RO7 ZA MGOS
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 2,018
- 5,752
Wakuu npo kahama hiyo road kwenda huko kwa eneo la viwanda panaitwa DODOMA road n kwel kuna kakipande wamepiga ile rami ya bei rahs .. na sehem kubwa pado kuna vifus vya zege.
Licha ya kahama kuwa na makusanyo makubwa kwa mujibu wao ...huwez amin mitaa yale ilivo kaa ovyo.
Stend ni ndogo sana ndo hiyoo wanasema inatoa mabas 100 per day nazan hapa nitakubali if watahesabu na costa pamoja na tata za kwenda masumbwe,ushirombo,nyakanazi,ruzewe ,rusumo etc.
Sipo ku criticize juhud za chf HANGAYA ila kuna kila dalili za kueneza kuabudiwa pamoja na kutafuta popularity ..(eg rais katoa).
Lastly but not list serikali fanyen kaz na hao watendaji wenu wanatoa majigambo wakat kaz hazjaaza hiyo road 🛣️🛣️ ya kwenda kwa ummy inasuasua na had sasa hawajajenga hata 2km au hela ilikuwa haijatolewaa na chf HANGAYA..
RO7 ZA MGOS
Licha ya kahama kuwa na makusanyo makubwa kwa mujibu wao ...huwez amin mitaa yale ilivo kaa ovyo.
Stend ni ndogo sana ndo hiyoo wanasema inatoa mabas 100 per day nazan hapa nitakubali if watahesabu na costa pamoja na tata za kwenda masumbwe,ushirombo,nyakanazi,ruzewe ,rusumo etc.
Sipo ku criticize juhud za chf HANGAYA ila kuna kila dalili za kueneza kuabudiwa pamoja na kutafuta popularity ..(eg rais katoa).
Lastly but not list serikali fanyen kaz na hao watendaji wenu wanatoa majigambo wakat kaz hazjaaza hiyo road 🛣️🛣️ ya kwenda kwa ummy inasuasua na had sasa hawajajenga hata 2km au hela ilikuwa haijatolewaa na chf HANGAYA..
RO7 ZA MGOS