DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
“Tanzania watu wanaenda shuleni kusomea ujinga”- Faiza foxy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ungekui ndo itv, ungekataa mteja wa tangazo,Ila nadhani hivi vyombo vya habari credible ndio vinaingiza watu mkenge zaidi angali Mr. Kuku na Kalynda wote wanatumia zile channels unazoziamini kukupiga.
Najua wanapata matangazo lakini pia wao wanajukumu la kufanya due diligence. Jamii inaviamini sana.
ITV nao wajitafakari katika hili.
Yani inatia hasira, ukimwambia mtu oyaa mnaibiwaaa yani hakuelewi, ndo kwanza anakushawishi akuunge na wewe, ukimwambia oyaa hamna vya bure, anakwambia watanzania nyie waoga hamjui uwekezaji mara hamjui risk, wakishapigwa wanaaza kulia mara ooh jasho letu Mungu atalipa mara oooh sijui malipo hapa hapa, hapo hata Mungu haingilii maana alikuacha upate akili sku ingine.
Sio kazi zote zinazokupa hela unafanya la sivyo utauza utu wako na kupoteza uaminifu kwa wengine.Wewe ungekui ndo itv, ungekataa mteja wa tangazo,
nshapewa ila now nafakamia kasamosa kangu ndani kinyogoli taratibu nimeanza na hasira za video ya mama mchungaji nimepata desa la hayati katibu mteuliwa toka kwa bwanaWazeeee wa K.O
View attachment 2386043
Ndio kalyanda hawa!!?Kalynda be like.View attachment 2386050
Mimi mnipe huyo mtoto mweupe nifidie madeni na maumivu yenu.Am serious.Mmelipia tuition ya maisha. View attachment 2386048
Ngoja tuoneNi jambo jema
Pole sana zuzuHello,
Sina maneno mengi nimepigwa laki 2 huko kalyanda, na sina sababu za kujitetea nimefanya uzuzu kama mazuzu wengine, nimepigwa kizembe sina hata nguvu za kuelezea, nilipinga sana kalyanda ila kuna manzi aliipaisha sana kalyanda, nikamwambi nitoe ganji basi na laki 4 akanitoa akanambia haya weka laki2.
Nikaweka la haula la kwata nimeukalia, ila sio mbaya huyu manzi kama mganga vile aliichomoa pesa yake, sasa hivi niko nae gheto ananifariji nampiga nao mfano wa kalyanda na watanzania. namkamua kwa hari mpya, nguvu mpya na kasi mpya. Kila mmoja apambane na hali yake.
Tumerithi uzuzu toka kwa Sultani Mangungo wa Msovero, haina haja ya kujilaumu hii ishu ni genetic kwa Tanzania tutapigwa mpaka kiama there shall come on different versions and the identical or similar episodes shall continue. Simply this kacountry is endowed with uzuzu
I salute you in the name of growth, progress and success my entire Mazuzu fellas.
Niko na Mbususo ina nifariji. Kalyanda Mwakulyanda, Mwakulwanda, Mwakinyogoli, Mwakadundulusi, Mwakajwaga, Mwanjokolilo, Mwakipulumusi.
Ukipigwa msifu na alokupiga sio kulalamika tu.