Kagame anataka DRC iwatambue waasi wa M23 lakini yeye hataki kuwatambua waasi wa kihutu!

Hio ndio Demokrasia wajameni

Amerika ukiwa kwa waasi/ Militias unatambulika, ukiwa kwa BLM hutambuliki. Inafaa M23 watambulike na wapige kura kuchagua vile wanataka ndio kukomaa Kidemokrasia huko.

"KUNA KUSHINDA NA KUSHINDWA"
HAO M23 Wananuimwa nini na serikali ya Congo hadi wapigane badala ya kupeleka malalamiko un
 
HAO M23 Wananuimwa nini na Congo hadi wapigane badala ya kupeleka malalamiko un
Respectfully, sijaelewa hiyo wananuimwa. Na siezi jichanganya nikakuharibia ulichotaka kusema. Naomba urudie swali lako🙏
 
Nilishasoma hayo yote. Kwani ni wakati hayo mambo ya cut the 'Tall trees' or 'Kill the cocroaches' yalikuwa yakihimizwa?
 
Yeye aliambiwa aongee na waasi kipindi cha JK akaanza kuharabdunia nzima. Dawa ni nchi zinazokizunguka kile kimkoa ziungane zikichape halafu tugawane vipande na kasiwepo tena kama kanchi duniani. Kamtu kanaongoza eneo saw na kata moja huku bongo ila kanajiona kanaongoza Uchina yote 🚮🚮🚮
 
Uganda iko pamoja na Rwanda
 
Kama Marafiki wa karibu zaidi wa kufa na kuzikana, wa kusaidiana kwenye shida na raha.
Vivuruge wa nchi za maziwa makuu ila mmoja kazeeka sasa, mwingine bado ni kichomi tu.

Regime change ikitokea Kigali, Drc mashariki itapumua.
 
If wishes were horses
 
Waasi wa M23 hawana itikadi za genocide kama walivyo waasi wa FDLR
Wameua zaidi ya watu 3000 ndani ya mwezi mmoja halafu unasema hawana itikadi za genocide. Wewe kwako genocide ni nini?
 
Soma vizuri, Hao banyamulenge ni Warwanda waliokimbia vita vya kimbari. Na kufika Congo wakaungana na watusi wenye asili ya Congo. Kumbuka watusi wa Congo, Rwanda na Burundi walikua ni jamii moja ambayo ilikuja kutenganishwa na mipaka tu.So wale watusi waliopo Congo kuna wacongo na warwanda. Sawa na wamasai wa Tz wakimbilie Kenya then Kenya iwachanganye wote wamasai wa Kenya na Tz kama wahamiaji haramu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…