Kaka yangu kamtia mimba mama yetu mdogo. Hili lipoje kwa Wanyakyusa?

Hakuna shida hapo, hakuna undugu wowote.
 
Mama mdogo ni nduguu, maana unaweza nyonya ziwa lake, pindi mama mzazi akiwa hayupoo!! Kosa kubwa hili.
Kama umesoma vizuri utagundua hakina tatizo isipokua kwa mke wake tu.

Ingekua shida kama angekua mdogo wa mama yake mzazi, sio kwa alikoolea baba yake mdogo.
 
Unajuร  Kuna undugu mwengine ni wa mbali sana ndomana mi naona watu ambao siezi kusex nao ni wale nliohusika nao kwny uzazi Yani walionizaa(mama) nliozaliwa nao tumbo Moja na nliowazaa( watoto wangu wa damu). Hao wengine ikitokea la kutokea binamu kajipendekeza napita nae.
 
Sasa mfano baba alizalisha katika mikoa tofauti ntaweza kujua km uyo ni ndugu yangu? Lkn uliozaliwa nao na mama mmoja lazima utawajua mana mama atakwambia ndugu zako wote uliozaliwa nao mana baba hawez kukuambia kwamba alizaa mtoto sehem flani
 
Bro alipewa penzi ambalo hajawahi kulipata tangu abalehe akaona si mbaya aweke na alama kabisa ya kiumbe ili ajimilikishe hhahhahahh!
 
Back to your question kuhusu mila za kinyakyusa hilo halina shida kabisa. Kama kweli kaka yako amedhamiria kumfanya yule mke wake aweke tu utaratibu mzuri, aite wanafamilia na aseme kilichotoke na dhamira yake wala hatopingwa maana huo undugu haupo.
 
Lwangwa
Itete
Manow
Mbambo
Lufilyo
Mzalendo

Lazima wawashangae. Mmepiga shemejiake na baba yenu kabisa. Wale wanyakyusa kule wataona ajabu sana na hivi kiswahili hawaongei.
Japo undugu upo kwa mbali sana ila kiheshima kaka yenu kazingua.
Mjisalimishe mapema kwa baba mdogo na mashangazi muone mnaliwekaje
 
Mkuu nimelipenda jina lako
 
Nilivyo fahamu hii stori ni Ndugu wa mkewe baba yao mdogo sio mdogo wa mama yao.
Kimsingi anazungumzia umama mdogo wa heshima na sio wa damu. Hakuna uhusiano wa damu baina yao isipokuwa wa kifamilia unaotokana na muunganiko / daraja kati ya baba mdogo kwa upande wao na mkewe kwa upande wa huyo mwanamke.

Kwa jamii nyingi sio jambo lisilokuwa la kawaida ndugu kuoa au kuolewa kwenye familia moja but level moja ya kizazi. Shida ni ambaye kifamilia ni baba automatically mke wake kifamilia ni level ya mama wewe kwenda kuoa mdogo wake (mama) - level tofauti za vizazi. Hili ndio linamtesa mleta mada.

Kwa jamii zinazozingatia mahusiano kwa mtizamo wa aina hiyo, na sio kwa damu tu, hili sio dogo!
 
Binamu ni first cousin mzee; you share a common anccestor level 1 - your grand parent! Never do that!
 
Hakuna wa kuwaloga isipokuwa ni jambo la fedheha kwa mhusika.

Nyinyi wengine halihusiani na nyinyi
 
Sema mshukuru huyo broo wenu kaundeleza huo mji uliotelekezwa kijanja maana hapo pataendelezwa ukoo wenu
 
Wadada wa Wakinyakyusa Wana style Moja inaitwa "kwepa bomu" yaani anainama alafu kichwa chake anakifunika na shuka anakuachia kiwiliwili uhangaike nacho๐Ÿ˜‹.
All in all kitakacho watenganisha mamdogo wko na kaka yko ni kifo.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wadada wa Wakinyakyusa Wana style Moja inaitwa "kwepa bomu" yaani anainama alafu kichwa chake anakifunika na shuka anakuachia kiwiliwili uhangaike nacho๐Ÿ˜‹.
All in all kitakacho watenganisha mamdogo wko na kaka yko ni kifo.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ