Kahama: Rais Magufuli amsamehe Mkurugenzi wa Halmashauri aliyenunua gari kinyume na utaratibu. Kahama yapandishwa hadhi kuwa Manispaa

Kahama: Rais Magufuli amsamehe Mkurugenzi wa Halmashauri aliyenunua gari kinyume na utaratibu. Kahama yapandishwa hadhi kuwa Manispaa

Yaani, sijui tu Magu anampango gani, I can smell huko mbele Kahama kumegwa kipande na kwenda Geita then Chato inakua Mkoa! Moja ya wilaya za Mkoa wa Chato ni Bukombe, Kipande cha Kahama na Chato yenyewe.
SHinyanga kwa maana ya wilaya ya kahama ishamegwa siku nyingi tutengeneza mkoa wa geita kuazia nyakanazi ilikuwa mkoa wa shinyanga wilaya ya kahama sasa hivi ipo biharamulo.

Wilaya ya mbogwe sijui masumbwe kuna viwilaya vya kisaaniii kutokea kahama kwenda chato kama vitatu hivi..shinyanga ilibakiwa na wilaya 3 yaani kishap.

Shinyanga manispaa na kahama...sasa shinyanga ikipokonywa kahama itabakiwa na wilaya 2 na halmashauri tatu mkoa mzima..itakiwa ajabu
 
Ukiona hivo Ujue Mkurugenzi ama ni Mtoto wake, Mtoto wa Dada yake, au mtoto wa Mafisadi wanaosimamia Biashara zake..

Au kuna ardhi au shamba au Mali nyingine yoyote ile huyo Mkurugenzi amefanikisha Magufuli amiliki; Talk about Corruption, Nepotism
 
Ukiona hivo Ujue Mkurugenzi ama ni Mtoto wake, Mtoto wa Dada yake, au mtoto wa Mafisadi wanaosimamia Biashara zake..

Au kuna ardhi au shamba au Mali nyingine yoyote ile huyo Mkurugenzi amefanikisha Magufuli amiliki; Talk about Corruption, Nepotism
Bhagooshaa.... Hyiiiiiiiii
Ango am corruption nepotism...!?
 
Wale ambao walikuwa wanamdiss sijui wataweka wapi sura zao sasa.

Mchezo umeisha tayari anarudi kutumia V8 hati yake ya kazi kumbe ilikuwa safi kuliko mkuu alivyotarajia.
Mkuu huo utendaji wake hasa ndio uliomponza na si hiyo V8 maana kuna watu kawabana ili afanye maendeleo ya Kahama hicho wengi hawakipendi.
 
Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ni Rais wa watu lakini watani zangu naona mko vizuri sana katika mambo flani maana katika mikoa mingine ukipita watoto huwaoni barabarani lakini Shinyanga hapa hata mheshimiwa mbunge wa Jimbo amesema, idadi ya watoto idadi ya watoto wanaozaliwa.

Agizo la kufyatua watoto limetekelezwa kwa 100%
 
Wale ambao walikuwa wanamdiss sijui wataweka wapi sura zao sasa.

Mchezo umeisha tayari anarudi kutumia V8 hati yake ya kazi kumbe ilikuwa safi kuliko mkuu alivyotarajia.
Jamaa kaosha leo

Magu ampeleke Dodoma sasa, bado hapajakaa kisasa...

Anahitajika great thinker... Anderson is one of them
 
Idadi ya watu Kahama inakaribia laki 3 ni mji wa nane kwa wingi wa watu nchini kwa mujibu wa sensa ya 2012

Mapato inachangia 50% ya mapato yote ya mkoa..wa Shinyanga.

Inaendesha miradi mingi kwa fedha za ndani kwa hiyo sio tegemezi..

Asilimia zaidi ya 50 ya wakazi wake wameajiriwa katika sekta ya biashara na sekta nyingine rasmi.. kwa hiyo hawategemei kilimo.

Kwa kawaida hivyo ndio vigezo muhimu
Wilaya ya Kahama ina watu 1.2m na Manispaa ndio ina 320k kwa makadirio ya mwaka 2021
 
Kama mada inavyojieleza,

Tunaona suala la ununuzi wa magari ya Wakurugenzi kwa bei ya anasa limezimwa.
Wazalendo tunajiuliza maswali mengi sana; huenda ni kweli kuwa mheshimiwa Rais amewaogopa Wakurugenzi au Jaffo au PM
Sasa tunaomba tujue, kati ya hawa ni nani uliyemuogopa?.

Tunaumia sana mali zetu zinapotumika vibaya halafu mlinzi mkuu wa mali zetu anakaa kimya na anasamehe bila sababu mmoja wa watuhumiwa (DED wa Kahama). Mheshimiwa, tuambie.

Unamwogopa yupi?
 
Mi nadhani Kuna Mambo makubwa ambayo huyu DED aliyafanya,kwa kujitoa au hata kuhatarisha maisha yake,na huenda yalikuwa hayafahamika kwetu.kama alivyosema jpm asijisahau sikunyingine akarudia ujinga huu.
 
Back
Top Bottom