Kabla sijafa, lazima nioe wake wengi

Kabla sijafa, lazima nioe wake wengi

Bujibuji Simba Nyanaume kwanza kabisa hongera kwa ushindi mlioupata jana dhidi ya Berkane, nyie kweli ni Simba Nyanaume si viluilui vya Jangwani vyenye roho mbaya kuzuia nyie msinywe maji kule Lupaso (Kwa Mkapa). Mungu hajakataza mtu kuoa wake wengi, story nyingi za Quran na Biblia ni uzushi tu na hazina mashiko yoyote. Kuna kipindi Mohammad alikuwa na wake 13 akawaacha wengine (kwa kupunguza) mpaka akabakiwa na 7 tu. Kijana Yakobo kwenye Biblia alikuwa na wake lukuki, mfalme Solomon alikuwa na wake 700 na girlfriends 300. Yet, bado watu wanaamini tu upuuzi wa kwenye hivi vitabu. Wewe kama uwezo unao oa tu kwani lengo la wewe kuwa mwanamme ni kuja hapa duniani kuzalisha wanawake na kuwatunza, HAKUNA aliyekukataza. Ukifuata hizi dini utapotoka mshikaji maana zinakufanya uwe mjinga daima. Angalia watu wanaojikita kwenye dini, ni kama mazombie fulani hivi yasiyo na akili za kufikiri mpaka waambiwe na sheikh ama mchungaji.
Umeandika kwa ushabiki wa kusimuliwa pasipo kuwa na ueleo wa historia ya maisha ya Mtume Muhammad (S.A.W)

Hakuwahi kumtariki hata mke wake mmoja,na hakuwahi kuishi na wake 14 kama unavyodanganya na chuki zako za kidini.Mke wa kwanza wa Mtume aliitwa Bi Hadija aliishi naye robo karne,na wakati yuko na Bi Hadija hakuwahi kuoa mke mwingine mpaka Bi hadija alipofariki ndipo Mtume alipokuja kuowa wake wengine
 
Mimi ni Mkristo Safi, ila aliyesema kuoa wake wengi dhambi alikosea kwani hata Yakobo au Israel alikuwa na mke zaidi ya mmoja.

Mambo ya kuoa kamke kamoja ni kujidhulumu nafsi. Natafuta pesa ya kiinua mgongo changu Mwenyewe maana si jaajiriwa na nikiiipata nitaoa Sana na kuzaa watoto wengi Sana.

Manabii karibuni mnisimange
MUNGU alivyo Mkuu sana, hiyo pesa hutaweza kuipata kwasababu una mawazo mabaya.
 
Dini my haimtakii wema mtu mweusi.
Eti kuitwa Bujibuji Simba Nyanaume NI dhambi, eti niitwe majina ya Babu zao, sijui Mohammed sijui Paul, huu ni uzuzu.

Mungu akinipa Mali ya kutosha hata kuoa wanawake Mia na kuwatunza vyema, nitafanya hivyo.

Skylar usije kusoma huu Uzi. Najaribu kurudisha tulichokipoteza, asili yetu, jadi, Mila na tamaduni.

Graduates wa elimu ya jando, wakimaliza TU chuo, wanahama nyumbani, wanaenda kujenga maisha yao. Elimu ya mkoloni imefubaza talanta zetu na uuwezo wetu wa kujikimu mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla
Sijausoma, nimefumba macho hata sijaona ulichoandika😅😅
 
Mimi ni Mkristo Safi, ila aliyesema kuoa wake wengi dhambi alikosea kwani hata Yakobo au Israel alikuwa na mke zaidi ya mmoja.

Mambo ya kuoa kamke kamoja ni kujidhulumu nafsi. Natafuta pesa ya kiinua mgongo changu Mwenyewe maana si jaajiriwa na nikiiipata nitaoa Sana na kuzaa watoto wengi Sana.

Manabii karibuni mnisimange
Subiri makerubi wanakuja kukushauri😅
 
Kuowa mke mmoja ni amri ya mtu,na kuowa wake wengi ni amri ya Mwenyezi Mungu.Fikiria wanaume wako wachache,haohao wanaume ndiyo wanaoongoza kwa kufa kwa kufanya kazi hatarishi,mfano Wanajeshi,Migodini,Madereva,n.k.
Mijitu misomi inafeli wapi?
 
Huku kuoana kunazingua sana , tungekuwa tunapandiana kama kuku ingekuwa bomba mno
 
Dini my haimtakii wema mtu mweusi.
Eti kuitwa Bujibuji Simba Nyanaume NI dhambi, eti niitwe majina ya Babu zao, sijui Mohammed sijui Paul, huu ni uzuzu.

Mungu akinipa Mali ya kutosha hata kuoa wanawake Mia na kuwatunza vyema, nitafanya hivyo.

Skylar usije kusoma huu Uzi. Najaribu kurudisha tulichokipoteza, asili yetu, jadi, Mila na tamaduni.

Graduates wa elimu ya jando, wakimaliza TU chuo, wanahama nyumbani, wanaenda kujenga maisha yao. Elimu ya mkoloni imefubaza talanta zetu na uuwezo wetu wa kujikimu mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla
Unajitambua, umeongea point na hauko kama wafuasi wa Mfalme Zumaridi. Hongera kwa kujitambua👏
 
Umeandika kwa ushabiki wa kusimuliwa pasipo kuwa na ueleo wa historia ya maisha ya Mtume Muhammad (S.A.W)

Hakuwahi kumtariki hata mke wake mmoja,na hakuwahi kuishi na wake 14 kama unavyodanganya na chuki zako za kidini.Mke wa kwanza wa Mtume aliitwa Bi Hadija aliishi naye robo karne,na wakati yuko na Bi Hadija hakuwahi kuoa mke mwingine mpaka Bi hadija alipofariki ndipo Mtume alipokuja kuowa wake wengine
Mkuu hapa ndipo JF, uliyokuwa huyajuwi utayajuwa hapa. Usikariri tu Quran, soma historia ya Mohammed. Unajuwa kuwa Mohammed alioa mtoto na akawa anambaka? Kama hujuwi huyo mtoto ni Aisha, kalikuwa ni katoto ka miaka 7 kakaolewa na Mohammed ambaye alikuwa na miaka 52. Alianza kumuingilia Aisha alipokuwa na miaka 9 yeye Muddy akiwa na miaka 54, unayajuwa haya? Tatizo la waafrika ni kupenda kukariri tu vitu bila hata kujuwa ukweli wake..
 
Mkuu hapa ndipo JF, uliyokuwa huyajuwi utayajuwa hapa. Usikariri tu Quran, soma historia ya Mohammed. Unajuwa kuwa Mohammed alioa mtoto na akawa anambaka? Kama hujuwi huyo mtoto ni Aisha, kalikuwa ni katoto ka miaka 7 kakaolewa na Mohammed ambaye alikuwa na miaka 52. Alianza kumuingilia Aisha alipokuwa na miaka 9 yeye Muddy akiwa na miaka 54, unayajuwa haya? Tatizo la waafrika ni kupenda kukariri tu vitu bila hata kujuwa ukweli wake..
Dini zimeletwa na washenzi
 
Back
Top Bottom