CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Wamepeana vyeo kbsgoma imechukuliwa hakuna tena
Felix hawezi kujaKwahiyo hapo wa DRC ni yupi? Je wameshikana mikono?
Na kukaribishwa ofisi za kigeni maisha yaendeleeWamepeana vyeo kbs
Watanzania karibu wote ni wapenzi wa Kagame na yeye anajua hiloNimegundua mnamteyemekea sana Kagame, hata wewe???
Hii pishana pishana kuna mtu anawapa taarifaFelix hawezi kuja
Na hilo ndio lengo kuuNa kukaribishwa ofisi za kigeni maisha yaendelee
Mkutano woote yeye ndiye StarNimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!
Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! 8Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Mwenyeji, DRC kaja waziri Mkuu Madame JannetHii pishana pishana kuna mtu anawapa taarifa
HahahaaSWALA LA KONGO LINAUFUNUA UOVU NA UNAFIKU WA BINAADAMU.JAPO WENGI HATUFUNGUI MACHO.
Kuna kazi hapo!!?waziri Mkuu Madame Jannet
Anaogopa nini Tshiseked?Mwenyeji, DRC kaja waziri Mkuu Madame Jannet
So, tell us, who's behind this saga??Kwahio Matatizo ya haya mambo yameanza baada ya Kagame na Museveni kuja ?; Unajua dhahama zilizokuwa zikitokea / zilizotokea kabla ya Kagame Rwanda na Museveni Uganda ?
Haya mambo tusipoangalia mzizi wa vitina tutakuwa tunaturudi pale pale mwaka baada ya mwaka kwa kutafuta cultprits hapa na pale (tunatibu symptoms badala ya ugonjwa)
Watusi na wasomali wote jamii moja uzao wa wanefeli aka majituM 23 na Alshabaab kitu kimoja tafauti yao ni dini tu, hawa wakristo na hawa ni waislamu.
Watutsi na wasomali kuna vitu wanafanana kimaumbile na kitabia.
Kimaumbile wote ni warefu na wenye pua ndefu .
Na kitabia ni watu wanapenda chokochoko na kupenda kuwa juu ya watu wengine kwa njia yoyote hata kwa kumwaga damu za watu!
Hali ya Usalama wakeAnaogopa nini Tshiseked?
Maswali atakayowauliza hao qa SADC hakuna atakaye weza kuyajibu hata mmoja. PK ni bonge la Mwanaume
Wazee wa fita ni fitaWatusi na wasomali wote jamii moja uzao wa wanefeli aka majitu