Kahama: Rais Samia amwaga miradi

Kahama: Rais Samia amwaga miradi

View attachment 2045659

===
Kwanza, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Investment Centre "ikiwa ni pamoja na mitaro na taa za barabarani,

Pili, Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stand ya kisasa kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stand kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 100 ya mikoani kwa siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo,

Tano, Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .
Tuchape kazi kwa bidii, Kahama
 
View attachment 2045659

===
Kwanza, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Investment Centre "ikiwa ni pamoja na mitaro na taa za barabarani,

Pili, Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stand ya kisasa kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stand kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 100 ya mikoani kwa siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo,

Tano, Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .
Kazi ni nzuri na iendelee
 
View attachment 2045659

===
Kwanza, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Investment Centre "ikiwa ni pamoja na mitaro na taa za barabarani,

Pili, Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stand ya kisasa kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stand kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 100 ya mikoani kwa siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo,

Tano, Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .
World Bank oyeeee
 
Khaaaa,


Ila Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,

Rais Samia anafanya mambo makubwa sana lazima tukubali,

Stendi ya Kahama ilikwama muda mrefu sana,

#MAMA CHAPA KAZI TUKO NA WEWE
World bank ndio waliopaswa kutoa pesa za ujenzi huu wote mnaomsifia mmakunduchi wenu hapa, hizo fedha za world bank ziliahidiwa tangu Rais akiwa kikwete halafu mnaleta ngonjera ngonjera zenu utadhani huyo kahaba wenu kutoka Zanzibar anatoa pesa zake za mfukoni stupid
 
Khaaaa,


Ila Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,

Rais Samia anafanya mambo makubwa sana lazima tukubali,

Stendi ya Kahama ilikwama muda mrefu sana,

#MAMA CHAPA KAZI TUKO NA WEWE
JPM ziara yake ya mwisho akitokea Chato Kuelekea Dar kabla ya mauti yake alipita Kahama akasema stand ianze kujengwa lakini holaaa mlivyo kosa kumbukumbu mnaleta ngonjera zingine hapa
 
Khaaaa,


Ila Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,

Rais Samia anafanya mambo makubwa sana lazima tukubali,

Stendi ya Kahama ilikwama muda mrefu sana,

#MAMA CHAPA KAZI TUKO NA WEWE
JPM ziara yake ya mwisho akitokea Chato Kuelekea Dar kabla ya mauti yake alipita Kahama akasema stand ianze kujengwa lakini holaaa mlivyo kosa kumbukumbu mnaleta ngonjera zingine hapa
 
Mkuu hii miradi ni ya Rais mwenyewe "ova"
Ficha upumbavu wako, unafahamu World Bank imesubiriwa na Kahama tangu mwaka gani kuhusu huo mradi?
Nyie uvccm hata kumbukumbu huwaga hamnazo, hukumbuki hata Magufuli wakati anatoka Chato alipita Kahama akasema ujenzi uanze haraka na Kahama ikapewa manispaa, Leo mmebadili ngonjera nyamafu nyie
 
Kwa pesa yao sio? Anaetoa maelekezo ya kwamba 60% ibakie kwa ajili ya maendeleo ni nani kama sio serikali?

Pili Manispaa ina pesa gani za kujenga miradi yote hiyo wakati mapato yao ya ndani hayazidi bil.10? Tumia akili wivu itakuua.
Kwahiyo Samia ametoa pesa zake?
Pumbavu wewe uwe na kumbukumbu basi.
Pesa kwa hisani ya world bank, pesa zimesubiriwa kitambo sana na mpaka Sasa hakuna kinachofanyika hapa KAHAMA.
 
Wakuu npo kahama hiyo road kwenda huko kwa eneo la viwanda panaitwa DODOMA road n kwel kuna kakipande wamepiga ile rami ya bei rahs .. na sehem kubwa pado kuna vifus vya zege.

Licha ya kahama kuwa na makusanyo makubwa kwa mujibu wao ...huwez amin mitaa yale ilivo kaa ovyo.

Stend ni ndogo sana ndo hiyoo wanasema inatoa mabas 100 per day nazan hapa nitakubali if watahesabu na costa pamoja na tata za kwenda masumbwe,ushirombo,nyakanazi,ruzewe ,rusumo etc.

Sipo ku criticize juhud za chf HANGAYA ila kuna kila dalili za kueneza kuabudiwa pamoja na kutafuta popularity ..(eg rais katoa).

Lastly but not list serikali fanyen kaz na hao watendaji wenu wanatoa majigambo wakat kaz hazjaaza hiyo road [emoji2926][emoji2926] ya kwenda kwa ummy inasuasua na had sasa hawajajenga hata 2km au hela ilikuwa haijatolewaa na chf HANGAYA..

RO7 ZA MGOS
Labda wataelewa hawa mazombie wa mama Samia.
Hakuna stand inajengwa hapa Kahama tunapewa porojo tu.
 
Kwahiyo Samia ametoa pesa zake?
Pumbavu wewe uwe na kumbukumbu basi.
Pesa kwa hisani ya world bank, pesa zimesubiriwa kitambo sana na mpaka Sasa hakuna kinachofanyika hapa KAHAMA.
Wewe ndio fala,Kazi zinaendelea kadanganye Mkeo 👇

Screenshot_20220131-150236.png
 
Kwani kabla ya Rais Samia World Bank haikuwepo?
Uwe unaelewa we jinga wahed
World Bank walishapanga kujenga soko, stand na barabara za Mtaa Kahama tangu JPM hajawa Rais, JPM mwaka Jana akiwa Safari ya mwisho alipita Kahama akaipa umanispaa Kisha akasema soko na stand vinaanza kujengwa soon, nyie wapiga zumari mkaleta shangwe humu na wananchi walifurahi pia, lakini mpaka Sasa hakuna soko Wala stand inayojengwa Kahama wanasubiriwa hao world Bank walete pesa, Sasa sisi wakazi wa Kahama tunawaambia ninyi mnaleta porojo za kusifiana na Bibi yenu wa kikojani.
 
Back
Top Bottom