Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Hakuna ukweli wowote hapo hiyo ni kamba hakuna baba mkwe wa kisukuma akaenda kwa mkwilima kukaa zaidi ya mwezi. ndoa yangu ina miaka zaidi ya kumi lkn baba mkwe kaja mara moja na hakumaliza wiki. akija anasalimia anaondoka. mama mkwe huwa anakuja kila mtoto wake akiwa mimba hapo anaweza akakaa hata mwezi auMbona umefungua saana code,umejiweka wazi na umemuweka wazi mke wa Askari kujulikana
Jirani yako
Askari polisi
Mkewe unaetembea nae ni msukuma
Alishatembelewa na familia nzima
Askari akiiona hii,ameshapata mchoro
Mchele utoke wapi bro, ya kwao ni michembe tu.
Hilo la chale ni kiboko, mara ya kwanza nilishangaa sana ila uchawi ni utamaduni wao na hawaoni haibu
wanyamwezi na wasukuma tamaduni ni ile ile ni sawa na kusema wadakama na bhakiya sijui utaelewa.Tabora ni wanyamwezi
Tabora yote nimetembea, nimekaa na naijua mpaka kule upele mpandamlowoka.
Kama mchele ungezalishwa kwa kiasi hicho kwa nini sio chakula chenu kikuu.
Wanyakyusa wa Kyela, Watu wa Mto kilombero na Rufiji wali ni chakula Chao kikuu, embu Lete mbaa hapa.
Ninyi wazee wa udaga na Michembe, nje ya hapo ni kujidanganya.
Sisemi haya kwa kujifurahiasha, la hasha nimezulula na naendelea kuzulula usukumani na kwa Sasa nipo huku Gambosi na vijiji kama Nkololo.
Asili yenu haijifichi
Uko sawa mkuu. mpunga huku kwa sasa unalimwa sana nikweli hatuwezi ifikia mbeya, mbeya hata kwa mahindi tu inatuzidi mbali mnoMchele umekuwa ukilinwa sana Shinyanga kwa miaka mingi, tena mchele wao ni organic hawaweki mbolea za viwandani zenye kemikali , ukienda kununua masoko yenye hadhi kama Kisutu utakuta unaongoza kwa bei juu sababu ya ubora wake.
Mchele wa kurka ni jina tu lakini kwa utamu , kunukia na ubitą mchele wa Shinyanga ni nam Bari wani hauna mpinzani .
Kilo shilingi zaidi ya 4,500/- tena ni muda Sijui kwa Sasa .
Sema wasukuma wanalima kwa biashara na sio kwa matumizi ya chakula ,
Wao chakula chao kikuu ni ugali wa mahindi na viazi vitamu.
Wanyamwezi wanapenda kurina asali na ni wavivu wa kulima.wanyamwezi na wasukuma tamaduni ni ile ile ni sawa na kusema wadakama na bhakiya sijui utaelewa.
kwanza michembe sio chakula kikuu huku hii pigaX
Mwaka jana mzee wangu pamoja na uzee wake katoa gunia 427. lakin usiku hawezi kula wali.
Uliza wazee watakwambia kuwa mpunga ulikuwa unaitwa chakula cha ndge kipindi hicho.
huku mpunga unalimwa sio kidogo vilevile kwa sababu unadhurula ukimaliza kuzurula muone bashe akupe takwimu
lazima kwenye kanda muhimu3 za wazalishaji wa mpunga kanda ya ziwa lazima imo.
Mi hata kesho wali siupendi huwa nakula kwenye sherehe tu.
Hahahaaaa mkuu ujio wao kwako ni baraka tupuHawa wakikaa wiki nafukuza mana watakua washanitua hasara ya gunia la Mchele...
Hivi mkuu kati ya wasukuma wa mwanza na shinyanga ni wapi kwenye wanawake wa kisukuma wenye tabia njema?Mengine yanavumilika ila kujikuta uneoa familia ya wachawi ni kugusa tu
Hahaaaa mkuu unafurahisha sana. yaani hivyo vyote ulivyotaja wanyamwezi wanafanya nasisi vipo baadhi ya sehemu.Wanyamwezi wanapenda kurina asali na ni wavivu wa kulima.
Hupenda kutumia Warundi kwenye kilimo Cha Tumbaku.
Walozi hasa kwenye mapenzi
Wanyamwezi sio wafugaji ila Wasukuma ni wafugaji.
Walozi hata kwenye mamabo yasiyo ya msingi.
Yaani mpaka mna sikukuu ya kushindanisha wachawi.
BARIADI hufanyika kila mwezi wa Tano.
Tena Kuna mkuu wa wachawi na waganga kimkoa.
Hizi ni tamaduni zinazofanana?
Ninyi yenu ni michembe na udaga tusijilishe upepo
Mchembe karanga na yoghurt ndiyo chakula pendwa kwao. Ila ni kabila linalo jali sana kwenye chakula hawana uchoyo kabisa kwenye msosi.
😂😂😂
Hahahahahaha....!Hakuna mwanamke wa kisukuma asiye na chale mwilini.
Familia za kisukuma kupeana connection za waganga konki ni jambo ka kawaida, usishangae siku mkeo anapigiwa simu na mama yake kuwa aombe ruhusa kwako li akampeleke kwa mganga mpya.
Ni mara chache sana kukuta mwanamke wa kisukuma ni tasa, kwa maana hazai ni ngumu mno, wana dawa za asili za kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba nk.
Usishangae siku baba mkwe na mama mkwe na ndugu wengine wanakuja kwenu kuwatembelea bila taharifa na watakuongelesha kisukuma bila kujali kabila lako, watakaa hapo mpaka wachoke wenyewe usiwapangie muda wa kukaa.
Kama ulizoea kuwa kilo ya mchele ni watu 4 basi unajidanganya,kilo moja huliwa na watu 2 tu, awe mwanamke au mwanaume.
Kwa niaba tu.Hivi mkuu kati ya wasukuma wa mwanza na shinyanga ni wapi kwenye wanawake wa kisukuma wenye tabia njema?
HA!HA!HAHahahaaaa mkuu ujio wao kwako ni baraka tupu
lazima waje gunia lililo kobolewa la mpunga
karanga
maharage na viazi vilivyo kaushwa almaalufu michembe. huwa wanabeba kama wanahama mkuu. hata wasipokuja
utatumiwa tu hata uwe dar au mbeya
wakija mikono mitupu fukuza sio wasukuma wale.
Shukrani mkuu ila mimi sio msukuma ila napenda nioe mwanamke wa kisukumaKwa niaba tu.
shinyanga ni kubwa na sasa imegawanyika kuna simiyu pia yote hiyo ni shinyanga mwanza vile vile sasa kuna geita.
swali lako ni sawa na kubeti lakn kwa haraka haraka nenda vijijin huko shy utapata na uende kama msukuma ukienda kama bishoo utapewa bishoo mwenzio
SorryAcha ujinga watz wote wachawi
Siku hizi kuna wasukuma wafupi hasa kuanzia kahama mpaka runzewe sababu wameoleana sana na wahaWasukuma ni kabila Mojawapo ambalo limebarikiwa sana.
Wasukuma ni ma-giants, ni majitu, yamepanda hewani kama Majerumani, kama wadachi, kama wacanada n.k
Ni wengi wanenyooka mkikubaliana jambo ni hivyo hivyo Hawana kigeugeu.
Si Watu wa hila moyoni.
Si Watu wa ndimi mbili.
Si wanafiki.
Kuifanya nae kazi ofisini ujue uko salama hawezi kukufanyia ubaya wala fitina.
Nawapenda sana watani zangu lakini okokeni acheni uchawi na ushirikina.
Mwamini Yesu Kristo mpate o dołek la dhambi.
Tubuni maana ufałem wa Mungu umekaribia.
Mwaminini na Robo Mtakatifu.
Nani aliyekwambia Wazaramo wanapenda wali?Hahaaaa mkuu unafurahisha sana. yaani hivyo vyote ulivyotaja wanyamwezi wanafanya nasisi vipo baadhi ya sehemu.
Sisi ndo wahusika unatubishia? Babu yangu mmoja wa wake zake alikuwa mnyamwezi nisijue kutofautisha? hadi leo baba wadogo wako hapo Tabaora huwa tunaenda na wao huwa wanakuja.
Kila kabila lina chakula chake pendwa mfano wazaramo na ubwabwa nani wa kuwatenganisha nao? je wanalima wapi wazaramo huo mpunga?
Sisi ni ugali mhogo huwa tunachanganya kwenye ugali wa mahindi ili uwe laini. udaga kavukavu huliwa mwambao wa ziwa hasa wavuvi na wengi wao sio wasukuma kuna wasubi,walongo,wasumva nk hawa ndo wanapenda udaga.
Sioni shida kabisa sisi kula ugali na viazi ni cahakula pendwa sana na kamwe huwezi kutubadirisha labda vizazi vya tiktok
Uko sahihi,kuanzia kahama mpaka runzewe kuna waha wengi sana na wameoana na wasukumu,waha wengi ni wafupi kwa hiyo kuna hybreed fulani haileweki kabisaSema kuna changamoto nasiona kwa jamii ya wasukuma.
Ile identity yao ya u-giant huenda ikapotea na kubaki historia baada ya muda mfupi ujao.
Sababu siku hizi wanaoa wanazaa na makabila baki ambayo hayana vile vinasaba vya urefu ndani yake.
Unakuta mtu anakwambia ni Msukuma lakini mfupi kama Mpare wa thame au Mluguru wa mgeta/matombo ?!
Yaani zamani na wanawake wenu MashaAllah nao ni warefu mkija kutoa watoto ni majitu fulani yamenyoookaaa.
Breed ya aina take kwa kweli.