Afisa wa Jeshi la wananchi wa Tanzania ashiriki kwenye mbinu chafu za kesi za kisiasa.

JWTZ kitengo cha nidhamu na Sheria - someni tena ushahidi wa huyu askari wenu mwanzo mwisho muone namna anavyohangaika kuunga unga dots...haziungiki.
 
Hii kesi inayoendelea mahakamani imeufungua macho umma wa Watanzania juu ya tabia ya askari huyo.

Aina ya Ushahidi ambao komando Urio ameutoa mahakamani umeacha maswali mengi sana ya umma juu ya tabia ya askari huyu lakini pia hata kuathiri taswira ya jeshi mbele ya umma.

Kuna haya mambo yafuatayo:
1. Je, jeshi lina taarifa za askari wake Denis Urio kumtafutia Mbowe walinzi ambao yeye Urio anasema walipanga kufanya uhaini? Hata hivyo mahakamani Urio kasema hakuripoti Jeshini bali karipoti kwrnye mamlaka ya kipolisi. Je, hivi ndivyo askari wa JWTZ anavyopaswa kufanya pindi anapopata taarifa za uhaini?

2. Ushahidi wa Urio una matobo mengi, kuna kila sababu ya kudhani kuwa Urio anatoa ushahidi wa uwongo ili kuwaumiza raia wasio na hatia–Hapa JWTZ haina budi kufanya uchunguzi binafsi na kujiridhisha juu ya mwenendo na tabia za askari wake huyu Denis Urio

3. Mbele ya jamii ni vigumu kwa JWTZ kujiweka pembeni katika hii kesi kwa sababu, wananchi wanapata taswira mbaya kuwa JW inatumika kisiasa kuumiza wapinzani. Kwa hiyo ipo haja kwa JWTZ kujisafisha dhidi ya tabia na mwenendo wa Denis Urio kama ulivyothibitika katika ushahidi anaoutoa mahakamani.
Mahakama ndio itasema kama ushahidi wa Urio ni kweli au uongo....jwtz haihusiki na hilo.
 
Jana ilivyokua mahakamani:

Wakili-Kuna msg yoyote/ujumbe wa sauti wowote ulio onyesha Mbowe akikuita wewe ndg Shahid (urio) Hilo jina la 'Homeboy'?

Urio-Hapana

Wakili:Je tukisema wewe ndio umetunga hilo jina la homeboy kwa kujipendekeza kwa Mbowe ili kujifanya unamjua sana tutakua tumekosea?

Urio-Sijui.
Homeboy niambie 😊😊😊.. Huyu denisi ni wa kupimwa akili bila kufanya hivyo ni ubatili.. nikimkamata nitampima kwa nguvu..
 
Bado natafakari kwa nini JWTZ wamekubali Askari wao aje mahakamani (hadharani) kutoa ushahidi wa UWONGO? hawaoni hii inaweza kulipunguzia jeshi letu heshima nje na ndani ya nchi ?

Kwamba Afisa wa Jeshi la wananchi wa Tanzania ashiriki kwenye mbinu chafu za kesi za kisiasa.

JWTZ kitengo cha nidhamu na Sheria - someni tena ushahidi wa huyu askari wenu mwanzo mwisho muone namna anavyohangaika kuunga unga dots...haziungiki.
Hii issue ingekuwa genuine, Urio asingeonekana hata.. mchezo ungechezwa chini kwa chini.. ila wa magumashi ndio tatizo
 
ukisikia kitu kinaitwa " Proof beyond reasonable doubt - uthibitisho usioacha shaka"haitegemei shahidi mmoja, wakati mwingine huwa unategemea circumstantial evidence ambayo ili uthibitishe unatakiwa uwe na ushahidi wa matukio yasiyokatika kwenye mnyororo wake.....hivyo kila shahidi anakuwa na kakitu kake anakuja kuthibitisha anaondoa,ninyi mtahangaika kupuyanga kwenye cross examination kuuliza maswali ya kufurahisha umma kumbe wenzenu kile walichomleta aje kuthibitisha sicho kile mnachokishambulia. ndilo linalotokea hapo kwenye kesi, hadi nawaonea huruma hao mawakili wa mbowe. hawaelewi kitu, ila wanajua kuufurahisha umma ambao hawa haujui mambo ya kisheria zaidi ya ushabiki wa kisiasa.
Kuna tukio lolote la uharifu lilitokea ili ku connect hiyo circumstantial ground.
 
Hii kesi inayoendelea mahakamani imeufungua macho umma wa Watanzania juu ya tabia ya askari huyo.

Aina ya Ushahidi ambao komando Urio ameutoa mahakamani umeacha maswali mengi sana ya umma juu ya tabia ya askari huyu lakini pia hata kuathiri taswira ya jeshi mbele ya umma.

Kuna haya mambo yafuatayo:
1. Je, jeshi lina taarifa za askari wake Denis Urio kumtafutia Mbowe walinzi ambao yeye Urio anasema walipanga kufanya uhaini? Hata hivyo mahakamani Urio kasema hakuripoti Jeshini bali karipoti kwrnye mamlaka ya kipolisi. Je, hivi ndivyo askari wa JWTZ anavyopaswa kufanya pindi anapopata taarifa za uhaini?

2. Ushahidi wa Urio una matobo mengi, kuna kila sababu ya kudhani kuwa Urio anatoa ushahidi wa uwongo ili kuwaumiza raia wasio na hatia–Hapa JWTZ haina budi kufanya uchunguzi binafsi na kujiridhisha juu ya mwenendo na tabia za askari wake huyu Denis Urio

3. Mbele ya jamii ni vigumu kwa JWTZ kujiweka pembeni katika hii kesi kwa sababu, wananchi wanapata taswira mbaya kuwa JW inatumika kisiasa kuumiza wapinzani. Kwa hiyo ipo haja kwa JWTZ kujisafisha dhidi ya tabia na mwenendo wa Denis Urio kama ulivyothibitika katika ushahidi anaoutoa mahakamani.

Huyu alitoa taarifa kwa vyombo vinavyohusika na hivyo vyombo viliamua kumshirikisha kwenye STING OPERATION. Nadhani wewe uko completely clueless about sting operations.

In law enforcement, a sting operation is a deceptive operation designed to catch a person attempting to commit a crime. A typical sting will have an undercover law enforcement officer, detective, or co-operative member of the public play a role as criminal partner or potential victim and go along with a suspect's actions to gather evidence of the suspect's wrongdoing!

Angefanya hivyo bila kuvishirikisha vyombo vinavyohusika, angekuwa a true partner in crime!
 
Moyo wa mtu kichaka ,WENDA yapo yaliyo nyuma yake ,ukiyajua unaweza kumlaum au kutomlaum, mda ni mwalim ngoja kesi ibaki ilivyo tutajua mengi
Hii kesi inayoendelea mahakamani imeufungua macho umma wa Watanzania juu ya tabia ya askari huyo.

Aina ya Ushahidi ambao komando Urio ameutoa mahakamani umeacha maswali mengi sana ya umma juu ya tabia ya askari huyu lakini pia hata kuathiri taswira ya jeshi mbele ya umma.

Kuna haya mambo yafuatayo:
1. Je, jeshi lina taarifa za askari wake Denis Urio kumtafutia Mbowe walinzi ambao yeye Urio anasema walipanga kufanya uhaini? Hata hivyo mahakamani Urio kasema hakuripoti Jeshini bali karipoti kwrnye mamlaka ya kipolisi. Je, hivi ndivyo askari wa JWTZ anavyopaswa kufanya pindi anapopata taarifa za uhaini?

2. Ushahidi wa Urio una matobo mengi, kuna kila sababu ya kudhani kuwa Urio anatoa ushahidi wa uwongo ili kuwaumiza raia wasio na hatia–Hapa JWTZ haina budi kufanya uchunguzi binafsi na kujiridhisha juu ya mwenendo na tabia za askari wake huyu Denis Urio

3. Mbele ya jamii ni vigumu kwa JWTZ kujiweka pembeni katika hii kesi kwa sababu, wananchi wanapata taswira mbaya kuwa JW inatumika kisiasa kuumiza wapinzani. Kwa hiyo ipo haja kwa JWTZ kujisafisha dhidi ya tabia na mwenendo wa Denis Urio kama ulivyothibitika katika ushahidi anaoutoa mahakamani.
 
Shida mnakuja hapa na kujifanya mnajua kumbe wasindikizaji tu. unafikiri kweli jeshi halina taarifa za kutosha na mtu wao hadi anakuja kutoa ushahidi? pia, tuchukulie mfano, Mbowe ambaye alikuwa anamwita urio "homeboy", ameamua kuingia kwake ili amtafutie walinzi na akaamua kumshirikisha huyo homeboy wake uovu anaotaka kuufanya akijua kwamba urio hatamsaliti kwasababu wametoka mbali na ni homeboy, urio akafikisha taarifa ile kwa wakubwa zake, lazima wakubwa zake watamwelekeza akende polisi, na akifika polisi lazima tu watamwambia "ili tumpate mbowe na uovu anaouwaza, jifanye kushirikiana naye".

Hapo watashirikiana hadi kuwapata hao walinzi na mambo yote yaliyoendelea mbowe akiamini kuwa urio yupo upande wake kumbe mwenzake ameshakuwa pandikizi. kumbuka kuwa hayo mambo ua uovu lazima yalikuwepo kitambo na serikali ilikuwa inatafuta namna ya kureveal kupata ushahidi. mbowe akaingia king...na ndio yupo hapo anashangaashangaa tu anatokaje, anasubiri tu huruma za wananchi na serikali. ukweli halisi anaujua mbowe, na Mungu anamuona.
maelezo ya Urio mwenyewe na yako yanatofautiana sana, sjui tumuamini Urio au wewe mchambuzi wake.
 
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.

Siku idadi ya watu wa aina yako ikipungua hata kwa 5% tu - nchi itasonga!

Ungesikiliza vizuri ushahidi utagundua kuwa hakukua kuna tarehe hata moja ilipangwa kwa tukio, kuanzia kudhuru viongozi mpaka maandamano! Kwa kuwa Urio hakufahamu, sio DCI wala Kingai aliyejua pia!

“Magaidi” walipaswa kusimamishwa mara moja!!
 
Hii kesi inayoendelea mahakamani imeufungua macho umma wa Watanzania juu ya tabia ya askari huyo.

Aina ya Ushahidi ambao komando Urio ameutoa mahakamani umeacha maswali mengi sana ya umma juu ya tabia ya askari huyu lakini pia hata kuathiri taswira ya jeshi mbele ya umma.

Kuna haya mambo yafuatayo:
1. Je, jeshi lina taarifa za askari wake Denis Urio kumtafutia Mbowe walinzi ambao yeye Urio anasema walipanga kufanya uhaini? Hata hivyo mahakamani Urio kasema hakuripoti Jeshini bali karipoti kwrnye mamlaka ya kipolisi. Je, hivi ndivyo askari wa JWTZ anavyopaswa kufanya pindi anapopata taarifa za uhaini?

2. Ushahidi wa Urio una matobo mengi, kuna kila sababu ya kudhani kuwa Urio anatoa ushahidi wa uwongo ili kuwaumiza raia wasio na hatia–Hapa JWTZ haina budi kufanya uchunguzi binafsi na kujiridhisha juu ya mwenendo na tabia za askari wake huyu Denis Urio

3. Mbele ya jamii ni vigumu kwa JWTZ kujiweka pembeni katika hii kesi kwa sababu, wananchi wanapata taswira mbaya kuwa JW inatumika kisiasa kuumiza wapinzani. Kwa hiyo ipo haja kwa JWTZ kujisafisha dhidi ya tabia na mwenendo wa Denis Urio kama ulivyothibitika katika ushahidi anaoutoa mahakamani.
Ushahidi wake una ukakasi mwingi sana

Kuna mahali aliulizwa kuhusu sabaya kuuwawa akasema aliamua tu kunyamaza wamuue

Sijui ni amechanganyikiwa au amesahau au hakukariri vizuri ushahidi wake wa uongo
 
nitacheka sana siku nikija kugundua kuwa co-accuseds na urio wote walikuwa na lao moja, kumkamatisha mbowe aliyekuwa na uchu wa kufanya uovu. na mbowe pale alipo anaweza kuwa anaamini wale wenzie ni wenzie. na chadema wanawatetea kwelikweli. jueni hao ni makombandoo. au hamuelewi?
Kwa hiyo makomando hao wameteswa hivyo na mwajiri wao ili wamtie hatiani Mbowe? inaingia akilini!?
 
Wanaume wa Dar ni waoga sana,kwa akili ya kawaida unadhani komando ni 'untouchable' au 'unbeaten'.Kamwe siwezi kumuogopa mtu yoyote.
nani kasema anamuogopa komandoo uwe unasoma kwa kutulia ili uelewe.
 
Back
Top Bottom