TANZIA Kaka wa Freeman Mbowe, Charles Mbowe afariki Dunia

si wao hawafagi imekuwaje tena?
 
kumbe na wao wanakufa
 
Pole Mbowe na familia, hakika wewe nikiongozi. Nimependa uwazi na tahadhari kwa Watanzania juu ya covid.
Mh.Rais anapaswa kutoa tahadhari makatazo mikusanyiko isiyo ya lazima,mfano mwenge hata salamu zake barabarani .
 
Alale salama Chale, rafiki na mtu wa watu

Pole sana kwa Mheshimiwa kaka Freeman na familia
 
Naona viherehere wa liendazake wanapata mahali pa kuleta vihoja vyao na kushangilia. Hata mkishangilia ukweli ni kuwa hayupo tena
 
mnaotiwa vidole na mbowe wote aklli zenu ziko nyuma yaanihata alivyoandika hujaona?
 
Naona viherehere wa liendazake wanapata mahali pa kuleta vihoja vyao na kushangilia. Hata mkishangilia ukweli ni kuwa hayupo tena

Hapa tunaongelea “liendazake kutoka kwa familia ya kina Mbowe linasubiri kuzikwa likaliwe na funza huko”.Vipi hapo sawa? Mnajitoaga ufahamu hata mbele ya kifo.
 
mnaotiwa vidole na mbowe wote aklli zenu ziko nyuma yaanihata alivyoandika hujaona?
Kuna kitu kinaitwa projection. Maana yake ni ukiona mtu anazungumzia sana kitendo fulani ni kuwa ana anafanywa hicho kitendo au anatamani afanywe hicho kitendo. Kwa kweli unahitaji therapy.

Amandla...
 
mnaotiwa vidole na mbowe wote aklli zenu ziko nyuma yaanihata alivyoandika hujaona?
Kuna kitu kinaitwa projection. Maana yake ni ukiona mtu anazungumzia sana kitendo fulani ni kuwa ana anafanywa hicho kitendo au anatamani afanywe hicho kitendo. Kwa kweli unahitaji therapy.

Amandla...
hata ukisemaje haibadirishi ukweli maana mnavyomtukuza mbowe lazima atakuwa anawatiavidole sana vya matako
 
mnaotiwa vidole na mbowe wote aklli zenu ziko nyuma yaanihata alivyoandika hujaona?

hata ukisemaje haibadirishi ukweli maana mnavyomtukuza mbowe lazima atakuwa anawatiavidole sana vya matako
Ndio maana ya projection. Wewe huyo unayemtukuza, unamtukuza kwa sababu anakufanyia vitendo hivyo au ungependa akufanyie. Sasa unadhani mtu yeyote anayemheshimu na kumkubali mtu ni kwa sababu kama zako.
Kweli unahitaji therapy.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…