Kabla haujakopa milioni nne kwaajili ya Ada ya mwanao, tuliosoma Cuba tuna ujumbe wako hapa

Watoto wayajue magumu pia.Sio soft soft sisi kusini apata na.elimu kwa vitendo marenda mirenda haipo.Tokea anasoma anakaa kwenye mraba na shule.Hapo akishinfwa kuajirika snajiajiri katika lilimo anaoa au kuolea poa ka isa
Kama kuandika kwenyewe ni shida hivi acha wanangu niwasomeshe ata kwa mkopo
 
Jf ni kama kijiweni tu kanuni moja wapo ya kijiweni ni kwamba unayoyasikia pale huyachukui yote unachukua ya muhimu mengine unayaacha palepale.
Unaweza ukakuta anayeandika hapa mwanawe yupo the heaven of peace pale mbuyuni kunduchi anasoma na wazungu.
Though sometimes inatokana na kukatishwa tamaa kwa watu waliosoma wakilinganisha na mafanikio walio nayo vs wasiosoma na mafanikio waliyo nayo kama msukuma
 
Ww mbona umesoma? Acha upotoshaji kama wewe umesoma na kuishi bila kaz bac aiko ivyo kila mtu na bahat yake
Hamna Cha bahati ilikuwa zamani ukimsomesha inabidi uanze andaa connection za kazi na hapo lazima utumie pesa na unaweza ukatumia pesa na ukafeli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nikipata pesa watoto wangu watasoma shule nzuri za bei mbaya...wale maisha..Mimi kama mzazi nitakua nimetekeleza wajibu wangu.
Mambo ya kazi ni mambo ya riziki na riziki Kila mtu ana yake
 
Nikipata pesa watoto wangu watasoma shule nzuri za bei mbaya...wale maisha..Mimi kama mzazi nitakua nimetekeleza wajibu wangu.
Mambo ya kazi ni mambo ya riziki na riziki Kila mtu ana yake

Ndio mpaka upate SASA hizo Pesa.
Pesa sio ndoto za alinacha
 
Watoto wayajue magumu pia.Sio soft soft sisi kusini apata na.elimu kwa vitendo marenda mirenda haipo.Tokea anasoma anakaa kwenye mraba na shule.Hapo akishinfwa kuajirika snajiajiri katika lilimo anaoa au kuolea poa ka isa

Noma Sana
 
Utakuja kusikia nimekusomesha kwa tabu snaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Utakuja kusikia nimekusomesha kwa tabu snaπŸ˜‚πŸ˜‚

Wanakuwa wakwanza kupiga Mayowe.
Wakati unasomesha Kwa shida na kuuza viwanja, na magharama makuubwa, mpaka anamaliza kidato cha sita mtoto kamaliza milioni 20.
Kuna wenzako wametumia Chini ya milioni moja From kindergarten to Form six.
 
Elimu imekosa maana kabisa siku hizi ila sio kutokusomesha watoto shule nzuri eti kwa sababu hamna ajira, kimsingi elimu inamkomboa mtoto aje kujiendeshea maisha yake mwenyewe akiwa na akili sawasawa, wasipopata elimu ya kutosha wataishia kwenda kutafuta miujiza feki kule wanakokanyagishwa wese na kupeleka nywele ili wapate utajiri na hela , elimu ndio mpango mzima hasa elimu za kuwasanua kwamba hakuna ajira wanatakiwa kuwa wajasiriamali. Kuna mjadala nilitaka kuingia mkenge eti musukuma na kishimba hawajasoma ila wanamihela jaribu kufuatilia kwa makini uone kama hizo hela ni za mbanga za halali kweli unaweza kukimbia, bora hela ndogo ya halali kuliko hela nyingi ya magumashi.
 

Somesha shule ya hadhi yako. Hiyo ndio Hoja.
 
Somesha shule ya hadhi yako. Hiyo ndio Hoja.
kayumba usijaribu kaka wala usimshauri mtu ambaye ana kauwezo kake apeleke mtoto kule ,kwanza hao walimu wenyewe tiamaji tiamaji, nimeshuhudia mwalimu hata ku construct sentensi moja ya kiswahili iliyonyooka hawezi KISWAHILI wala sio kizungu, unategemea huyo atamfundisha mwanao?
 
Nilishawahi kusema hapa, uwekezaji wa elimu kwa sasa haulipi. Unasoma na kwenda kufanya kazi za wasiosoma.
Shule standard zipo ada
 
Nilishawahi kusema hapa, uwekezaji wa elimu kwa sasa haulipi. Unasoma na kwenda kufanya kazi za wasiosoma.

Sasa ndio nini hiyo Mkuu.
Hizo Pesa zilizotumika kusomesha Kwa gharama ungempeleka shule za kawaida alafu akimaliza unampa mtaji mtoto akafanye biashara
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unamfundisha Mwenyewe mtoto nyumbani.

Sisi wengine tulijua kusoma, kuandika, kuhesabu na kidogo kingereza nyumbani. Kila tukirudi jioni tunapigwa msasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…