Kafulila: Lissu acha kuzipaka matope Mahakama za Tanzania, unataka kutuambia US & China ambao nao ni wanachama wa ICSID Mahakama zao zinaingiliwa?

Mbona mmetaka ziwafukuza akina Halima mmegonga Mwamba?

Eti Mnataka Rais atoe maelekezo mahakamani hili halipo,

Mahakama zetu ni huru sana
Mkuu acha Tania za kujipendekeza hata huyo Rais mwenyewe anajua kulingana na mifumo yetu Mahakama zetu sio guru sasa wewe umekazana kuubadili uongo kuwa ukweli.Unaweza kuonekana kituko mbele ya watu-kuunga mkono Serikali au viongozi fulani haimanishi kula wakati ni kusema ndio na kusifia bali na kuona penye mapungufu na kuyaonyesha.
 
Rais juzi akiongea na mawakili wa Afrika mashariki alusemaje?
Kwamba nyie tumieni sheria zenu za nje mie nita tumia sheria zangu kuhakikisha......
Huu ndio ushahidi kwamba mahakama zetu ziko mikononi mwa dola. Na haziko huru...
Nje kwa hio wamefanya yao kwa ndani Mahakama zipo chini ya Serikali inaweza kuamua lolote na isiulizwe chochote?

Noma sana Cc: monde arabe
 

Huyu naye tangu kutumbuliwa anajifanya mtetzi wa serikali.
 
Lissu sio mtu mzuri,

Kwanza yeye watoto wake sio Watanzania,

Hata Kama atatupiganisha tukauana yeye na familia yake atabaki kuwa salama,

Tumwogope kabisa Huyu mtu kwa usalama wa Taifa letu

Asante Mzalendo Kafulila

Akupiganishe na naani. Punguza unafiki ndugu yangu.
 
Tatizo la Ndg yetu Lissu ni Chuki,
Hata vitabu vya Mungu vinatuasa kusameheana,
Mungu amsaidie moyo wa kusameheana

Yeye ndio asamehe?. Mbona serikali haikumsamee , Tena siku ya kesi yake ya ubunge serikali ilileta wanasheria karibia ishirini.
 
Tatizo liko wapi kumtetea Rais wa nchi na Serikali yake?
 
Lissu sio mtu mzuri,

Kwanza yeye watoto wake sio Watanzania,

Hata Kama atatupiganisha tukauana yeye na familia yake atabaki kuwa salama,

Tumwogope kabisa Huyu mtu kwa usalama wa Taifa letu

Asante Mzalendo Kafulila

Sio lissu tu, kuna viongozi waandamizi wa chama tawala sito wataja, wana watoto nie tena wajukuu.
Hili suala lilianza enzi za mkapa, na umekuwa utamaduni wa viongozi wengi
 
Sio lissu tu, kuna viongozi waandamizi wa chama tawala sito wataja, wana watoto nie tena wajukuu.
Hili suala lilianza enzi za mkapa, na umekuwa utamaduni wa viongozi wengi
Nadhani watajwe tu sio jambo la kizalendo hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…