Daah....this is pain in the arseNaL
 
We [mention]Shadeeya [/mention] nini Lakini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwezi kuchukua ubingwa kwa kuwategemea akina boko. Na huwezi kuchukua ubingwa kama huna washambuliaji wa kutisha. Kufungwa huku kuwe fundisho kwa Viongozi wa Simba kufanya sajili zenye maana na sik mihemko.
 
Wapi wakili msomi Morrison
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…