Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Umetumwa na Mabeberu,Mitano tenaNikiangalia Treni hadi leo hata vichwa havijaja.....
Nasiskitika na haya matamko ya Stiglers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetumwa na Mabeberu,Mitano tenaNikiangalia Treni hadi leo hata vichwa havijaja.....
Nasiskitika na haya matamko ya Stiglers
Tutalijaza kwa maombi na kufunga ndani ya wiki moja tuu. Kama Corona tumeishinda kwa maombi ya siku tatu hilo la kupata maji ya kujaza hapo ni cha mtoto.Bwawa la Ethiopia litajazwa kwa muda wa miaka 8 mpaka 12 sasa hili letu watatumia week ngapi?
Wataiba maji sioOle wao Majizi Chadema wasogelee hilo bwawa
Na madumu ya maji ya mfano ya kujazia hilo bwawaBila shaka Watakuwa live
Utakuwa ni Stroke huuHuu mradi ni muhimu sana kwa Taifa.
Hahahahha uchumi haujutaji maombi braza...ila kweli yanawezekanaTutalijaza kwa maombi na kufunga ndani ya wiki moja tuu. Kama Corona tumeishinda kwa maombi ya siku tatu hilo la kupata maji ya kujaza hapo ni cha mtoto.
Ndugu,hizo kama ni fedha za ndani ni za walipa kodi wote hata wale watalii wanaokaa siku 5 na kuondoka. Kama ni mikopo pia zitalipwa na Watanzania wote hata wale ambao hawajazaliwa.kumbe nyinyi mko mnasubiri zije mpande, tukajua wenzetu namna mnavyoponda hamna habari.
sasa kwanini mnaichukia hiyo mirani, mnataka mpewe pesa zenu mnunue raba??Ndugu,hizo kama ni fedha za ndani ni za walipa kodi wote hata wale watalii wanaokaa siku 5 na kuondoka. Kama ni mikopo pia zitalipwa na Watanzania wote hata wale ambao hawajazaliwa.
Hii nchi ni yetu sote. Hakuna anayechukia mradi wowote. Tatizo ni "propaganda" zinazoenezwa kuhusu hiyo miradi,kutofuatwa kwa taratibu,kutokuwa na kipaumbele kitaifa pamoja na kutokuwepo kwa uwazi.sasa kwanini mnaichukia hiyo mirani, mnataka mpewe pesa zenu mnunue raba??
uwazi upi unauzungumzia, wewe binafsi una chango gani katika kuamua hatma ya taifa hili??Hii nchi ni yetu sote. Hakuna anayechukia mradi wowote. Tatizo ni "propaganda" zinazoenezwa kuhusu hiyo miradi,kutofuatwa kwa taratibu,kutokuwa na kipaumbele kitaifa pamoja na kutokuwepo kwa uwazi.
Angalia tbc1 mkuu!Unaanzaje kujaza maji kabla mahandaki hayajakamilika?
Kutumia masaburi kufikiria ni haki yako ya msingi sema imekulemaza...Kama ww ulivyo na energy ya kusifia kila kitu. Ww huo muda hupati wa kufanya mambo mengine?
Kutumia masaburi kufikiria ni haki yako ya msingi sema imekulemaza...
Nikiangalia Treni hadi leo hata vichwa havijaja.....
Nasiskitika na haya matamko ya Stiglers
Iwe iwavyo ila basha wangu hawezi kuwa wewe. Mwenye UBONGO mdogo kama wa mbuNaona umeishiwa hoja, sasa unaanza kusaka mabasha kinguvu hapa jukwaani.
😂Na madumu ya maji ya mfano ya kujazia hilo bwawa