Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Nyie watu msitutanie na maisha ya watoto wetu wa shule , hizi shule zinafululiza kuchomwa moto kama utani na hakuna watuhumiwa wanakamatwa haiwezekani kabisa roho inauma sana. Ilianza mwanza , dar, moshi, kagera bado mnasubiri kuhesabu mikoa tuu iongezeke? Tafadhali serikali na watu wote tuchukue hatua tuwataje wahusika waadhibiwe.
Vita kati ya BAKWATA na BALUKTAKwanini shule za Waislam tu.
Innaa lillah wainna ilayhi rajiun. Kwa nini zilwe shule za kiislam tu. Ni dhahir kuna sura timilivu ya hujuma! Serikali inapaswa kufanya uchunguzi ili kupambani na kadhia hii.Watoto 10 wamefariki na sita kujeruhiwa vibaya kufuatia moto ulioteketeza bweni la wavulana shule ya Msingi Islamic Byamungu iliyopo Kyerwa Mkoani Kagera. Hadi sasa chanzo moto huo hakijajulikana.
Watoto waliopoteza maisha ni wa umri wa miaka sita hadi 12.
Taarifa zaidi inakuja...
Wanafunzi 10 wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa baada ya bweni la shule yao ya Byamungu English Medium Primary School iliyoko wilayani Kyerwa kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.
Jumla ya wanafunzi 74 walikuwepo kwenye bweni hilo ambalo chanzo cha moto hakijajulikana
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti amesitisha shughuli za malazi katika shule hiyo kwa muda.’’ Nachukua hatua nyingine za ziada, hatua ya kwanza na ya awali kabisa tunasitisha huduma za malazi katika shule hii watoto wote waliokuwa wakilala katika huduma ya hosteli au bweni huduma hiyo sasa imesitishwa mbaka itakavyoelekezwa vinginevyo’’, amesema Brigedia Jenerali Marco Gaguti alipotembelea eneo la tukio.
Amesema Sambamba na ameelekeza kamati za usalama za ngazi zote kataika mkoa wa kagera kufanya mapitio upya ya shule zinazotoa malazi, kuhakiki kwamba shule hizo kama zinavyo vibali halali vya serikali na ubora wa majengo yanayotumiwa na wanafunzi, na kuangalia mifumo ya uzimaji moto na kujiokoa inapo.
Amesisitza kuwa kama sifa hizo hazitakua zimekidhi basi hatua zichukuliwe za kufungia huduma hizo katika shule husika.
Awali Mwenyekiti wa kijiji Bw. Munaraka Muhammod aliwaomba watu walioko katibu na Itera wafike kusaidia kuuzima moto huo uliowaka kuanzia jana usiku .
Chanzo za ajali baado hakijajulikana.
Waulize BAKWATA na migogoro yao ya mali.Hizo shule za wenzetu waislamu zina shida gani? Kila siku zinaungua shule zao tu
Kwa mazingira rahisi kuna kitu katikati ya kuungua huku kwa shule za kiislam, HAIWEZEKANI iwe ni ajali za kawaida. Watoto wanapoteza maisha, kuna kila sababu ya kutoa majibu na kukomesha tatizo hili.Nyie watu msitutanie na maisha ya watoto wetu wa shule , hizi shule zinafululiza kuchomwa moto kama utani na hakuna watuhumiwa wanakamatwa haiwezekani kabisa roho inauma sana. Ilianza mwanza , dar, moshi, kagera bado mnasubiri kuhesabu mikoa tuu iongezeke? Tafadhali serikali na watu wote tuchukue hatua tuwataje wahusika waadhibiwe.
DCI, TISS, POLISI NA SERIKALI KWA UJUMLA WAPO BUSY NA CHADEMA.Innalillahi wainna ilayhi rajiuun, Allah awape subra wazazi wa marehemu, awape shifaa majeruhi na awajaalie makazi mema yawe kwao wote waliofariki katika ajali hii.
Lipo tatizo sehemu, kwanini ndani ya kipindi cha miezi kama sita hii ni mabweni ya taasisi za Kiislam tu ndio yanayoungua? Lipo tatizo. Sisemei kama ni lazima na ya taasisi nyingine yaungue! La hasha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kama sikosei itakuwa ni shule ya 4 sasa, kuna hujuma za wazi sio bure! Ila hata hao wachomaji nao wanakosea. Ni bora wangefanya hujuma zao kipindi ambacho watoto wapo likizo au shule zilipofungwa kwa ajili ya Covid 19 na sio kufanya hivi na kuwaua watoto wadogo wasio na hatia, wasiojua chanzo cha migogoro tena kwa moto!! Inauma sana, sio kwa Wazee tu wenye watoto wao hapo bali kwa kila Mtanzania yeyote mwenye kutumia akili yake vyema kufikiri.DCI, TISS, POLISI NA SERIKALI KWA UJUMLA WAPO BUSY NA CHADEMA.
HIZI SHULE HAZIJAANZA KUCHOMWA LEO.
ILIANZIA SHULE ZA DAR SASA IMESAMBAA MIKOA YOTE.
WATAKAOUMIA NI WANAFUNZI NA WAZAZI.
DahWatoto 10 wamefariki na sita kujeruhiwa vibaya kufuatia moto ulioteketeza bweni la wavulana shule ya Msingi Islamic Byamungu iliyopo Kyerwa Mkoani Kagera. Hadi sasa chanzo moto huo hakijajulikana.
Watoto waliopoteza maisha ni wa umri wa miaka sita hadi 12.
Taarifa zaidi inakuja...
Wanafunzi 10 wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa baada ya bweni la shule yao ya Byamungu English Medium Primary School iliyoko wilayani Kyerwa kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.
Jumla ya wanafunzi 74 walikuwepo kwenye bweni hilo ambalo chanzo cha moto hakijajulikana
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti amesitisha shughuli za malazi katika shule hiyo kwa muda.’’ Nachukua hatua nyingine za ziada, hatua ya kwanza na ya awali kabisa tunasitisha huduma za malazi katika shule hii watoto wote waliokuwa wakilala katika huduma ya hosteli au bweni huduma hiyo sasa imesitishwa mbaka itakavyoelekezwa vinginevyo’’, amesema Brigedia Jenerali Marco Gaguti alipotembelea eneo la tukio.
Amesema Sambamba na ameelekeza kamati za usalama za ngazi zote kataika mkoa wa kagera kufanya mapitio upya ya shule zinazotoa malazi, kuhakiki kwamba shule hizo kama zinavyo vibali halali vya serikali na ubora wa majengo yanayotumiwa na wanafunzi, na kuangalia mifumo ya uzimaji moto na kujiokoa inapo.
Amesisitza kuwa kama sifa hizo hazitakua zimekidhi basi hatua zichukuliwe za kufungia huduma hizo katika shule husika.
Awali Mwenyekiti wa kijiji Bw. Munaraka Muhammod aliwaomba watu walioko katibu na Itera wafike kusaidia kuuzima moto huo uliowaka kuanzia jana usiku .
Chanzo za ajali baado hakijajulikana.
Unahisi tatizo ni nini?KWANINI SHULE ZA WENZETU ZINAUNGUA KIASI HIKI?!! WAPENDWA SOTE TU WATANZANIA, TUSIKAE KIMYA KUHUSU HILI TUNAHITAJI TUME KUCHUNGUZA KUNA NINI NDANI?! HAIWEZEKANI HILI, MACHUNGU YA KUZAA KUSOMESHA HALAFU MWANANGU ANAKUFA KWA UZEMBE HILI HAIWEZEKANI INAUMIZA SANA SANA SANA..FIKIRIA UWE WEWE MWANAO NDO AFARIKI KWA NAMNA HII OHOOO JAMANI JAMANI JAMANIII[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji2367]
Inawezekana ni mipango mkakati?Kwanini shule za Waislam tu.
Mkoa huu unaweza ukawa unaongoza kwa hujuma. Naomba sana kama inawezekana, mamlaka zinazohusika wauangaie kwa jicho kali sanaHii kama sikosei itakuwa ni shule ya 4 sasa, kuna hujuma za wazi sio bure! Ila hata hao wachomaji nao wanakosea. Ni bora wangefanya hujuma zao kipindi ambacho watoto wapo likizo au shule zilipofungwa kwa ajili ya Covid 19 na sio kufanya hivi na kuwaua watoto wadogo wasio na hatia, wasiojua chanzo cha migogoro tena kwa moto!! Inauma sana, sio kwa Wazee tu wenye watoto wao hapo bali kwa kila Mtanzania yeyote mwenye kutumia akili yake vyema kufikiri.
Sent using Jamii Forums mobile app