Kahama: Rais Magufuli amsamehe Mkurugenzi wa Halmashauri aliyenunua gari kinyume na utaratibu. Kahama yapandishwa hadhi kuwa Manispaa

Kuna uzi nimepandisha hapa jf,fuatilia ujue reason mkuu
 
Anaogopa kivuli chake kummbuka Hawa wagurugenzi ndio wenye Siri kuu ya ushindi wake hapo mwaka jana
 
RC, DED, DAS, RAS, RC, RPC, RAC, DAC etc piga mahesabu wote wana KILIMO KWANZA V8 kama Maputo bei zaidi ya 300m piga mahesabu Nchi nzima kuna ma RC , RAS , DC, DAS etc wangapi na wote wana hizo ndinga.

Ukija kwenye mashirika ya umma ni mwendo huo huo ,kwenye majeshi mwendo huo huo!!

Ni upuuzi kuwa na migari kibao na midege halafu hakuna ventileta wala panadol hospitalini.
 
RC,DED,DAS,RAS,RC,RPC,RAC,DAC etc piga mahesabu wote wana KILIMO KWANZA V8 kama Maputo bei zaidi ya 300m piga mahesabu Nchi nzima kuna ma RC ,RAS ,DC,DAS etc wangapi na wote wana hizo ndinga....
Halafu unamkuta mbele ya hadhara akijisifia eti yupo kwa ajili ya wanyonge!! Msafara wake wenyewe tu ni kufuru tupu.
 
Mi nadhani Kuna Mambo makubwa ambayo huyu DED aliyafanya,kwa kujitoa au hata kuhatarisha maisha yake,na huenda yalikuwa hayafahamika kwetu.kama alivyosema jpm asijisahau sikunyingine akarudia ujinga huu.
CCM ni ileile
 
Halafu unamkuta mbele ya hadhara akijisifia eti yupo kwa ajili ya wanyonge!! Msafara wake wenyewe tu ni kufuru tupu.

Yaani viongozi wa kiafrika wanaongea tofauti na wanayofanya ,wafanyakazi wa makampuni binafsi wanaolipwa 1.2m hadi 3m wanamiliki magari wananunua kwa pesa zao ,sasa inakuwaje viongozi wakubwa wa serikali.

wanaolipwa mamilioni ya shilingi wasiweze kujinunulia magari yao wenyewe mpaka serikali iwanunulie magari ya milioni 300? Inatakiwa tupate raisi mzalendo atkayekuja kufuta huo ujinga na fedha ikawekezwa kwenye afya,elimu,maji,umeme,barabara etc
 
Atakae mfurahisha atarudishiwa gari la kufanyia kazi
 
Hao DED, MD nk nk nk ni Watanzania wenzako kama wewe. Acha kulala ukiumia juu ya Cheo cha Mwenzako na kumwombea Njaa! Pambana Familia yako Watoto Wasome Kisawa sawa shule za Maaana.

Pambana uwe na Pesa Chaffu halafu utapata Connection then wanao ndio Watakuwa hao hao Wenye ma V8 VXR! Kulalalamika lalamika na kuombea wengine njaa ni ishara ya Umaskini na Uchawi Mkuu. Pambana mpaka kieleweke acha wivu!
 
RC,DED,DAS,RAS,RC,RPC,RAC,DAC etc piga mahesabu wote wana KILIMO KWANZA V8 kama Maputo bei zaidi ya 300m piga mahesabu Nchi nzima kuna ma RC ,RAS ,DC,DAS etc wangapi na wote wana hizo ndinga....
Sio kwel kuna madas wanatembelea gar za kawaida tena za donors tu na wala sio V8
 
Wewe ni mnufaika wa mfumo huu.
Lakini mwisho wenu umewadia.
 
Kwani hujui kuwa hao ndo waliosimamia wajumbe kushinda uchaguzi
 
Wakurugenzi ndio wanafahamu Magufuli alipata kura ngapi 2020 hawezi kuthubutu kuwagusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…