Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Mkutano woote yeye ndiye Star
 
So, tell us, who's behind this saga??
 
Watusi na wasomali wote jamii moja uzao wa wanefeli aka majitu
 
Hatima ya njaa na tamaa zisizo na kikomo.
 
Naomba kujua Ubabe ni Upi, na labda hapo angeingia vipi ndio ionekane sio Ubabe.., hio ya kukaribishana na kupeana mikono mbona ni kawaida wewe wageni wakiingia kwako unawapokea vipi ? au ulitaka apige magoti kama enzi za Mabwana na Watwana ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…