Kahama: Rais Magufuli amsamehe Mkurugenzi wa Halmashauri aliyenunua gari kinyume na utaratibu. Kahama yapandishwa hadhi kuwa Manispaa

Kahama: Rais Magufuli amsamehe Mkurugenzi wa Halmashauri aliyenunua gari kinyume na utaratibu. Kahama yapandishwa hadhi kuwa Manispaa

Raisi yuko sahihi, alichofanya mkurugenzi kwa ajili uwekezaji ktk eneo lake ingekua ni hasara kumtoa kwa kununua gari Nje ya utaratibu, kwani sheria ni nyingi na hua zinachelewesha kufanya kazi, inaelekea mkurugenzi ana mawazo ya kibiashara na kumpoteza mtu kama huyo ni hasara Kubwa.

Hongera Raisi kwa kuwa na hekima Kubwa, shughulikia Swala la kodi kwenye Biashara kwani Serikali inakosa mapato makubwa kwa ajili ya sheria hizo Nchi inaweza kupata maendeleo kwa muda mchache sana kama zitashulikiwa kwa Haraka.
 
Vi-eite ilitaka kumuunguza mkurugenzi
IMG_20210105_134559.jpg
 
Tunasubiria kwa hamu kuhusu mustakabali wa nchi juu ya Corona, wananchi wengi tupo njiapanda juu ya kauli yake ya jana ''Sisi Tanzania hali ya Corona haijawa kubwa na haipo, iko chache sana''
Mstakabali wa Corona unao ww na familia yako,,Serikali imeshatimiza wajibu wake kitambo kukuambia uendelee kuchukua tahadhali kazi kwako
 
... manispaa ya kwanza isiyokuwa makao makuu au sehemu ya makao makuu ya mkoa husika. Kuliwahi kuwa na debate humu JF; Kahama vs Njombe majibu yamepatikana leo anyway kama hakuna figisu figisu za kisiasa.
Kahama ni habari nyingine kabisa.
 
... manispaa ya kwanza isiyokuwa makao makuu au sehemu ya makao makuu ya mkoa husika. Kuliwahi kuwa na debate humu JF; Kahama vs Njombe majibu yamepatikana leo anyway kama hakuna figisu figisu za kisiasa.
Kwani vip kuhusu Bariadi nayo ni Manispaa maana ndio makao makuu ya Mkoa wa Simiu
 
Yaani, sijui tu Magu anampango gani, I can smell huko mbele Kahama kumegwa kipande na kwenda Geita then Chato inakua Mkoa! Moja ya wilaya za Mkoa wa Chato ni Bukombe, Kipande cha Kahama na Chato yenyewe.
Hayo ni mawazo yako mkuu
 
Kahama ni habari nyingine kabisa.
... waweke mipango miji ikae sawa kungali mapema; hifadhi za barabara za kutosha, viwanja vya michezo, maeneo ya wazi, gardens, maeneo ya huduma za kijamii, n.k. Urasimu idara kama ardhi, n.k. uondoke watu wajenge kwa mujibu wa vibali sio tena kesho na keshokutwa bomoabomoa zinafanyika.
 
Mstakabali wa Corona unao ww na familia yako,,Serikali imeshatimiza wajibu wake kitambo kukuambia uendelee kuchukua tahadhali kazi kwako
... Meya wa Moshi leo amewalazimisha waliokuwa wamevaa barakoa kwenye kikao cha madiwani kuzivua. Serikali ni moja, kauli iwe moja.
 
... Meya wa Moshi leo amewalazimisha waliokuwa wamevaa barakoa kwenye kikao cha madiwani kuzivua. Serikali ni moja, kauli iwe moja.
Hakuna kufa kizembe kama wao wamekubali kuvua basi watakuwa wamejihakikishia usalama wao
 
Hakuna kufa kizembe kama wao wamekubali kuvua basi watakuwa wamejihakikishia usalama wao
... wamejihakikishia vipi usalama kwa vipimo gani vilivyochukuliwa ndani ya kikao zaidi ya kumfurahisha mkubwa?
 
Back
Top Bottom