This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Tatizo unajiona ww ni mkatoliki zaidi. Pengine hapa unaongea na Paroko!Ya kwako wewe ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo unajiona ww ni mkatoliki zaidi. Pengine hapa unaongea na Paroko!Ya kwako wewe ?
" kimprinsiple preiple."Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.
Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Moses Kulola,Egon Falk,Reinhard Bhonke nk.Mtoto huyo hajui lolote.Jambo usilo lifahamu ni kwamba RC ni Kanisa na taasisi kongwe kabisa duniani, huku likiwa limeanza miaka mingi iliyopita. Mwamposa ni kiumbe mdogo sana ukimlinganidha na Kanisa Katoliki! Atapita kama upepo, na Kanisa litabakia palepale.
Imagine alikuwepo Mzee wa upako! Yuko wapi kwa sasa?
Tofauti ipo. Kanisa Katoliki liligawanyika mara mbili zaidi ya miaka 1,000 iliyopita. Kuna Kanisa Katoliki la Mashariki (Eastern Catholic Church) almaarufu kama The Orthodox Church na The Western Catholic Church almaarufu kama The Roman Catholic Church. Ndo maana katika jamii ya mchanganyiko lazima ujitambulishe Kwa ufasaha kwamba wewe ni Muumini wa Catholic Church ipi. Roman Catholic au the Eastern Catholic ChurchTofauti ni Nini?
Sijaona mahali katika maneno yake ambapo amemhukumu mtu. Hebu tuoneshe alipo mhukumu.Kwa hiyo unamwombea mabaya wakati yesu ameshakataza kumhukumu mtu
Duh! Yani wewe unaenda kanisani au unasali ili kuomba shida zako tu ziondoke? Vipi, zisipoondoka huendi tena kanisani? Unamfuata Yesu simply kwa sababu ulishiba mikate 5 na samaki 2 na kusaza vikapu 12? (Marko 6:41 na Yohane 6:26.)Kwa hiyo kanisa katoliki haliamini kabisa kwamba Maonbi yanaondoa shida za mtu. Sasa mnaenda kanisani kufanya nini, kutoa sadaka
Linaamini, lakini si kwa mkumbo mkumbo hivyo au ukomedi komedi. Si huyo mkuu wa Kanisa alisema amefunga na ifikapo mwezi wa 8 mtandao wa Twitta utakuwa umefutwa. Yaani Mungu anaweza kufanyiwa mzaha hivyo?Kwa hiyo kanisa katoliki haliamini kabisa kwamba Maonbi yanaondoa shida za mtu. Sasa mnaenda kanisani kufanya nini, kutoa sadaka
Mwamposa ni mtu a person anaweza kufa wakati wowote lakini RC ni Kanisa (Taasisi) milango ya kuzimu haitalishinda i.e Hakuna kufa.Unachekesha kumfananisha Mwamposa na Roman Catholic Church.
Na wasiwasi na uwezo wako wa kuelewa na kupambanua mambo
Paroko sio mtu bali ni Ofisi; ni mamlaka. Mtu mwenye kuikalia hiyo Ofisi au Msemaji mkuu katika Ofisi hiyo anaweza kubadilishwa wakati wowote lakini Ofisi itabaki palepale na kuendelea kutoa Huduma.Tatizo unajiona ww ni mkatoliki zaidi. Pengine hapa unaongea na Paroko!
Si kazi Yako kuhukumu...muachie MunguSijui, lakini siyo Mkristu.
Mungu alishasema, mtawajua kwa matunda ya kazi zao.Si kazi Yako kuhukumu...muachie Mungu
🤣🤣 evelyn mbona umetumia nguvu sana kuua huyu mtuTuongeze umakini na hizi infinix......
Hahahaha dahTuongeze umakini na hizi infinix......