Kaka yangu amechomwa Moto kwa kudhaniwa ni mwizi

Kaka yangu amechomwa Moto kwa kudhaniwa ni mwizi

Ifike mahala tujichukulie TU sheria mkononi

Vyombo vya sheria vishakua sehemu salama Sana kwa wahalifu.

Wanapelekwa leo,ndugu mnaenda kuwatoa kesho kwa hongo.
Na wizi unaendelea kama kawaida.

Honestly Mwaka Jana nmeibiwa, ila kilichoandikwa polisi Ni upuuzi wkt ushahidi uko wazi na baadhi ya Mali wamekamtwa nazo.

Wewe Kama wewe unafanyaje hapo?

Binafsi,
Kwasasa hao Wezi wangu nadili nao mtaa kwa mtaaa na baadhi Yao tayar washaanza kuonja joto la karma yangu artificial.

Endelea tu na huo utaratibu wako usio rasmi wa kujichukulia sheria mkononi. Siku ikifika, utajuta kuzaliwa. Maana kesi za mauaji, kwa sheria za Nchi yetu; huwa hazina dhamana.

Kupitia hayo maelezo yako, makosa ni ya polisi! Na siyo kila anaye tuhumiwa/kuitiwa mwizi, ni mwizi kweli. Fuata sheria za Nchi aisee. Uhai wa mtu haulinganishwi na kitu chochote kile.
 
Still anaweza kuwa alipotea na kuenda mbali eneo ambalo hamna anaejua kuhusu udhaifu wake. Sasa wenda amefika huko akachukua mali ya mtu (kwa akili yake aliona sawa kulingana na matatizo yake) na kukutwa nayo read handed na kwa kuwa huwa hawawezi kujielezea kutokana na udhaifu wao, basi kibao kikamgeukia. So mazingira kama hayo yapo sana ndugu yangu. HII NI KAMA BAADA YA TUKIO KUTOKEA, NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WANAJUA ALIEHUKUMIWA ANA MATATIZO YA AKILI KITAMBO
Ndo maana nikasema mtoa mada achukulie Kama Ni ajali.

Haina haja kuwalaumu waliomshughulikia maana ndugu yake uyu wkt anakamtwa hakutembea na Cheti na kuwaonyesha kua Ni mgonjwa wa akili washambuliaji wakakikataa .

Hapo lawama ziende kwa waangalizi, pia ichukuliwe Ni bahat mbaya TU[emoji26]
 
Mtoa mada usitake kutuhamisha goli.

Binafsi natembea Sana usiku, na Mara kibao nishakamtwa na hao hao sungusungu usiku wa manane.
Ila sijawai dhurika kwa namna moja ama nyingine.

Nnachokifahamu ktk operation zao usiku hutembea na viongozi kadhaa wa mtaa.

Wakishakukamata,
Hawa viongozi wa mtaa wanakuhoji wewe Ni Nani, unaishi wapi, unafanya shughuli gan, unaelekea wapi, unatoka wapi.

(Ukiwa ni mtu mwema kwny jamii na huna historia ya uhalifu, hakuna anayehangaika na wewe)

Ayo unayosema Kwamba wamemvamia tu na ghafla kuanza kumchoma TU kibiriti hayawezekani kabisa.

Vinginevyo uyo ndugu yenu ana historia ya uhalifu hapo kabla.

Na Kama Ni suala la uhalifu,
Hapo ninyi Kama ndugu Kuna namna mmefeli kwny suala Zima la malezi[emoji4]

Nchi haiwezi kuendelea kwa kukumbatia wezi na vibaka wanaoishi kwa kutegemea utelezi wa jasho la watu.

Wezi na Vibaka wanaorudisha maendeleo ya watu nyuma, na wanapaswa kushughulikiwa kwa nguvu zote.

Umeshaambiwa huyo ndugu yake alikuwa ana matatizo ya akili! Unategemea atajieleza kama ulivyo wewe? Jaribu kuuvaa uhusika wa mtoa mada.

Siku ndugu yako afanyiwe ukatili kama huo, utajisikiaje kuona baadhi ya watu wana kukejeli?
 
Endelea tu na huo utaratibu wako usio rasmi wa kujichukulia sheria mkononi. Siku ikifika, utajuta kuzaliwa. Maana kesi za mauaji, kwa sheria za Nchi yetu; huwa hazina dhamana.

Kupitia hayo maelezo yako, makosa ni ya polisi! Na siyo kila anaye tuhumiwa/kuitiwa mwizi, ni mwizi kweli. Fuata sheria za Nchi aisee. Uhai wa mtu haulinganishwi na kitu chochote kile.
Kwani hao wezi na majambazi,
uhai wa mtu, hao wahalifu huwa wanaulinganishaje wanapokwenda kufanya uhalifu kwa nguvu.

Wanagapi umeskia wameuwawa/kujeruhiwa na wezi, vibaka na majambazi wkt wakitekeleza uhalifu wao?
Au na wao hawana ndugu wenye uchungu?

Ifike mahali tukatae huo UNYONGE,
Ifike mahali tuwe Kama Russia,

huwezi kuahatarisha usalama wangu kwa kujifanya kibaraka na kumkumbatia adui yangu afu ulete visingizio eti UN, unhcr, n.k watanifikiriaje nikimfanyia Hivi jirani yangu[emoji3525].
 
Mzee naona umeandika kwa uchungu wa kuibiwa dukani kwako sio...
Mwaka Jana TU nmepigwa matukio 2 ya uhalifu (moja dukani na jingine goddown), la dukani mlinzi wangu kapigwa Shaba kauwawa palepale.

Mwaka 2008,
Kijana wangu mmoja akipeleka pesa nbc alitekwa na majambazi wakamnyanganya pesa na kwenda kumtelekeza Chamazi

Mwaka 2005,
nmewai fatwa hotel na majambazi, nikajeruhiwa mguu wa kushoto na jambazi na wakachukua pesa wakaondoka .

2000,
Nmefatwa nyumbani na majambazi wakanikosa na kuijeruhi familia yangu wakiilazimisha iseme nilipo.
Alhamdullillah nilishapata tip kwa bodaboda mmoja nikaenda kulala gesti badala ya nyumban usiku ule.

Naanzaje kwamfano kuwaonea huruma wezi[emoji3525]
 
Humu jf Imeibuka tabia ya ndugu wa wezi Kuja humu kulia huruma pale ndugu zao wanaposhughulikiwa kwa torati ya mtaa.

Ifike wakati Huu upumbavu ukataliwe kwa nguvu zote,
Haiwezekani sungusungu wamsingizie ni mwizi wkt hao hao Sungu Sungu Ni raia wa eneo Hilo Hilo.

Haiwezekani mtaa uwe na mlemavu wa akili na wananchi na viongozi wote wasimjue.

KESI za kuchomwa Moto hivyo Mara nyingi Ni zile ready handled.

Mtoa mada kajipange[emoji3525]
Ngoja yakukute ndugu zako wataleta uzi kama huu. Subiri uingie 18 za raia
Kuna mshikaji wangu aliuwawa kisa kwenda kudai pesa yake, mwenye nyumba akamwitia mwizi na aliuliwa kikatili.
 
We jamaa unatumia nn kufikiri?
Ukitanguliza gadhabu mbele hauwezi tatua lolote,
Ina maana ww unaharalisha kitendo cha walinda amani mtaani mida ya usiku kujichukulia sheria mkononi?
Unaharalisha uhalifu hadharani masta...
Ungekua Ni uhalifu nna imani hata polisi wangelikua Pamoja na mtoa mada,

Sasa Kama polisi walinda usalama wa raia na mali zao wamempuuza mtoa mada unadhani Mimi Ni Nani mpk nimuonee huruma[emoji3525]

Mtoa mada anyooshe maelezo vizur, Hamna huruma ya bure bure nowdays.

Watu tushaumizwa Sana na Hawa wanaojiita vibaka, wezi na majambazi[emoji3525]
 
Kesi anavyoielezea haiingii akilini kabisa, hata wewe Apo.

Hata Kama humjui mtu, huwez mkuta kwako ukaanza kumshambulia mpk kumchoma Moto Bila kua na uhakika kua Ni mwizi.

Haiingii akilini eti
Uyo Mpk anafikia kuchomwa Moto anaiungua anateketea maana ake alikosa kabisa hata mmoja tu wa kumtetea Wala kuita polisi asaidiwe.

Pale inavoonesha alikutwa ready handled.

Unajua mkuu hizi kesi za upande mmoja hasa matukio ya wizi Kama haya,
afu zinazohusisha ndugu wa damu huja na hoja nyepesi nyepesi zilizokaa kiutetezi Sana ili kusaka huruma ya jamii.

Ifike mahala, tuweke ubinadamu pembeni tuwaze beyond the box.

Vinginevyo unambie hujawai ibiwa na ukapeleka mwizi polisi, akarudishwa mtaani.
Hivi unawajua sungusungu wewe? Naona unaongea tu bila facts.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kenge huwa hasikii hadi atoke damu masikioni.
Sahii kabisa,
Hizi janja janja za kujifanya Ni mgonjwa wa akili zinatumika Sana skuhizi.

Maana mateja na waathirika wa bangi nao Skuhzi wanaitwa wagonjwa wa akili[emoji3525]
 
Na inawezekana watu walimtumia kufanya uhalifu( hao waliokuwa nae tangu apotee) all in all sababu hayuko sawa, walitakiwa wasimpige kabisa,.
Hapo unalosema linawezekana,
Akatumiwa na Vibaka Kama chambo afu Hali ikishakua mbaya wanaingia mitini wanamuachia msala.

Hujawai sikia zile kesi watoto wa miaka 9-12 wanatumika kuvunja nyumba za watu madirishani, afu wez wanaingia na kufagia?
 
NB:hata Mimi nilikuwa nafurahia mwizi akipokea kipondo na wewe siku ndugu yako akipigwa moto na unajua fika sio mwizi ndio utajua kwanini serikali inakataza raia kujichukulia sheria mkononi
Kwakweli Mimi hata awe Ni mwanangu wa kumzaa.
Kama Ni mwizi wauwe TU, sifugi wezi Mimi.

Hata watoto wangu wanalijua hilo[emoji3525]
 
Inasikitisha sana Kaka yangu ni mlemavu wa akili (ana downs syndrome) hata kumuangalia kwa macho unajua kabisa huyu mtu kichwani hakuna kitu.

Majuzi alitoroka nyumbani tulimtafuta bila mafanikio ghafla tukapewa taarifa kuwa ameitiwa mwizi amechomwa moto, amekamatwa mzima mzima wala hawajampiga wamemfunga mikono wamemvisha tairi wamemchoma moto [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] .

Waliofanya tukio ilo wanajulikana ni sungusungu na wananchi wengine, baadhi wamekamatwa wamepelekwa police lakini jioni wameachiwa huru wanadunda.

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Loh poleni sana sana.

Down-syndrome ni maradhi ambao wengi wanayo na jamii haijaelimishwa kuhusu hiyo issue.

Nasikitika sana hii tabia ya wananchi kujimilika hasira kali kinyume na sheria. Mtu anaitiwa mwivii watu wanatola mbio kwenda kuua badala hata ya kuhoji nani kaibiwa nini na kidhibiti kipo wapi.

Poleni sana mkuu. Inauma
 
Mzee mbona unatoa povu sana nimekwambia bro ana tatizo la akili tangu kuzaliwa kwake ni tahira

NB:hata Mimi nilikuwa nafurahia mwizi akipokea kipondo na wewe siku ndugu yako akipigwa moto na unajua fika sio mwizi ndio utajua kwanini serikali inakataza raia kujichukulia sheria mkononi
Pole sana mkuu
 
Wewe juzi umetoka Kuandika ishu ya kumsingizia kesi Mchepuko wako ili afungwe sasa kama Polisi wanafunga watu kwa kesi hizo je inashindikanaje Raia kuua kwa style hiyo????


Makosa kama haya yanatokea sana wapo wanaopigwa na kuuliwa kisa tu kafananishwa na mwizi... mwingine kashindwa kujieleza sababu kakutwa eneo la tukio la wizi bhasi kesi anapewa yeye na mwizi kashakimbia...!! Kufa kwa style hii kupo sana tuu so Jamaa asishambuliwe as if haya mambo hayapo kweny Jamii.
Ha ha ha....
Hzo kesi na wahalifu wangu tuziweke pembeni chief[emoji4]
 
Mwaka Jana TU nmepigwa matukio 2 ya uhalifu (moja dukani na jingine goddown), la dukani mlinzi wangu kapigwa Shaba kauwawa palepale.

Mwaka 2008,
Kijana wangu mmoja akipeleka pesa nbc alitekwa na majambazi wakamnyanganya pesa na kwenda kumtelekeza Chamazi

Mwaka 2005,
nmewai fatwa hotel na majambazi, nikajeruhiwa mguu wa kushoto na jambazi na wakachukua pesa wakaondoka .

2000,
Nmefatwa nyumbani na majambazi wakanikosa na kuijeruhi familia yangu wakiilazimisha iseme nilipo.
Alhamdullillah nilishapata tip kwa bodaboda mmoja nikaenda kulala gesti badala ya nyumban usiku ule.

Naanzaje kwamfano kuwaonea huruma wezi[emoji3525]
Mkuu umeteleza hapo, mwaka 2000 kwa bodaboda!!!? [emoji848]
 
Mkuu umeteleza hapo, mwaka 2000 kwa bodaboda!!!? [emoji848]
Bodaboda zilikuepo mkuu mbona, kulikua zile pikpik za kukodi zinaitwa CD 125
Sijui Kama unazikumbuka chief, au uljua bado mdg bwashee[emoji4]
 
Back
Top Bottom