wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,455
- 4,395
Matamko ya wanasiasa sio ya kuyaamini...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni jinga lao kwa lugha nyingine wewe ni mtu mjinga sana.Nitaanza mimi kukumbusha kwani inaweza kukamilika kabla ya tarehe hiyo.
🤣Ukifika huo muda bila ya ukamilifu ndio tuanze kuzodoana.....Jumbe Brown siempre siempre anasuburi umeme wa Stigler July 2022 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787]Ukifika huo muda bila ya ukamilifu ndio tuanze kuzodoana.....
Siempre JMT
Mhh huyu jamaa hovyooo tena anasema anaanza kusali mbele yake tarehe 25 novembaHii ni commitment ya waziri wa nishati kuwa ifikapo tarehe 15 novemba 2021 ndoto ya kuanza kupata umeme kupitia bwawa la mwalimu Nyerere zitaanza kutimia.
Hii itakuwa zawadi kubwa kwa Hayati Nyerere,Magufuli na watanzania.
wote wanaopinga mradi huu washughulikiwe vilivyo.
View attachment 1751258
Duuh haya mkuu Yoda 🤣Raia wengi wa taifa hili wana tatizo kama lako, la kuona mambo kwa umbali wa urefu wa mkono tu.