woiso woiso
Member
- Feb 20, 2021
- 47
- 44
Noma sanaNimeona makala TBC juzi maelezo mhandisi msimamizi, ndio wanaanza kazi kunyanyua tuta kimo kama jengo gorofa 45....urefu Km 100..... upana viwanja kadhaa zege lake CM3 Billion kadhaa.... kazi bado kubwa sana!!! Hata 2025 sidhani,; maji pekee kujaza bwana misimu kadhaa ya mvua.Ile dhana kumuongezea muda mkuu itahusika hapa pia.
na wewe usikimbieIkifika hii tarehe msije mkakimbia thread yenu.
Nitakukumbusha hapa.na wewe usikimbie
Nitaanza mimi kukumbusha kwani inaweza kukamilika kabla ya tarehe hiyo.Nitakukumbusha hapa.
Yatatokea Ya SGR Ilikuwa November 2019 Hiyo Mpaka April 2021 Hiyo Mpaka August 2021.Ikifika hii tarehe msije mkakimbia thread yenu.
NdioNikiangalia Treni hadi leo hata vichwa havijaja.....
Nasiskitika na haya matamko ya Stiglers
HahahaBwawa la Ethiopia litajazwa kwa muda wa miaka 8 mpaka 12 sasa hili letu watatumia week ngapi?
Mjahidina roho yako kwatuHahaha