Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Acha kuwa unaandika ujingaujinga kila mara.Unatoa vijineno ulipotoa ambavyo havina ushahidi na kuleta mbele za watu wazima na kuanza ubishi wa kipuuzi tu.Ndo unadanganywa hivyo. Makanisa ukaya yanageuzwa bar kila siku
Kwa hiyo unamwombea mabaya wakati yesu ameshakataza kumhukumu mtuMtoa mada kumbuka Kristo ni yule yule Jana leo na hata Milele! Makanisa ya Kimwendo kasi na matapeli wa dini huibuka kama uyoga na hufa hivyo hivyo....walikuwepo wengi na wataendelea kuja wengi, lakin kanisa ni moja, takatifu lenye mizizi ndani ya Kristo wa Ukwel halitajufa mpaka atakapoamua.Huu ni msimu wake huyo Mwamposa, acha aendelee kula vichwa! Walivuma sana hawa leo wako wapi?Kakobe, Mwingira,Ngurumo za upako, marehemu mama Rwakatare,Mzee wa upako makuhani na manabii wa uchawi kila kona!
Neno la kweli ni Kristu na neno litasimama milele mambo yote yatapita....Wewe vuta pumzi mpe muda, kama anachofanya ni kazi ya Mungu haitakufa itatimiza ilichotumwa kwa Kristu hamna mashindano.
Tumsifu Yesu Kristo.
Hamna anayemwombea mabaya! Kama ni kazi ya Mungu matunda yake yataonekana lakini ikiwa sivyo Mungu atamhukumu hamna mwanadamu wa kumhukumu!Kwa hiyo unamwombea mabaya wakati yesu ameshakataza kumhukumu mtu
Jambo usilo lifahamu ni kwamba RC ni Kanisa na taasisi kongwe kabisa duniani, huku likiwa limeanza miaka mingi iliyopita. Mwamposa ni kiumbe mdogo sana ukimlinganidha na Kanisa Katoliki! Atapita kama upepo, na Kanisa litabakia palepale.Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.
Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
😀😀😀 noma sanaTuongeze umakini na hizi infinix......
Ya kwako wewe ?Unajidanganya mkuu. Ibada ya katoliki ni ibada ya mazoea.
Mwamposa ni mtu kama muuza mihogo au msaga mashineni, Katoliki ni kanisa na ni taasisi. Katoliki lina miaka zaidi ya elfu mbili, Mwamposa hata miaka 50 hana na hapo kabla alikuwa mtu wa kawaida kama dalali kwenye utumishi hana hata miaka 20.Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.
Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Kama Mungu amemuinua ilinakomeshe ulevi na kuabudu sanamu kwa wakatoliki je. Au mtahakikisha mnapingana na MunguJambo usilo lifahamu ni kwamba RC ni Kanisa na taasisi kongwe kabisa duniani, huku likiwa limeanza miaka mingi iliyopita. Mwamposa ni kiumbe mdogo sana ukimlinganidha na Kanisa Katoliki! Atapita kama upepo, na Kanisa litabakia palepale.
Imagine alikuwepo Mzee wa upako! Yuko wapi kwa sasa?
Sijui, lakini siyo Mkristu.Ni nani
Huko wataenda malofa tu...mtume rafiki yake bashite?..hahaha..acha ufala aiseeLeo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.
Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Wewe unatumia simu gani?Tuongeze umakini na hizi infinix......
Mungu ameinuliwa kupitia yeyeHuko wataenda malofa tu...mtume rafiki yake bashite?..hahaha..acha ufala aisee
Mungu wa wapi huyo wa kumuinua tapeli kama Mwamposa anayewauzia wajinga maji, mafuta na takataka nyingine kwa kuwaaminisha eti hizo takataka zina miujiza!!Kama Mungu amemuinua ilinakomeshe ulevi na kuabudu sanamu kwa wakatoliki je. Au mtahakikisha mnapingana na Mungu
InfinixWewe unatumia simu gani?
Kama.Mungu ameamua kumtuma hivyo hivyo unajuaje au we ni ndgu yake munguMungu wa wapi huyo wa kumuinua tapeli kama Mwamposa anayewauzia wajinga maji, mafuta na takataka nyingine kwa kuwaaminisha eti hizo takataka zina miujiza!!
Sasa Mungu anapenda nini kati ya hivyoUkristu ni dini mbili.( in one)
Ukatoliki, and all the rest.
Wakatoliki wanaongea doctrine.
Hawa wengine wanafanya so- called " miujiza".
Hao wanaokusanyika ni make wanaotaka shortcuts - miujiza. Watahangaika haika huko na matatizo yao yatabaki pale na pale na mwishowe watarudi nyumbani. Si wapotea njia mwishowe huipata tena?Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.
Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.