Mandingo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 4,515
- 3,948
Kwani avatar inauhusiano gani na chaputa mama?Avatar inaonyesha we ni chaputa,uchepuke nn sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani avatar inauhusiano gani na chaputa mama?Avatar inaonyesha we ni chaputa,uchepuke nn sasa
Nothing shall befall us except what God has ordainedMimi ni Mkristo Safi, ila aliyesema kuooa wake wengi dhambi alikosea kwani hata Yakobo au Israel alikuwa na mke zaidi ya mmoja.
Mambo ya kuoa kamke kamoja ni kujidhulumu nafsi.
Natafuta pesa ya kiinua mgongo changu Mwenyewe maana si jaajiriwa na nikiiipata nitaoa Sana na kuzaa watoto wengi Sana.
Manabii karibuni mnisimange
Kama umemruhusu dogo mkubwa si umebobeaKwani avatar inauhusiano gani na chaputa mama?
Karibu@jemima mrembo natuma barua ya maombi...
Ttihi tiihi tehe teheKama umemruhusu dogo mkubwa si umebobea
bwana nguzo au sio mkuuMto wenye vyanzo vingi haushiwi maji we binti. Oa wake zako sita, ishi raha mstarehe 😄 tena unatafta shamba kubwa kama bwana nguzu wanakuwa wanachapa kazi humo
nakaziaNaunga mkono hoja, ukioa wake wengi hufi mapema
Kutubu natubu Ila msimamo upo palepale.HahahahaaaTubu
Magonjwa mengine hata kumsimulia dokta ni aibu.Duh!Bora aoe, kuchepuka ndio mwanzo wa kukuletea gono nyumbani. Killa mchepuko una mchepuko una wake
Huyo uliyemtolea mfano unaona alivyochanganyikiwa kila mda kuna kesi ya kujibu kwenye maisha halisi yule ameshazikwa kitambo tuMto wenye vyanzo vingi haushiwi maji we binti. Oa wake zako sita, ishi raha mstarehe [emoji1] tena unatafta shamba kubwa kama bwana nguzu wanakuwa wanachapa kazi humo
Hata akifa umri wake umeenda siku hzi vijana wanakufa kwenye 50s tu kisa stress za familia. Huku unatekenywa kidevu huyu anapapasa kitambi huyu anakuvua viatu maisha ndo haya kama ya daudiHuyo uliyemtolea mfano unaona alivyochanganyikiwa kila mda kuna kesi ya kujibu kwenye maisha halisi yule ameshazikwa kitambo tu
Ukizingatia kuungama kupo... ukiona yamekushinda unaenda kuomba toba...