Kadri siku zinavyoenda kanisa katoliki linapotea slowly kwa sababu watu hawataki kusali kimprinsiple preiple.

Kadri siku zinavyoenda kanisa katoliki linapotea slowly kwa sababu watu hawataki kusali kimprinsiple preiple.

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompanda mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Watu wa wapi na wangapi na kwa sensa ipi! The catholic church is there to dominate
The Catholic Church, also known as the Roman Catholic Church, is the largest Christian church, with 1.28 to 1.39 billion baptized Catholics worldwide as of 2024.
 
Watuwa wapi na wangapi na kwa sensa ipi! The catholic church is there to dominate
The Catholic Church, also known as the Roman Catholic Church, is the largest Christian church, with 1.28 to 1.39 billion baptized Catholics worldwide as of 2024.
Ndo unadanganywa hivyo. Makanisa ukaya yanageuzwa bar kila siku
 
Watuwa wapi na wangapi na kwa sensa ipi! The catholic church is there to dominate
The Catholic Church, also known as the Roman Catholic Church, is the largest Christian church, with 1.28 to 1.39 billion baptized Catholics worldwide as of 2024.
Unajidanganya mkuu. Ibada ya katoliki ni ibada ya mazoea.
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Alisikika bibi kizee mmoja anayeishi Tanga chumbageni akinena......kwa hamasa kabisa
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Hilo umeliona kibongo bongo tu man, ila kwa nchi zingine sidhani kama ukatoliki umepungua kama Tanzania yetu..
 
Ibada haifanyiki kwenye majengo ya kazi za mikono ya wanadamu

Ibada ni ndani ya moyo wako

Kadri unavyokusanyika ni kusanyiko la kawaida ambalo linahita polisi vibali kusajiliwa vyoo trafficking na mambo mengi

Ibada haipo hivyo hayo ni makisanyiko kama vikao vya harusi mpira wa miguu na chanjo
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompanda mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Mtoa mada kumbuka Kristo ni yule yule Jana leo na hata Milele! Makanisa ya Kimwendo kasi na matapeli wa dini huibuka kama uyoga na hufa hivyo hivyo....walikuwepo wengi na wataendelea kuja wengi, lakin kanisa ni moja, takatifu lenye mizizi ndani ya Kristo wa Ukwel halitajufa mpaka atakapoamua.Huu ni msimu wake huyo Mwamposa, acha aendelee kula vichwa! Walivuma sana hawa leo wako wapi?Kakobe, Mwingira,Ngurumo za upako, marehemu mama Rwakatare,Mzee wa upako makuhani na manabii wa uchawi kila kona!
Neno la kweli ni Kristu na neno litasimama milele mambo yote yatapita....Wewe vuta pumzi mpe muda, kama anachofanya ni kazi ya Mungu haitakufa itatimiza ilichotumwa kwa Kristu hamna mashindano.

Tumsifu Yesu Kristo.
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
RC wanakufundisha kweli ya Mungu halafu wanakuhimiza uiishi, lakini iwapo ulikuwa unategemea watatengeneza 'mvuto' kama unavoutaka wewe, basi sahau kabisa hilo. Mvuto hufanywa na wafanyabiashara kwa wateja, sio kwa mambo ya kiroho yanayohitaji zaidi imani.
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Mwamposa hana waamini. Anakusanya kusanaya tu waganga wachawi yaani ni zoa zoa na akiondoka mambo yote yanishia hapo
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Kama mtu unajitambua vizuri utabaini kuwa uhusiano na MUNGU haupo kanisani, kwenye dhehebu wala misikitini!
Wajinga ndiyo waliwao!!
Ngoja mliwe!
 
Back
Top Bottom