Kagame: Rwanda is ready for a confrontation with South Africa if necessary!
Kagame anatania tu au kuna jambo anataka kuachieve. South Africa wakitaka kumpiga Kagame wanaweza itumia Burundi au waasi bila wao wenyewe kuingia kazini. Kagame siyo mjinga kiasi hicho.
 
Amani iwe nanyi wapendwa wa MUNGU

Ni mda si mrefu kikao cha SADC kimemalizika na wameahidi kuleta aman kongo

Na huenda watatuma majeshi kwa ajili ya kupambana na m23
Tuombeane Aman, tuwaombee aman watu wa Kongo
=================
Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) umesema lengo la wanachama wa jumuiya hiyo ni kuona amani inarejea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Kauli hiyo imetolewa na Rais wa Zimbabwe, Dk Emmerson Mnangagwa ambaye ni Mwenyekiti wa SADC wakati wa mkutano wa dharura wa jumuiya hiyo ulioitishwa jijini Harare kwa lengo la kujadili kutetereka kwa amani DRC.

Soma Pia: M23 yatuma salam za uimara wake kwa vikosi vya KDF na FDNB vilivyopelekwa Congo kuthubutu kuwapokonya silaha


Hali ya usalama ilianza kuyumba DRC baada ya kundi la waasi wa M23 kuanza uvamizi na kuyashikilia maeneo ya mashariki mwa DRC ikiwemo mji wa Goma.

SAYUNI BOY
 

Attachments

  • Screenshot_20250131-221654.png
    Screenshot_20250131-221654.png
    469.6 KB · Views: 3
Amani iwe nanyi wapendwa wa MUNGU

Ni mda si mrefu kikao cha SADC kimemalizika na wameahidi kuleta aman kongo

Na huenda watatuma majeshi kwa ajili ya kupambana na m23
Tuombeane Aman, tuwaombee aman watu wa Kongo
=================
Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) umesema lengo la wanachama wa jumuiya hiyo ni kuona amani inarejea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Kauli hiyo imetolewa na Rais wa Zimbabwe, Dk Emmerson Mnangagwa ambaye ni Mwenyekiti wa SADC wakati wa mkutano wa dharura wa jumuiya hiyo ulioitishwa jijini Harare kwa lengo la kujadili kutetereka kwa amani DRC.

Soma Pia: M23 yatuma salam za uimara wake kwa vikosi vya KDF na FDNB vilivyopelekwa Congo kuthubutu kuwapokonya silaha

Hali ya usalama ilianza kuyumba DRC baada ya kundi la waasi wa M23 kuanza uvamizi na kuyashikilia maeneo ya mashariki mwa DRC ikiwemo mji wa Goma.

SAYUNI BOY
Wamtokomeze na anayewatuma
 
M23 nawo wanajipanga kuingia mji wa Kinshasa..baada ya kutoka miji ya mikakakati Kam Goma na uko ruchuru.
Jamaa kama Wana morali ya hali ya juu...ni mwendo wa kuadvance Kwa njia zote extended line or single lines.
Utashangaa mpaka SADC wanakuja kujipanga Nchi ishaenda kwa wanjamulenge.
 
Hili nililitegemea na hapa ndipo kagame alipopigwa chenga ya mwili na tshekedi yeye alitegemea akivamia goma tshekedi atakuja kulia EAC.

Ila hakujua tshekedi na wanaomuunga mkono waliona kabisa EAc haitaweza hili ila yupo mwamba mkubwa zaidi SADC.
Sasa SADC itapewa mamlaka kamili ya kushambulia waasi hao m23 ili kuukomboa mji wa goma na Congo.
Ila PK ajiandae pia maneno yake yamewakera marais wengi wanamlia rada tu.. mjivuni mno na anajiona anaweza kila kitu.
 
Viongozi wote wa Africa ni blah blah tu.

Yapo maeneo mengi sana ya Africa yanamachafuko na hakuna walichofanya.

M23 na PK- Rwanda watawaletea aibu hawa SADC, Wamshauri tu Tishekedi aachie madaraka waangalia namna nzuri yakutatua tatizo la DRC.

Kwenda DRC kupambana na M23 kunakwenda kutanua wigo wa tatizo na kutanua wigo wa mapambano na mwisho wa siku itakuwa shida zaidi.
Hawa M23 na vikundi vingine vya waasi havijaanza leo hapo DRC, ni mchezo wa paka na pany tu.

Mwisho wa siku mambo yakiwa magumu na maafa yakiwa makubwa tutarudi tena kumlaumu PK, maana naye akaiguswa atasema ana haki yakujilinda.
 
Tusubiri utekelezaji
Amani iwe nanyi wapendwa wa MUNGU

Ni mda si mrefu kikao cha SADC kimemalizika na wameahidi kuleta aman kongo

Na huenda watatuma majeshi kwa ajili ya kupambana na m23
Tuombeane Aman, tuwaombee aman watu wa Kongo
=================
Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) umesema lengo la wanachama wa jumuiya hiyo ni kuona amani inarejea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Kauli hiyo imetolewa na Rais wa Zimbabwe, Dk Emmerson Mnangagwa ambaye ni Mwenyekiti wa SADC wakati wa mkutano wa dharura wa jumuiya hiyo ulioitishwa jijini Harare kwa lengo la kujadili kutetereka kwa amani DRC.

Soma Pia: M23 yatuma salam za uimara wake kwa vikosi vya KDF na FDNB vilivyopelekwa Congo kuthubutu kuwapokonya silaha

Hali ya usalama ilianza kuyumba DRC baada ya kundi la waasi wa M23 kuanza uvamizi na kuyashikilia maeneo ya mashariki mwa DRC ikiwemo mji wa Goma.

SAYUNI BOY
 
Kumpiga M23 peke yake haitoshi, anaewapush apigwe,tena atengwe na umoja wa Afrika,umoja wa Mataifa na jumuia zote zinazomuhusu,raisi apigwe ban ya kutotoka nje ya mpaka wa nchi yake, nchi ipigwe vikwazo,hakuna kuingia hakuna kutoka,Makomando washuke,wapige kila kambi ya jeshi,wazime mawasiliano ya nchi nzima,hadi raisi aite maji mmmmmmaaaaaa.
Amani kuna muda inabidi itafutwe kikatili,itafutwe bila ya kuoneana huruma,bila hivyo watakaoteseka ni raia.
 
M23 nawo wanajipanga kuingia mji wa Kinshasa..baada ya kutoka miji ya mikakakati Kam Goma na uko ruchuru.
Jamaa kama Wana morali ya hali ya juu...ni mwendo wa kuadvance Kwa njia zote extended line or single lines.
Utashangaa mpaka SADC wanakuja kujipanga Nchi ishaenda kwa wanjamulenge.
Kikao sadc kimetanguliwa na vitendo on ground, burundi kapeleka askari muda tu kama siku nne hivi zilizopita, south juzi kapeleka fighter jets na raia wameona hekaheka za wajeda,kuna kifinyo kinakuja
 
Back
Top Bottom