Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mswahili wa Pwani anasifia ajili ya uteuziIla huyu Jaffo amezidi mno kujipendekeza kwa Rais,mpaka naona Mh. Rais anakunja uso kwa kukerwa kusifiwa kuliko pitiliza. Jaffo unatia aibu, wanaume hatuko hivyo.