Kafulila: Lissu acha kuzipaka matope Mahakama za Tanzania, unataka kutuambia US & China ambao nao ni wanachama wa ICSID Mahakama zao zinaingiliwa?

Lissu sio mtu mzuri,

Kwanza yeye watoto wake sio Watanzania,

Hata Kama atatupiganisha tukauana yeye na familia yake atabaki kuwa salama,

Tumwogope kabisa Huyu mtu kwa usalama wa Taifa letu

Asante Mzalendo Kafulila
lissu sio mzuri kwa mapunga ya ccm na atawanyoosha mpaka akili iwarudi na ujinga wenu.
 
Huyu Bwana amekuwa Mtetezi wa CCM ?

Hata kama CCM wapo sawa na kila kitu ni Sawia kwamba wamekosa watetezi kiasi hiki hadi huyu afanye hio Kazi ?

Kwanini asiwaachie wengine wafanye utetezi yeye atafute hata baya moja aliongelee..., au yote ni mazuri ?

Kama kuna anayemjua muombe azungumzie na haya:-
  1. Tuhuma za Ndugai
  2. Mikopo kama hatuna akili nzuri na allocation za mikopo
  3. Bunge kuwa zaidi ya Rubber Stamp
  4. Mfumuko wa Bei na Maisha kuendelea kuwa ndivyo sivyo
  5. Mgao wa Umeme
  6. Adui Mpya anayelitafuna Taifa (Uchawa)
  7. Ukosefu wa kazi zenye ujira (Time Bomb) tunalolilea
  8. Kutokuwepo na Sera zinazoeleweka
  9. Tabia ya kuwa ombaomba na kila kitu kuwapa wadau ndio wafanye...
 
Nadhani mjibuni hoja yake achaneni na hoja kwamba anatafuta UTEUZI
hoja gani huyo kafulila ndio anapotosha mwambie aweke clip ya lissu tuisikilize neno kwa neno ndio ueleww alichosema Lissu na kama hujui lissu alichosema ni kwamba mara nyingi serikali hutumia ubabe ndio maana inalazimika njia ya utatuz wa migogoro kwenda kwenye arbitration for determination of the matter in dispute na akarejea for the case at hand serikali kama ya tanzania ni serikali ya hovyo inayofikir inaweza kutumia ubabe kwenye mambo ya uwekezaji wa kigeni.

Na kama huna taarifa mamayenu juz kule Arusha kwenye kongamano la East African Lawyers Association alisema nin?

Alisema kwamba nyie tumien sheria za nje na mim nitatumia zangu za ndan sasa hapo kuna akili nan alikua anamtisha mwambien atumie hizo za ndan sasa tuone halafu huyu kafulila anafikir watu wote ni hamnazo kama wajinga wenzie kule ccm.
 
kwa Tanzania ukiwa msema kweli unaonekana mamluki wa mabeberu
Tatizo la Tanzania sio kusema ukweli bali wanatizama ni nani anasema, kuna watu hata wakisema ukweli watu wataishia kumjadili yeye badala ya hoja yake na wengine hata wakipitosha watasikilizwa kwa sababu aliyesema ni fulani.
 
Wasalaam wana wa Mungu.

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Kafulila, amekosoa kauli ya Makam Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu kuhusu hoja ya kesi kukamatwa ndege...
Ila kiukwel kbs bila kupepesa macho hii nchi yetu watu wangekua wanatoa maoni yao aku kusema ukwel bila kutegemea kupata chochote kitu iwe pesa au madaraka, sidhan kama tawala hizi zingepata sapoti!!
 
Kafulila wa hoja , kafulia Hoja !
 
Tatizo la Ndg yetu Lissu ni Chuki

Hata vitabu vya Mungu vinatuasa kusameheana

Mungu amsaidie moyo wa kusameheana
Umerukia kuandika "Mungu amsaidie moyo wa kusameheana"!Kwani kuna mtu alimuudhi?Alimuudhi kwa nini?Kusamehe ni hiyari au lazima?Unaweza kumchagulia mtu uamuzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…