Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ana uwezo huo sasaAtie kitu nyavuni sasa
Simba kuna tatizo mahali...sio bure
Jamaa si kafundisha MadridPablo akauze tu madawa
AiseeSio kila muda mamipira tu
Hivi shahidi wa leo kwenye kesi ya mbowe alifanyiwa cross examination?
True..waongee na Mtibwa vizuri.Bila Baraka Majogoro Simba haitoboi
Ahahaaaaa....! Acha hasira mkuu. Rudi tu kwenye mstariSio kila muda mamipira tu
Hivi shahidi wa leo kwenye kesi ya mbowe alifanyiwa cross examination?
NBC Premier League leo kwa mechi moja ya kiporo. Ni Kagera Sugar watakuwa uwanja wa nyumbani kuwaalika mabingwa watetezi Simba SC.
Je, ni Kagera ama Simba SC nani kukila kiporo hiki?
Mechi hi itaruka mubashara Hapa Hapa JF
UPDATE
Mpira Umeshaanza hapa Dimba La Kaitaba.
17” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
20” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
25” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
32” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
40” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
45” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
HALF TIME 0 0
Kipindi cha Pili kimeanza
50” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
55” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
60” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
68” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0
70” KAGERA 1 SC 0
Simba Wanafanya Mabadiriko
77” Yusuph Mhilu na Bocco Wanaingia
82” Kagera Sugar 1 Simba Sc 0
Njoo kwenye hip hop mndewa [emoji23][emoji23][emoji23]Sio kila muda mamipira tu
Hivi shahidi wa leo kwenye kesi ya mbowe alifanyiwa cross examination?
AiseeeeRefa kafanya yake Red huko