Kadri siku zinavyoenda kanisa katoliki linapotea slowly kwa sababu watu hawataki kusali kimprinsiple preiple.

Kadri siku zinavyoenda kanisa katoliki linapotea slowly kwa sababu watu hawataki kusali kimprinsiple preiple.

Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Walikuepo akina kakobe wa full gospel, alikuepo akina Mzee wa upako, gwajima. Hivi sasa wako wapi
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Ujinga wa watanzania ni mtaji wa wajanja akina mwamposa.
 
Watu hawachoki kuzungumzia RC? Tangu nikiwa mtoto RC imesemwa sana, lakini sioni ikitetereka.

Yote haya ni kwa sababu misingi ya imani ya kikatoliki imejengwa katika elimu, tena elimu kubwa, kuanzia Falsafa, theolojia, sayansi na saikolojia.
RC haina individuals kama Mwamposa, RC ina mifumo imara tangu enzi na enzi.

RC kinachofanya kazi si individuals bali ni Sytem.

Never compete with system, you will never win.

They will come, they will go but RC remains.

Extra Ecclesiam Nulla Salus!
Asante padre niliandika hii kama.null hypothesis nikitaka nopate comment kama hii
 
Tofauti ipo. Kanisa Katoliki liligawanyika mara mbili zaidi ya miaka 1,000 iliyopita. Kuna Kanisa Katoliki la Mashariki (Eastern Catholic Church) almaarufu kama The Orthodox Church na The Western Catholic Church almaarufu kama The Roman Catholic Church. Ndo maana katika jamii ya mchanganyiko lazima ujitambulishe Kwa ufasaha kwamba wewe ni Muumini wa Catholic Church ipi. Roman Catholic au the Eastern Catholic Church
Catholic maana yake Nini?
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.

Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Mwamposa nani anamjua duniani? Ingekuwa siyo JF wala singejua hiyo sijui Mwamposa
 
Tofauti ipo. Kanisa Katoliki liligawanyika mara mbili zaidi ya miaka 1,000 iliyopita. Kuna Kanisa Katoliki la Mashariki (Eastern Catholic Church) almaarufu kama The Orthodox Church na The Western Catholic Church almaarufu kama The Roman Catholic Church. Ndo maana katika jamii ya mchanganyiko lazima ujitambulishe Kwa ufasaha kwamba wewe ni Muumini wa Catholic Church ipi. Roman Catholic au the Eastern Catholic Church
Ukisema mimi Mkatoliki utakuwa umeeleweka kabisa. Hakuna mtu atakuchanganya na Orthodox au Anglicana n.k. Mengine ni yenu kuona kwanini jina limehodhiwa. Hakuna utata hapo. Madhehebu mengine yanautambulisho wao wa pekee hata kama Wana mzizi wa Ukatoliki kama Orthodox. Halafu usichanganye Orthodox Church na Eastern Catholic Churches. Mashariki Kuna Kanisa la Orthodox ambalo halina ushirika na Papa. Na Eastern Catholic Churches ( makanisa) ambayo yanaushirika na Papa.
 
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.
Achana na Katoliki, wanachelewesha utajiri. Wahi udongo:


 
Ndo unadanganywa hivyo. Makanisa ukaya yanageuzwa bar kila siku
Surely ulimaanisha Ulaya na si ukaya, haya tuambie Ulaya ya wapi kanisa limegeuzwa bar? Mwamposa na the likes walianzia kuhubiria majengo ya kukodi yalokuwa bar, unajua mwamposa alianzia wapi wakati akivaa pensi na cheni
 
Back
Top Bottom