Kagera Sugar 1 - 0 Simba SC | Ligi kuu bara | Kaitaba
Uvumilivu umemshinda ameamua ajifanye pundamilia
Screenshot_20220126-175345.png
 
NBC Premier League leo kwa mechi moja ya kiporo. Ni Kagera Sugar watakuwa uwanja wa nyumbani kuwaalika mabingwa watetezi Simba SC.

Je, ni Kagera ama Simba SC nani kukila kiporo hiki?
Mechi hi itaruka mubashara Hapa Hapa JF

UPDATE

Mpira Umeshaanza hapa Dimba La Kaitaba.

17” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

20” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

25” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

32” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

40” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

45” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

HALF TIME 0 0

Kipindi cha Pili kimeanza

50” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

55” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

60” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

68” Kagera Sugar 0 Simba Sc 0

70” KAGERA 1 SC 0

Simba Wanafanya Mabadiriko

77” Yusuph Mhilu na Bocco Wanaingia

82” Kagera Sugar 1 Simba Sc 0
Somba yangu hii mwaka huu miguu yote imepinda au ni nini? Ushindi mzunguko huu wasahau
 
Simba watengeneze benchi la ufundi jingine.hao kina matola wakatafute kazi nyingine.maana wao ndio tatizo kubwa.haiwezekani tatizo la timu liwe ni lile lile ata baada ya kubadilisha makocha viongozi.Kwahiyo kuna namna wanaingilia mipango ya head coach.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom