Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Chadema hakuna maboya kama wewe yapo kulee mtaa wa pili wapelekee habari nishashtukiwa weweMimi nipo Chadema ila najitambua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema hakuna maboya kama wewe yapo kulee mtaa wa pili wapelekee habari nishashtukiwa weweMimi nipo Chadema ila najitambua.
Naungan naww mkuuMkuu lissu hawezi na hataweza kuwa rais wa nchi hii,mark my words
Huyu sio CDM amii nakwambia ni lumumba on lineSisi cdm kukichangia chama chetu hiyo imekuwa ni moja ya wajibu wetu.
Hao ACT nao wana chama wao, waanze kukichangia chama chao maana hakuna short cut.
Vipi, unapiga kampeni? Ila nimehisi english haipandi!Naona sindano imekuingia vyema maungoni mwako ili upone kichaa chako View attachment 1571191
Fent FodVipi, unapiga kampeni? Ila nimehisi english haipandi!
Utamfahamu tuMnampamba sana hyo membe wakt mtaani ata kumfaham hawamfaham.
Wafanya biashara ya Korosho na Manji wameshindwa kumsaidia ??BERNARD Membe, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, mazingira magumu ya Siasa kwa sasa, yamesababisha marafiki na wafanyabiashara kushindwa kuwasaidia. Na kwamba, kusuasua kwa kampeni hasa vyama vya upinzani nchini, kunatokana na ukweli kwamba, wagombea wengi wana ukata kwani hawana msaada tofauti na chaguzi zilizopita....
Mbona Chadema wamekodi choppa?!"Mgombea wa nafasi ya u Raisi kupitia chama cha Act wazalendo Benard Membe amedai vyama vya upinzani zina ukata wa fedha za kampeni haijawahi kutokea."
Una maoni yapi ya kuishauri Serikali iruhusu vyama vya upinzani kupata pesa kutoka kwa marafiki na wakereketwa?
Zaidi ya miaka 60 ccm haina lolote ililo wafanyia watanzania zaidi ya kuwatia umasikini tuSijawahi kumuelewa hyu mwamba tangu akiwa waziri mpk leo, mwenzangu ebu nitajie ata jema lake moja tu ambalo tunaweza tukajivunia.
Mala nyingi mikeka ya ivi uwa inatoka unashangaa bora ningeweka laki ningeamka vzri zaidSema mimi mwenyewe nikijuaga hili game sishindi
mkeka naweka vihela vidogo vidogo tuu,hata vikiliwa poa tu lakini
sio kwamba nakua sina hela ila ni kwasababu nishajua huu mkeka kuungua n dk 0 tu.
Mkuu ruzuku izoizo uendeshe shughuli za kila Sikh za chama tena nchi nzima zitabaki kiasi gani kutosheleza na kampeni?Ruzuku walikuwa wanapeleka wapi?
Hana ujanja aje tutunaambiwa anakuja kuunga mkono kamanda