Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Kalynda imefunga ofisi zake hapa nchini, viongozi wake hawajulikani walipo

Mazee hv kwanini tusiji organise tutengeneze ya kwetu tuiite hata kalende e-commerce na sisi tupige mihela, maana majinga yanapigwa lakini hayakomi na hayaishi, hadi nimetamani kuwa kalynda admin. Wacha wapigwe tuu si wanapenda kubeng
 
Yani inatia hasira, ukimwambia mtu oyaa mnaibiwaaa yani hakuelewi, ndo kwanza anakushawishi akuunge na wewe, ukimwambia oyaa hamna vya bure, anakwambia watanzania nyie waoga hamjui uwekezaji mara hamjui risk, wakishapigwa wanaaza kulia mara ooh jasho letu Mungu atalipa mara oooh sijui malipo hapa hapa, hapo hata Mungu haingilii maana alikuacha upate akili sku ingine.
 
Ila nadhani hivi vyombo vya habari credible ndio vinaingiza watu mkenge zaidi angali Mr. Kuku na Kalynda wote wanatumia zile channels unazoziamini kukupiga.

Najua wanapata matangazo lakini pia wao wanajukumu la kufanya due diligence. Jamii inaviamini sana.

ITV nao wajitafakari katika hili.
Wewe ungekui ndo itv, ungekataa mteja wa tangazo,
 
Yani inatia hasira, ukimwambia mtu oyaa mnaibiwaaa yani hakuelewi, ndo kwanza anakushawishi akuunge na wewe, ukimwambia oyaa hamna vya bure, anakwambia watanzania nyie waoga hamjui uwekezaji mara hamjui risk, wakishapigwa wanaaza kulia mara ooh jasho letu Mungu atalipa mara oooh sijui malipo hapa hapa, hapo hata Mungu haingilii maana alikuacha upate akili sku ingine.

wakikusikia watakutafuta na mashoka
 
Hakuna waanzilishi wachina wote wabongo hao Wachina wanawekwa kama Bosheni tuu wao wanalipwa chao kidogo wanapita kule wanabaki Viungo wakabaji..
 
Hello,

Sina maneno mengi nimepigwa laki 2 huko kalyanda, na sina sababu za kujitetea nimefanya uzuzu kama mazuzu wengine, nimepigwa kizembe sina hata nguvu za kuelezea, nilipinga sana kalyanda ila kuna manzi aliipaisha sana kalyanda, nikamwambi nitoe ganji basi na laki 4 akanitoa akanambia haya weka laki2.

Nikaweka la haula la kwata nimeukalia, ila sio mbaya huyu manzi kama mganga vile aliichomoa pesa yake, sasa hivi niko nae gheto ananifariji nampiga nao mfano wa kalyanda na watanzania. namkamua kwa hari mpya, nguvu mpya na kasi mpya. Kila mmoja apambane na hali yake.

Tumerithi uzuzu toka kwa Sultani Mangungo wa Msovero, haina haja ya kujilaumu hii ishu ni genetic kwa Tanzania tutapigwa mpaka kiama there shall come on different versions and the identical or similar episodes shall continue. Simply this kacountry is endowed with uzuzu

I salute you in the name of growth, progress and success my entire Mazuzu fellas.

Niko na Mbususo ina nifariji. Kalyanda Mwakulyanda, Mwakulwanda, Mwakinyogoli, Mwakadundulusi, Mwakajwaga, Mwanjokolilo, Mwakipulumusi.

Ukipigwa msifu na alokupiga sio kulalamika tu.
 
Kamanda wa polisi kutoka Kanda ya Dar es Salaam.

Nimetoka kusikiliza clauds hapa jumba la habari, ni kweli watu wametapeliwa na kumekua na malalamiko kila kona ya nchi lakini hayupo mtu hata mmoja aliepeleka Hati ya malalamiko kua wametapeliwa namnukuu kamanda murilo "kazi ya jeshi la polisi ni kuchunguza iwe taarifa ya kweli ama ya uongo anayeona ametapeliwa ni vyema akaleta Hati ya mashtaka ili polisi ifanye kazi yake"

Kwa upande wa brela wanadai kua kalynda ilisajiliwa kua wanafanya biashara ya mtandaoni ya uuzaji wa vifaa vya kielectronic.

Maoni ya brela Watanzania waache kujihusisha na mambo ya pyramid hakuna pesa ya urahisi.
 
Wazeeee wa K.O
maxresdefault-5.jpg
 
Zingatia. Risk ipo kwenye kufanya vitu usivyo na elimu navyo.

Wale wanaowaambia wenzi wao take risk huwa wana maanisha wafanye vitu wasivyovijua,

tujaribu kujifunza kabla ya kufanya, .
 
Hello,

Sina maneno mengi nimepigwa laki 2 huko kalyanda, na sina sababu za kujitetea nimefanya uzuzu kama mazuzu wengine, nimepigwa kizembe sina hata nguvu za kuelezea, nilipinga sana kalyanda ila kuna manzi aliipaisha sana kalyanda, nikamwambi nitoe ganji basi na laki 4 akanitoa akanambia haya weka laki2.

Nikaweka la haula la kwata nimeukalia, ila sio mbaya huyu manzi kama mganga vile aliichomoa pesa yake, sasa hivi niko nae gheto ananifariji nampiga nao mfano wa kalyanda na watanzania. namkamua kwa hari mpya, nguvu mpya na kasi mpya. Kila mmoja apambane na hali yake.

Tumerithi uzuzu toka kwa Sultani Mangungo wa Msovero, haina haja ya kujilaumu hii ishu ni genetic kwa Tanzania tutapigwa mpaka kiama there shall come on different versions and the identical or similar episodes shall continue. Simply this kacountry is endowed with uzuzu

I salute you in the name of growth, progress and success my entire Mazuzu fellas.

Niko na Mbususo ina nifariji. Kalyanda Mwakulyanda, Mwakulwanda, Mwakinyogoli, Mwakadundulusi, Mwakajwaga, Mwanjokolilo, Mwakipulumusi.

Ukipigwa msifu na alokupiga sio kulalamika tu.
Pole sana zuzu
 
Back
Top Bottom