Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Nabii to yeye nimekupenda bureManabii hatuna habari nawe,mwili wako,nguvu zako na pesa zako sisi tuseme nn tena.All the best kamanda
Wee baba weweKabisa mkuu.Tunaonewa sana na kupangiwapangiwa ya kufanya.Twende vijiji vya mbali tukatwae wanawali tuoe.
Sema neno tu Roho yangu itakate mkuu!Wee baba wewe
Ukiwa huna akili ya kuishi na mwanamke mmoja utapata wapi akili ya kuishi na wengi?Naunga mkono hoja, ukioa wake wengi hufi mapema
TubuSema neno tu Roho yangu itakate mkuu!
Mto wenye vyanzo vingi haushiwi maji we binti. Oa wake zako sita, ishi raha mstarehe 😄 tena unatafta shamba kubwa kama bwana nguzu wanakuwa wanachapa kazi humoUkiwa huna akili ya kuishi na mwanamke mmoja utapata wapi akili ya kuishi na wengi?
Hako ka mbususu Sasa🤣😂Hataki kustaafu vyema,mwache akafie kwenye mbususu mpya
Swadaktaa!Warembo wanakuwa wanakuengaenga kama mjukuu wao.Ukigeuka huku wanakubusu.Ukijigeuza kushoto wanakulisha kwa huba kali sana hadi unaweweseka.Naunga mkono hoja, ukioa wake wengi hufi mapema
Ili TU udinyedinye?
Nikuhuburie kwa kugha gani uelewe?Swadaktaa!Warembo wanakuwa wanakuengaenga kama mjukuu wao.Ukigeuka huku wanakubusu.Ukijigeuza kushoto wanakulisha kwa huba kali sana hadi unaweweseka.
Kabsa yani kwanza kila mtu anashindana umuone kwa hiyo unapewa mahaba na ma customer service kama yoteSwadaktaa!Warembo wanakuwa wanakuengaenga kama mjukuu wao.Ukigeuka huku wanakubusu.Ukijigeuza kushoto wanakulisha kwa huba kali sana hadi unaweweseka.
Kamebutuliwa haswa,yeye kapakiwa limao sikuhiyo ya mnyanduo kakuta mbususu mnato tayari anataka amweke ndanHako ka mbususu Sasa🤣😂
Yes.... Nini kazi ya pesa? Pesa ikupe raha.Naunga mkono hoja, ukioa wake wengi hufi mapema