Kadri siku zinavyoenda kanisa katoliki linapotea slowly kwa sababu watu hawataki kusali kimprinsiple preiple.

Kadri siku zinavyoenda kanisa katoliki linapotea slowly kwa sababu watu hawataki kusali kimprinsiple preiple.

Hao wanaokusanyika ni make wanaotaka shortcuts - miujiza. Watahangaika haika huko na matatizo yao yatabaki pale na pale na mwishowe watarudi nyumbani. Si wapotea njia mwishowe huipata tena?
Kwa hiyo kanisa katoliki haliamini kabisa kwamba Maonbi yanaondoa shida za mtu. Sasa mnaenda kanisani kufanya nini, kutoa sadaka
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Hao wengine wanaenda kushangaa kwani hata fursa za kazi hakuna, wakipata kazi ya kufanya huwaoni wakienda kwa hao wasaka hela. Pia wengine wanaenda kubatisha zali kama kwenye bahati nasibu na akifanikiwa hawarudi tena. Vilevile wakishajanjaruka kuwa wananyanywa fedha zao kwa kuuziwa bidhaa za viwandani kwa bei juu eti imeombewa hawataendelea kununua. Ni suala la muda tu jamii iwafahamu na uongo wao watapotea na watumishi wa Mungu wa kweli watabaki.
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
We jidanganye

RC ni taasisi

Mwamposa ni one man army

Siku akifa na kanisa limekufa

Likonwapi la Kakobe,liko la Mlima wa Moto

Huyo Mwamposa siku upepo na nyota vikikata na ndo kwaheri
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Hivi kweli Bahari unaweza kuilinganisha na bwawa au haujui unalinganisha nini, tembo umlinganishe na sungura au hujawahi kuona tembo??
 
We jidanganye

RC ni taasisi

Mwamposa ni one man army

Siku akifa na kanisa limekufa

Likonwapi la Kakobe,liko la Mlima wa Moto

Huyo Mwamposa siku upepo na nyota vikikata na ndo kwaheri
Mungu atainua mwingine.
 
Hivi kweli Bahari unaweza kuilinganisha na bwawa au haujui unalinganisha nini, tembo umlinganishe na sungura au hujawahi kuona tembo??
Kumbuka Mungu anasema.njia nyembamba ndo ya kumuendea yeye siyo njia pana ambayo kuna walevi, wahuni nk kama lilivyo kanisa katoliki
 
Watuwa wapi na wangapi na kwa sensa ipi! The catholic church is there to dominate
The Catholic Church, also known as the Roman Catholic Church, is the largest Christian church, with 1.28 to 1.39 billion baptized Catholics worldwide as of 2024.
Hizi takwimu zimepitwa na wakati,wazungu wameshaachana na dini,dini ipo africa na latin america
 
Hao wengine wanaenda kushangaa kwani hata fursa za kazi hakuna, wakipata kazi ya kufanya huwaoni wakienda kwa hao wasaka hela. Pia wengine wanaenda kubatisha zali kama kwenye bahati nasibu na akifanikiwa hawarudi tena. Vilevile wakishajanjaruka kuwa wananyanywa fedha zao kwa kuuziwa bidhaa za viwandani kwa bei juu eti imeombewa hawataendelea kununua. Ni suala la muda tu jamii iwafahamu na uongo wao watapotea na watumishi wa Mungu wa kweli watabaki.
Wanaenda kusali
 
We jidanganye

RC ni taasisi

Mwamposa ni one man army

Siku akifa na kanisa limekufa

Likonwapi la Kakobe,liko la Mlima wa Moto

Huyo Mwamposa siku upepo na nyota vikikata na ndo kwaheri
Sema siku uchawi ukikata hauoni kitu tena, Kakobe yuko wapi,
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Unakosa mvutoo wewe au Kanisa?
Kuna watu viazi sana.
 
Watuwa wapi na wangapi na kwa sensa ipi! The catholic church is there to dominate
The Catholic Church, also known as the Roman Catholic Church, is the largest Christian church, with 1.28 to 1.39 billion baptized Catholics worldwide as of 2024.
Point of correction. The Catholic Church is not The Roman Catholic Church.
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Huu utafiti umeutoa wapi kijana.

1. Mwamposa huyo ni wa kupita tu, ( akifa na kanisa linakufa)

2. Mwamposa anakusanya, waislam, roma, sabatho, wapagani na vibaka ndani yake.


3. Roma catholic litadumu milele na milele ( maaskofu, mapadre, watakufa lakini wataletwa wengine, kuliongoza kanisa. )

= Akina KAKOBE, TB JOSHUA, kiko wapo mpaka Sasa hivi 🗑️🗑️🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Ndo unadanganywa hivyo. Makanisa ukaya yanageuzwa bar kila siku
Mkuu, Ni Majengo ya kanisa Ulaya ndo yanageuzwa bar kila siku au Wakristo Wakatoliki ndo wanageuzwa? Tofautisha Kanisa na Majengo ya Kanisa.
 
Back
Top Bottom