Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

Ni kweli Buziki ni kama Kigali watutsi wengi sana ila kuna njemba inaitwa mrefu ni hatari yule mtutsi,Buzirayombo ioo moto tangu mkoloni vita ya pili ya dunia zilipigwa pale

,Busaka,makurugusi,igando,bwera,bukiriguru,msasa huko uchawi ni live bila chenga
 
Ila hili la kutembelewa bila taarifa na kukaa muda usiojulikana ni kweli kabisa.
 
Mrefu, sijui kama bado ni mjumbe wa kamati ya siasa ya mkoa wa Geita. Enzi ya vita ya Rwanda, alichangisha sana wanyarwanda ili kusaidia RPF.

Kuna stori kwamba Buzirayombo ilikuwa maarufu kwa kulima miwa, some wanasema iliwahi kuwa na kiwanda cha sukari kidogo.

Patel mmiliki wa Ginnery Chato miaka ya zamani sijui aliwezaje kuishi huko
 
Balaa sana demu wangu wa kusukuma kulwa mweupe wa shinyanga aliweka wazi hilo bila kificho
 
obheja ong'wise,umemchapa kwel kwel!bhena tuja sana abhajogoli bhenabha
 
Upo sahihi,tena unakuta msukuma hata majina yake yote ni ya asili,sio mtu kujiita Mohamed Said au Yohana Petro na huku unaroga
Pwani ushirika upo juu sn.. hao hao wanaoshinda misikitini ndio wanajulikana kuwa wachawi wakubwa hata mitaani.
 
Pwani ushirika upo juu sn.. hao hao wanaoshinda misikitini ndio wanajulikana kuwa wachawi wakubwa hata mitaani.
Sasa wewe bibi wa KISUKUMA kwa kauli yako hii leoleo uislamu umekufa umefurahi eeeee?
 
Acha kujiliza mtoto wa kiume, jikaze, have a thick skin.
 
Muuloze hivi yeye atakuwa sawa binti yake au kijana wake akileta mkwe ana tattoo zakutosha mikononi, miguuni hadi shingoni?
 
Kuna mwamba mmoja alikua mkuu wa taasisi fulani ni msukuma, kijijini kwao karibu kijiji kizima kawatafutia kazi kwenye hiyo taasisi, anachofanya wakati unasubiri ajira anakuita kwake sasa nyumbani kwake walijaa wasukuma wengi kichizi yani, pale nyumbani chakula kinapikwa kwenye masufuria makubwa kama ya shule

mwamba alinunua mashamba kwahiyo kabla hajakuingiza kwenye system lazima akupigishe kazi kama una moyo mwepesi unaweza kutoroka jamaa wakiamka asubuhi ni kwenda shambani kupitia hao cheap labour yule mwamba alitajirika sana na kijijini kwao karibu kila familia inamtu aliepata ajira kupitia yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…