Kabla hatuja wafundisha "Wasiomini Mungu" juu ya uwepo wake, basi inafaa sisi "Tunaoamini Mungu" tumalize tofauti zetu

Utofauti wako haukuwa relevant kwasababu unaye mhusianisha na sisi hayupo kwenye atheism

Ila nyinyi mpo kwenye theism
Nimezungumzia kwa umoja watu wasioamini Mungu na huyo ni mmoja wapo lakini nimesema hata hao Atheists nao hutofautiana.
 
Nimezungumzia kwa umoja watu wasioamini Mungu na huyo ni mmoja wapo lakini nimesema hata hao Atheists nao hutofautiana.
Agnostic ni kundi tofauti hivyo huwezi ukawa weka kundi moja na atheist

Kama atheist yupi?
 


Mkuu, ingalikuwa vyema ukaainisha hizo itikadi unazosema za Waisilamu wa Ahmadiyya ambazo ni "tofauti " ili tuone je itikadi hizo hazifuati Qur'an na hadithi na Sunna za mtukufu mtume (saw)--- kwani msingi wa Mafundisho ya Uisilamu ni Qur'an na Sunna/Hadithi sahihi,

Tafadhali tuwekee hapa.
 
Mkuu hilo haliwezekani. Kulikuwa na migongano miongoni mwa mitume waliokuwa na Yesu, sembuse sisi. Mungu katupa free will ya kila mtu kufanya aonalo sawa machoni pake. Hakutufanya robot tuwe na mawazo sawa.
 
Mkuu hilo haliwezekani. Kulikuwa na migongano miongoni mwa mitume waliokuwa na Yesu, sembuse sisi. Mungu katupa free will ya kila mtu kufanya aonalo sawa machoni pake. Hakutufanya robot tuwe na mawazo sawa.
Ila pia "Kuna upande uko sawa na mwengine unakosea?"

#YNWA
 
Atheism na Angotism ni vitu viwili tofauti

Ila muislam kwa muislam wote mko kwenye group moja la theism
Atheist yupo kwenye group gani na agnostic yupo kwenye group gani?
 
Mi nafikiria tu Kwa sauti...

Hivi Kwa mfano Waarabu na Wamishenari wasingekuja Africa kututawala na kutuletea hizi dini, labda ingekuwa sie ndo tumepata maendeleo mapema tukawa tumeenda huko, Uislamu na Ukristo ungekuwepo Africa? Na sie si tungekuwa tumeweza kuwashawishi waache dini zao wafuate hizi za kwetu na wakakubali?
 
Dini zetu zipi hizi mila na tamaduni za makabila yetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…