Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kihama cha maccm kimefikaKafanya vzr maana sasa ni Chadema tu wanatamba huku Bara kule Zenji ACT wako vzr.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kihama cha maccm kimefikaKafanya vzr maana sasa ni Chadema tu wanatamba huku Bara kule Zenji ACT wako vzr.
Maybe!ila Kama Hilo ndio lilikuwa lengo wangejiunga tangia mwanzo ili nguvu ya upinzani iwe kubwa Sasa amini usiamini wapenzi wa Zitto hawatampa Lissu Kura ,walitakiwa wawaandae kisaikolojia wanachama, yaani kifupi huyu jamaa kafanikisha na ile principal ya divide and rule.Kafanya vzr maana sasa ni Chadema tu wanatamba huku Bara kule Zenji ACT wako vzr.
Tuliza kidonda hichoKatumwa vipi wakati mmemchukua wenyewe?
Mawazo ya ki lumumba lumumba, haya kachukue buku zako 7Just opinions mkuu.U r free to thnk in whatever dimension.
By the way kuwa Ccm is not a crime though sipo huko. Kama wapizan wenye matarajio ya kuongoza nchi hii siku moja , basi ni lazima tujizoeze kuheshimu mawazo m badala hata pindi wengine wanapotofautiana na wewe.
Karibu kwa mtazamo wako.
Wacheni uogaMgombea urais anenda kuchek afya dubai, hii tayari ni kikwazo ktk nafasi anayoomba.
Bahati mbaya Membe mwenyewe hana ushawishi wowote ule Tz, Zitto Kabwe na ACT yake yenye Mbunge 1 na madiwani wasiozidi 10 nchi nzima hawana u-heavyweight wowote ule kwny siasa za upinzani huku bara na uzuri Lissu alishamuunga mkono maalimu kwa upande wa Zenji,mambo mswano.Maybe!ila Kama Hilo ndio lilikuwa lengo wangejiunga tangia mwanzo ili nguvu ya upinzani iwe kubwa Sasa amini usiamini wapenzi wa Zitto hawatampa Lissu Kura ,walitakiwa wawaandae kisaikolojia wanachama, yaani kifupi huyu jamaa kafanikisha na ile principal ya divide and rule.
Ili niiamini propaganda yako unayoisemaIli iweje?
Okay!wacha tusubiri nguvu ya umma trh 28 itachoamua...Bahati mbaya Membe mwenyewe hana ushawishi wowote ule Tz, Zitto Kabwe na ACT yake yenye Mbunge 1 na madiwani wasiozidi 10 nchi nzima hawana u-heavyweight wowote ule kwny siasa za upinzani huku bara na uzuri Lissu alishamuunga mkono maalimu kwa upande wa Zenji,mambo mswano.
Jiandae kisaikolojia maana Lissu ndiyo rais wako wa awamu ya sita.
Ukiona hutaki basi rudi kwenu Burundi
Ahahahahahahahah.Dah mkuu mimi ni kamanda mbona halaf unataka kunishusha vyeo?Mawazo ya ki lumumba lumumba, haya kachukue buku zako 7
Unadhani wewe ndiyo unayejua kuwa siyo mbali?Mkuu tarehe 28 october sio mbali hahaha
Habari za membe waeleze wana ACTAhahahahahahahah.Dah mkuu mimi ni kamanda mbona halaf unataka kunishusha vyeo?
Ww kwa jicho la upizani huon kama membe anajaribu kuleta mkanganyiko?
Wewe hujiulizi kwann chadema hawaongelei hiz habar licha ya kwamba pia wana face same financial hardship ku fund campaign ? Unadhan hawataman kulalamika badala yake wamemua kupambana kwa alternative nyingne ya kuchangiwa na wananchi!?.
Cdm wanajua impact ya hii kitu.!!
Impact ya kujionyesha ninyi kama chama kuji associate na wafanya biashara na wafadhili..
Mimi kwa muono wangu ni kwamba Membe anaupaka tope upinzani.
Kama vp alalamikie chama chake alone asijumuishe wapinzani wote wakaonekana ni wale wale.
Ni hatar chama kuwa cha wafanya biashara au mabeberu kuwa wafadhili.Hamyakwepa influence yao pindi mnapoingia madarakani
Ahya kanawe miguu ulale sasa usiku umeingia kusudi kesho uwahi shuleIli niiamini propaganda yako unayoisema
Sasa wewe mbona ulikuja mbio kunipiga mawe na ww co ACT?!Habari za membe waeleze wana ACT
Umeumia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wewe mbona ulikuja mbio kunipiga mawe na ww co ACT?!
Leteni toleo jipya la airport zenu hao wabelgiji wafadhili ujenziAirport alizijenga mkoloni sasa hivi mnafanya marudio
Kwasababu kwenu ubeligiji tutagawana plastic za kwenye keyboardHutaki kuongozwa na cdm rudi kwenu Burundi