Kabendera, Kitabu pekee hakina nguvu ya kumfanyia Mtu Character Assassination kwenye nchi Maskini hasa za Afrika

Watanzania kuwalaghai ni Jambo rahisi Sana. Hilo Magufuli alifanikiwa

..jambo lingine ni kwamba wananchi wa kawaida waliotendewa unyama wakati wa Magufuli hawajapata mahali pa kueleza dhuluma waliyopitia.

..so far waliozungumza kadhia zao ni wanaharakati, na hao kwa haiba zao ni wapambanaji. Sasa watu wa aina hiyo sio rahisi kupata huruma ya wanaowasikiliza na kubadilisha mtizamo wa jamii kuhusu utawala wa Magufuli.

..Kama unampenda sana Magufuli na hutaki achafuke basi endelea kuomba kwamba watu wa kawaida aliowadhulumu wasipate jukwaa la kueleza waliyopitia.
 
Robert amezungumza jambo halisi. Watanzania si watu wa hivyo hata ikitokea hao watu wameweka ushahidi wa video bado kuna watu wengi watakataa watasema za kutengeneza. Hata pia ikitokea kabendera amesema aliyoandika alikurupuka si ya kweli bado watu wengi watasema kabendera katishwa, alichoandika ni ukweli

Haya yote mnayobishana toka jana hakuna kundi litakubaliana na mwingine. Lissu amesema chadema Kuna rushwa ya abdul, wapo wanaoamini na wapo wasioamini, hata lissu akiweka ushahidi bado kuna ambao hawataamini. Ikitokea pia lissu akasema alikurupuka bado watasema lissu nae kalambishwa asali. Ukishaelewa hili huu ubishani haitakuwepo tena

Kuna mtu nilimpa mifano juzi kuwa kina lowassa, rostam, karamagi, chenge na wengine waliimbwa mafisadi kwa miaka nenda rudi. Je nani Leo anaimba tena hao Ni mafisadi? Nani anaamini tena hao Ni mafisadi? Ukijua jamii yetu ilivyo huwezi kupata nayo tabu ndio maana ccm wanafanya like wanachotaka
 
Una ubongo wa kufikiri vema.
 
Hizo madaraja au flyovers na Ikulu ya Chamwino inakusaidia nini? umeme wa REA siyo yeye aliyeanzisha kaka, ni Mkapa ndiye aliyeanzisha. Huongelei uwanja wa ndege wa Chato unaonekana sasa sehemu ya kuanikia mpunga. Ndiyo Magufuli amefanya nchi yetu imekuwa ya ovyo sana, uliza ndugu zake. Eti alijenga kanisa lake Chato, mbona Katoliki walikataa. Wewe unaona daraja la Busisi la maana, kwani wewe huoni shida zingine nchi hii iliyokuwa nayo? Daraja siyo tija kaka, kuna mambo mengi tu, watu wamekufa kwa Covid-19 yeye alidanganya ili watu wafe.
 

Mkuu sizungumzii Kumpenda au kumchukia Magufuli Hapa.
Nafikiri umeleta Jambo jipya.

Nazungumzia impact ya Kitabu cha kabendera Kwa Watanzania wengi ni chini ya 1%
 
Ni sahihi Kabisa

Ila lengo la kitabu halitafikiwa ambalo ni ukweli wa kuharibu Legacy ya JPM na heshima aliyonayo kwa Watanzania waliowengi
Wewe mwenyewe una promote kitabu husika kisha unasema lengo halitafanikiwa???? Lengo lipi na kwanani?
 
Mkuu sizungumzii Kumpenda au kumchukia Magufuli Hapa.
Nafikiri umeleta Jambo jipya.

Nazungumzia impact ya Kitabu cha kabendera Kwa Watanzania wengi ni chini ya 1%

Kwani impact ya kitabu cha mzee Mwinyi kwa Watanzania ni kiasi gani?. Kwa hiyo ndo kitabu kisiandikwe?

Kitabu kikiandikwa maana yake kitasomwa na vizazi zaidi ya 1000 vijavyo, na hivyo ndivyo civilization inavyojengwa.

Wewe unadjani kwa kuwa watanzania wa leo hawapendi kusoma, hiyo ndo itakuwa excuse ya kutoandika vitabu?
 
Umemaliza kila kitu Kuna kenge watabisha ila ndo ukweli
 
Wakiifuta hii na Wao wanakua wamejifuta
 
Mpk Leo hawajapata jukwaa ? Anavyochukiwa Magufuli huku watu wangekosa kuwatafutia jukwaa hao watu ? Miaka inaenda wanamsubiri jukwaa ?
 
Ni kweli kabisa hata Mimi Niko nusunusu,ila Jamaa kama ni kweli aliua mtu Ikulu,alitenda jambo baya sana!
 
Mkuu upo Safi kabisa!
 
Hili la kujua kama ni kweli,imefumba mdomo wangu na Akili imehama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…